Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
Mbona majibu yao hayahusian na ishu za english medium?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaonekana umekuwa too much brainwashed ma maneno ya kiingereza eeh? What is international exhibition dada angu? Mbona una waza kiutumwa utumwa na ki academic hivyo?Kwenye hiyo paragraph yako ya mwisho unataka mwanangu akashindwe kufanya presentation huko kwenye ma international exhibition si ndio?ndio lengo lako nakuuliza?
We niambie hivi "J unapomsomesha mtoto wako,viende sambamba na kumuandalia miundombinu atakayo simamia baadae'
Ana mambo ya kijima sana...enzi za mwalimu hahahah🤣🤣🤣🤣Anachanganya mambo au sio?
Quality ya Education. Profesa hajui kutype, hajui kutumia projectors za kisasa, hajui kiingereza na hajui kutumia sound system.Hivi ukimchukuwa profesa aliyekulia na kusomea Lukuledi huko atamshinda mwingereza aliyesoma elementary education tu kwenye mambo ya kileo kama matumizi ya simu, kudafiri kwa ndege n.k? Exposure inapatika kwa kuwa exposed kwenye ulimwengu tofauti tofauti na ule uliozaliwa na siyo darasa lililo kijiji ulichozaliwa. Exposure is a broader concept encompassing the diverse range of experiences one encounters, while education specifically refers to the intentional and systematic acquisition of knowledge and skills. Upo?
Aliekwambia elimu inatakiwa ikupatie ajira NI Nani?tuache mawazo ya kitumwa.unahisi ulaya hawasomeshi watt wao.unadhani ulaya Kila anaemaliza shule anaajiriwa?kwa nn wanaendelea kupeleka shule watt wao?Mwingine huyu hapa 👇
Aliemuelewa huyu mlevi anielewesheAliekwambia elimu inatakiwa ikupatie ajira NI Nani?tuache mawazo ya kitumwa.unahisi ulaya hawasomeshi watt wao.unadhani ulaya Kila anaemaliza shule anaajiriwa?kwa nn wanaendelea kupeleka shule watt wao?