utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,813
tujenge hoja zinazojenga sio kwa sababu mtu una komputa chumbani kwako basi unaandika tu kile kinachokujia kichwani. nchi inakabiliwa na mambo mengi makubwa yanayopaswa kujadiliwa kwa kina, leo tunaletewa mjadala wa kujadili maisha ya mtu na familia yake....huku ni kutumia vibaya akili na maarifa uliyopewa bure na mungu