Farhan Jr kauliza kwanini elimu ya sasa imepungua mvuto? Majibu aliyo pewa, wanaosomesha English Mediums hawatayafurahia👇

Elimu imepoteza mvuto lakini haijapoteza quality. Quality ya elimu imeongezeka.
Zamani mzee ana phd lakini movie ikiisha kwenye deck anapiga kelele Kobello!! kisa nikabadilishe VCR, yaani amekulia kijijini hata kujifunza kuplay VCR hataki hata kufikiria. Hayo ni matokeo uya elimu duni.

Sema watu wengi wana elimu siku hizi hata ukimuona mwanamke anaendesha gari hushangai, wakati ilikuwa ni nadra sana.
 
Mwingine huyu hapa 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20240110-135312.png
    54.3 KB · Views: 6
  • Screenshot_20240110-135200.png
    47 KB · Views: 4
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…