Farhan Jr kauliza kwanini elimu ya sasa imepungua mvuto? Majibu aliyo pewa, wanaosomesha English Mediums hawatayafurahia👇

Farhan Jr kauliza kwanini elimu ya sasa imepungua mvuto? Majibu aliyo pewa, wanaosomesha English Mediums hawatayafurahia👇

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Bwana mdogo Farhan Jr kupitia ukurasa wake wa instagram alianza kwa kuuliza swali kama ifuatavyo 👇

Screenshot_20240110-125719.png
 
Elimu imepoteza mvuto lakini haijapoteza quality. Quality ya elimu imeongezeka.
Zamani mzee ana phd lakini movie ikiisha kwenye deck anapiga kelele Kobello!! kisa nikabadilishe VCR, yaani amekulia kijijini hata kujifunza kuplay VCR hataki hata kufikiria. Hayo ni matokeo uya elimu duni.

Sema watu wengi wana elimu siku hizi hata ukimuona mwanamke anaendesha gari hushangai, wakati ilikuwa ni nadra sana.
 
Mwingine huyu hapa 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20240110-135312.png
    Screenshot_20240110-135312.png
    54.3 KB · Views: 6
  • Screenshot_20240110-135200.png
    Screenshot_20240110-135200.png
    47 KB · Views: 4
Back
Top Bottom