Farhia Middle punguza huo unene

Farhia Middle punguza huo unene

Midle .......inasomwa hivyo hivyo Midle.
Sio kwa kizungu sijui mido. Hapana
 
IMG_20200413_215354.jpg
 
Huyu ndio anakuwaga na Abdala mwaipaya kwwnye kipindi cha mazungumzo ya familia?

Anakaubish flan hiv amaizing

komesha korona
 
  • Thanks
Reactions: ABJ
Mi napenda haya Magodolo ndio mazuri. Usipunguze unene utaninyima usingizi.
 
Naam

Huyu dada huwa namkubaii sana wakati wa usomaji wa Taarifa ya habari pale ITV.

Anajiamini na uwasilishaji wake wa habari ni mzuri kwakweli

Kwangu Mimi namuona inafaa sana BBC Swahili wamchukue huyu akasadiane na akina Kikeke na Zuhura kuliko wale Wakenya na Waganda wanaoongea Kiswahili Cha ovyo pale BBC.

Dada/Mama Farhia Middle jaribu fanya mazoezi upunguze huo uzito aisee.

Nafikiri kuwa na mwili wa wastani ni moja Kati sifa nzuri ya News anchors wote

Natumaini utapita hapa na kusoma nakufanyia kazi huu ushauri wangu

Mimi nakukubali sana

Jackline Silemu na wewe jitafakari.

Sent using Jamii Forums mobile app
Farhia Middle
Jacqueline Slim
Bahati Alex


Hawa wadada wameijachia sana wamekuwa kama mapipa wafanye mazoezi kupunguza walau hayo manyama uzembe.

Screen inajaa kichwa tu cha mtangazaji dah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom