Farewell RO....

Farewell RO....

Status
Not open for further replies.
Halafu mtu kama huyu akiwa anastaafu hamna vyombo vya habari vinavyoripoti hilo suala? Au ni nyeti?

ndiyo utakavyoona umbea na ushangingi wa mwanakijiji. wakuu wote wa vyombo vya dola wanavyostaafu taarifa zao huwa bayana. au kuna mtu kainyemelea hiyo hiyo nafasi kwa muda mrefu sasa ameona ndo wakati muafaka wa kushinikiza umma uandamane kwa mambo ya kipuuzi na uzushi
 
Wataalamu wanaojua ufanyaji kazi serikalini kwa mkataba iwapo ulishastaafu au muda wa kustaafu umefika.je ni watumishi wa aina gani? Maana hata vyuo vikuu vya serikali vna mawizara kumejaa vibabu ambao mda wau umesha expire.labda kuna sababu maalumu na sio watu wa idara ya usalama taifa pekeyao.

Inawezekana, hao wazee majina yao ni JOHN, CHARLES, MUSHI, LEMA, MASAWE, tatizo huyu ni RASHID.
 
Wataalamu wanaojua ufanyaji kazi serikalini kwa mkataba iwapo ulishastaafu au muda wa kustaafu umefika.je ni watumishi wa aina gani? Maana hata vyuo vikuu vya serikali vna mawizara kumejaa vibabu ambao mda wau umesha expire.labda kuna sababu maalumu na sio watu wa idara ya usalama taifa pekeyao.

Basi tu watu wanakuja na mada za ajabu sana humu JF. Ndo wale wale wanapigania kuchinja, jambo ambalo halina tija kabisa kwa mkiristo au mwislamu.
 
Duh! yaani hata mtu kustaafu yanahiitajika maandamano? nilikuwa nasikia wimbo mmoja kule kenya unasema, "NCHI YA KITU KIDOGO" naona hata tanzania tunataka kuifanya nchi ya maandamano.

we subiri tu. wakati wowote JOHN MPORI (MNYIKA) atasambaza simu za othman na zoka ili wananchi wawatukane kwa kutoktostaafu. na punde si punde atahamasisha wafuasi wake waandamane barabarani. kijana mpuuzi huyu. ndo maana hata chuo hataki kwenda anaogopa kulimwa kichwa
 
Basi tu watu wanakuja na mada za ajabu sana humu JF. Ndo wale wale wanapigania kuchanja, jambo ambalo halina tija kabisa kwa mkiristo au mwislamu.


kweli unenavyo. hivi mjadala huu una tija kweli maana hata huyo mleta mada mwenyewe anashindwa kuutetea
 
Umezungumza hoja gani ya maana zaidi ya vioja?
Mkuu, majibu yanazingatia viwango, usitegemee useme utumbo, then ujibiwe jambo la maana. Mimi naona hao jamaa kama vile wana hoja za msingi kuhusiana a suala zima la ajira za serikali, sasa unapokosa hoja za kupingana nao ukaanza matusi, matokeo yake ndiyo hayo unaambiwa ukapokee posho. Halafu sijui kwa nini ukasirike kuambiwa hivyo, huenda kuna kaukweli ndani yake utakuwa umeguswa kwa namna moja au nyingine, jambo ambalo ni hatari sana kutumiwa na wanasiasa kuleta mijadala ambayo ina lengo la kuwafedhehesha viongozi na wananchi kwa ujumla.
 
Pameingiliwa na mbumbumbu hapa!

Mbaazi zikikosa maua/mfa maji. Umoekosa hoja mkuu, usiwaite wana JF mbumbumbu kama inawezekana umeishiwa hoja waache waendelee lengo ni moja tu kuenga nchi moja Tanzania.
 
Mkuu, majibu yanazingatia viwango, usitegemee useme utumbo, then ujibiwe jambo la maana. Mimi naona hao jamaa kama vile wana hoja za msingi kuhusiana a suala zima la ajira za serikali, sasa unapokosa hoja za kupingana nao ukaanza matusi, matokeo yake ndiyo hayo unaambiwa ukapokee posho. Halafu sijui kwa nini ukasirike kuambiwa hivyo, huenda kuna kaukweli ndani yake utakuwa umeguswa kwa namna moja au nyingine, jambo ambalo ni hatari sana kutumiwa na wanasiasa kuleta mijadala ambayo ina lengo la kuwafedhehesha viongozi na wananchi kwa ujumla.

sure kaka. hawa jamaa wanaanzisha mijadala ambayo haina tija kwa taifa kwa lengo la kudai posho tu. watu wenyewe wengi wamepata division 0 form four. waliosurvive wana credit ambazo haziuziki. wachache wanaojiita ma genious ndo chuo hawataki kwenda wanaogopa kuliwa vichwa. wamesoma shule ambazo zilikuwa zinashiriki katika wizi wa mitihani ndo maana anatamba eti kapata A Tisa.
 
Wameshazoea vya bure ssa akistaafu atavipata wapi ndio maana hadi wengine wanafia humu maofisini.
 
Mkuu, majibu yanazingatia viwango, usitegemee useme utumbo, then ujibiwe jambo la maana. Mimi naona hao jamaa kama vile wana hoja za msingi kuhusiana a suala zima la ajira za serikali, sasa unapokosa hoja za kupingana nao ukaanza matusi, matokeo yake ndiyo hayo unaambiwa ukapokee posho. Halafu sijui kwa nini ukasirike kuambiwa hivyo, huenda kuna kaukweli ndani yake utakuwa umeguswa kwa namna moja au nyingine, jambo ambalo ni hatari sana kutumiwa na wanasiasa kuleta mijadala ambayo ina lengo la kuwafedhehesha viongozi na wananchi kwa ujumla.

Mbona mnajichanganya wenyewe?swali ni dogo sana na linasema hivi Othman Rashid ataondoka lini kwenye ofisi ya umma?jibuni swali la mwanakijiji acheni kuzunguka mbuyu
Pili swala la posho mkachukue nyie mliotumwa kuvuruga mjadala.
 
sure kaka. hawa jamaa wanaanzisha mijadala ambayo haina tija kwa taifa kwa lengo la kudai posho tu. watu wenyewe wengi wamepata division 0 form four. waliosurvive wana credit ambazo haziuziki. wachache wanaojiita ma genious ndo chuo hawataki kwenda wanaogopa kuliwa vichwa. wamesoma shule ambazo zilikuwa zinashiriki katika wizi wa mitihani ndo maana anatamba eti kapata A Tisa.

A tisa imeingiaje kwenye ishu ya Othman? swali ni Othman Rashid anaondoka lini kwenye ofisi ya umma baada ya muda wake wa kustaafu kufika?acha vioja wewe mwanausalama wa ccm
 
A tisa imeingiaje kwenye ishu ya Othman? swali ni Othman Rashid anaondoka lini kwenye ofisi ya umma baada ya muda wake wa kustaafu kufika?acha vioja wewe mwanausalama wa ccm

kamuulize mwajiri wake. maana yeye ndiye anayejua lini ajira yake inaishia. mbona huulizi slaa anastaafu lini kuwa katibu mkuu chadema
 
jamani, mbona hamuulizi LEORDIGAR TENGA anatoka lili TFF maana yeye mkataba wake uko wazi. badala ya kuhoji mambo ya wazi mnahoji kitu msichokijua. kwa taarifa yako Othman Rashid anastaafu tarehe27 December 2016. upo hapo?
 
Tanzania inaliwa na wenye meno wachache. Swali, Je hii hali itaendelea mpaka lini?
Kwa mawazo yangu mambo mawili yanatishia uhai wa taifa letu

(1) muungano, kuna matukio/matendo ya watu ambayo yalipaswa kuonekana mapema na chombo hiki na hatua stahiki kuvhukuliwa;
(2) udini: matendo ya uchochezi ya waziwazi ambayo yalitedeka au yanaendelea kutendeka na inaonekana 'hayaonwi' na chombo hiki muhimu ambayo yanachochea mgawanyiko wa kidini.
 
Atongwele nina wasiwasi na elimu yako. Unakurupukakurupuka kama fresher vile. Hoja za CHADEMA zinakujaje hapa kwenye topic? Dr. Slaa ameingiaje kwenye mjadala wetu? Dr. Ulimboka alidai kutekwa na kuteswa na TISS. Huoni Usalama wa Taifa letu haulindi wanyonge au walala hoi. There are two schools of Opinions/Thoughts. Timorous Souls na Bold Spirits. Wewe unaangukia kundi lipi? Definitely wewe ni Timorous Soul yaani hutaki mabadiliko hata kama Taifa linaangamia kwa kukosa Maarifa. Tatizo siyo DINI bali uwezo wa mtu kuongoza Idara Nyeti. Harry Kitilya ameongezewa muda pale TRA kwa sababu ya weledi wake na siyo DINI. NakemeaUdini nawe ni tatizo humu jamvini maana unafikiri waislamu walioko madarakani wanachukiwa na wakristo. Siyo kweli kabisa. Dr. Shukuru Kawambwa akiwa waziri wa Ujenzi barabara zilijengwa chini ya viwango. Mfano ni Kilwa Road pale Mivinjeni lami ni kama bazooka au big G na juzi mjenzi karudia kule Mtoni hadi Mbagala Rangi Tatu lakini imekula kwetu pale Mivinjeni. Kule Sekenke - Singida kampuni ya CHICCO inarudia upya baada ya Magufuli kurudia Ofisi yake ya Zamani. Blunders zote ni za Dr. Shukuru Kawambwa muislamu unayedai anaonewa gere na wakristo. Jamani msikurupuke kutetea uchafu. Ningekuwa JK ningemstaafisha DR. Shukuru Kawambwa kwa manufaa ya Umaa. Matokeo ya Form IV 2012 ya Div Zero nusu milioni siyo masihara hata kidogo......Tafakari chukua hatua
 
Tanzania inaliwa na wenye meno wachache. Swali, Je hii hali itaendelea mpaka lini?

kila mtu anakula ila kiwango kinatofautiana. kwanza wewe umesharejesha mkopo wako kwenye bodi ya mikopo ya vyou vikuu?
 
Atongwele nina wasiwasi na elimu yako. Unakurupukakurupuka kama fresher vile. Hoja za CHADEMA zinakujaje hapa kwenye topic? Dr. Slaa ameingiaje kwenye mjadala wetu? Dr. Ulimboka alidai kutekwa na kuteswa na TISS. Huoni Usalama wa Taifa letu haulindi wanyonge au walala hoi. There are two schools of Opinions/Thoughts. Timorous Souls na Bold Spirits. Wewe unaangukia kundi lipi? Definitely wewe ni Timorous Soul yaani hutaki mabadiliko hata kama Taifa linaangamia kwa kukosa Maarifa. Tatizo siyo DINI bali uwezo wa mtu kuongoza Idara Nyeti. Harry Kitilya ameongezewa muda pale TRA kwa sababu ya weledi wake na siyo DINI. NakemeaUdini nawe ni tatizo humu jamvini maana unafikiri waislamu walioko madarakani wanachukiwa na wakristo. Siyo kweli kabisa. Dr. Shukuru Kawambwa akiwa waziri wa Ujenzi barabara zilijengwa chini ya viwango. Mfano ni Kilwa Road pale Mivinjeni lami ni kama bazooka au big G na juzi mjenzi karudia kule Mtoni hadi Mbagala Rangi Tatu lakini imekula kwetu pale Mivinjeni. Kule Sekenke - Singida kampuni ya CHICCO inarudia upya baada ya Magufuli kurudia Ofisi yake ya Zamani. Blunders zote ni za Dr. Shukuru Kawambwa muislamu unayedai anaonewa gere na wakristo. Jamani msikurupuke kutetea uchafu. Ningekuwa JK ningemstaafisha DR. Shukuru Kawambwa kwa manufaa ya Umaa. Matokeo ya Form IV 2012 ya Div Zero nusu milioni siyo masihara hata kidogo......Tafakari chukua hatua

hivi unawafahamu wakandarasi waliojenga hizo barabara, fuatilia kwani wote ni wakristo. kwa hiyo walikuwa wanaharibu ili alaumiwe Dr Shukuru kawambwa? haya tukirudi suala la mitihani, Katibu Mkuu ambaye ndiye mtendaji mkuu wa NECTA ni Mkristo, waislam walivyotaka kuandamana ili Dr Ndalichako achukuliwe hatua, mliwakebehi na kuwaona wadini. leo form four wengi wamefeli mnamtaka Dr Kawambwa ajiuzulu bila ya kumgusa Katibu Mtendaji. kisa, ni mwislamu. fikra gani unatuletea? shida kubwa ninayoipata hapa ni kwa watu kama japhet ambao huangalia matokeo ya kitu badala ya kuangalia msingi wa hilo tatizo. kama wewe ni mzazi basi bila shaka ni mzazi mbaya sana. kila jambo zuri kafanya mkristo na kila jambo baya kafanya muslamu. kama dini ndiyo tatizo, mbona mataifa ya kiarabu ambayo kwa kiasi kikubwa huongozwa na waislam ndiyo yanaongoza kwa kuwa na uchumi imara. shida kubwa ni kuishi bila ya kutembea nchi za watu. Nenda Qatar, Falme za Kiarabu, Oman, Iran, Saudi Arabia ukashuhudie maisha yalivyo bora na kila kitu kiko sawa mpaka mataifa ya magharibi yanaenda kujifunza huko

