Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
- Thread starter
- #101
Kanywe maji kwanza umeandika na kwikwi[emoji44]Acha majungu ww hayo ni masuala ya mtu binafsi kama yeye karidhika hivyo ww inakuhusu nini angalia uwasilishaji wake wa habari mengine achana nayo,unataka umpangie mtu hadi maisha aishi vipi acha uchimvi we
Sio kila kitu lazima uzungumze mimi nilidhani unazungumzia amekosea kusoma habari kumbe ni mwili wa mtu unauzungumzia huyo dada hajawahi kuwa mwembamba miaka yote yupo hivyo punguza ujuaji na maisha ya watu
Sent using Jamii Forums mobile app