kuhusu suala la ulimboka kuteswa, nani asiyetambua kuwa ule ulikuwa ni mpango wa akina kubenea wakitumwa na chadema na wanaojiita wanaharakati ili kuchafua image ya idara yetu nyeti na serikali. sasa wameumbuka baada ya malalamiko yao waliyopeleka THE HAGUE kutupiliwa jalalani maana yamebainika ni uzushi
 
Atongwele nina wasiwasi na elimu yako. Unakurupukakurupuka kama fresher vile. Hoja za CHADEMA zinakujaje hapa kwenye topic? Dr. Slaa ameingiaje kwenye mjadala wetu? Dr. Ulimboka alidai kutekwa na kuteswa na TISS. Huoni Usalama wa Taifa letu haulindi wanyonge au walala hoi. There are two schools of Opinions/Thoughts. Timorous Souls na Bold Spirits. Wewe unaangukia kundi lipi? Definitely wewe ni Timorous Soul yaani hutaki mabadiliko hata kama Taifa linaangamia kwa kukosa Maarifa. Tatizo siyo DINI bali uwezo wa mtu kuongoza Idara Nyeti. Harry Kitilya ameongezewa muda pale TRA kwa sababu ya weledi wake na siyo DINI. NakemeaUdini nawe ni tatizo humu jamvini maana unafikiri waislamu walioko madarakani wanachukiwa na wakristo. Siyo kweli kabisa. Dr. Shukuru Kawambwa akiwa waziri wa Ujenzi barabara zilijengwa chini ya viwango. Mfano ni Kilwa Road pale Mivinjeni lami ni kama bazooka au big G na juzi mjenzi karudia kule Mtoni hadi Mbagala Rangi Tatu lakini imekula kwetu pale Mivinjeni. Kule Sekenke - Singida kampuni ya CHICCO inarudia upya baada ya Magufuli kurudia Ofisi yake ya Zamani. Blunders zote ni za Dr. Shukuru Kawambwa muislamu unayedai anaonewa gere na wakristo. Jamani msikurupuke kutetea uchafu. Ningekuwa JK ningemstaafisha DR. Shukuru Kawambwa kwa manufaa ya Umaa. Matokeo ya Form IV 2012 ya Div Zero nusu milioni siyo masihara hata kidogo......Tafakari chukua hatua

Mkuu katika mifano yako umeonesha waziwazi kuwa wewe ni zaidi ya ukiristo uanaopigiwa kelele, Mifano yako yote umejaribu kuona watu wazuri ni wakristo kwa kuwataja Maghufuli, Dr. SLAA na HARRY KITILYA huku ukionesha wazi kuwa unachukia waislamu kwa kumponda SHUKURU kawambwa tena kwa kusema wanafunzi waliofeli ni nusu milioni wakati hata watahiniwa wote hawakufikia hiyo nusu milioni. Mimi ni mkristo safi lakini kwa hili umeonesha udhaifu mkubwa. HIVI kweli unaweza kumka na kusema kuwa TRA wamefanya vizuri kwa lipi? Siamini kama kuna shrika ambalo limetufikisha hapa kama siyo TRA na rushwa zao. kwa mwendo huu upambe wa kidini hauwezi kutufikisha mahali. Inawezekana kabisa tatizo hapa ni kuguswa WILBROAD SLAA na siwezi tena kumuita DR. kwa vile CDM wameonesha udanganyifu mkubwa ya taaluma zao na SLAA mwenyewe CV yake inaonesha ana vi-diploma vya kuunga tu huo udaktari wake hakuna mwenye uhakika aliupataje. Ungekuwa muazi tu kuwa mjadala huu asihusishwe SLAA kuliko kuanza kuonesha hisia zako za waziwazi kwa kutukumbusha machungu ya jinsi TRA wanavuja fedha zetu au kwa vile ni mchaga.
 
Tanzania inaliwa na wenye meno wachache. Swali, Je hii hali itaendelea mpaka lini?

Usipofanya kazi kwa bii utaishia kulalamika tu. Utaendelea kuona wenzako wachawi kumbe wao wanakesha wakifanyakazi kwa bidii.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom