Farkina nipikie makange tafadhari

Farkina nipikie makange tafadhari

makange nyama yoyote uipendayo. limao ,kitunguu ,chumvi ,hoho ,karoti ,nyanya 2 ,soya sosi ,honga ,tangawizi ,kitunguu thaumu ,mafuta ya kupikia . ,safisha nyama vizuri ,tia limao, chumvi kadogo,tangawazi,na kitunguu thaumu. acha kwa dk 10- 15 .weka mafuta jikoni, yakishapata moto tosa nyama ikaange mpk iwe kahawia opoa, weka pembeni.weka sufuria jikoni weka mafuta vijiko 2-4iyakipata moto weka vitunguu kanga mpk viwe brown,weka karoti,weka nyanya,weka honga,weka nyama,weka soya sos,iweka chumvi kidogo,kama utapenda weka pilipili.malizia na hoho.makange yako yatakuwa tayari kuliwa na chips,wali,au ugali.
 
makange nyama yoyote uipendayo. limao ,kitunguu ,chumvi ,hoho ,karoti ,nyanya 2 ,soya sosi ,honga ,tangawizi ,kitunguu thaumu ,mafuta ya kupikia . ,safisha nyama vizuri ,tia limao, chumvi kadogo,tangawazi,na kitunguu thaumu. acha kwa dk 10- 15 .weka mafuta jikoni, yakishapata moto tosa nyama ikaange mpk iwe kahawia opoa, weka pembeni.weka sufuria jikoni weka mafuta vijiko 2-4iyakipata moto weka vitunguu kanga mpk viwe brown,weka karoti,weka nyanya,weka honga,weka nyama,weka soya sos,iweka chumvi kidogo,kama utapenda weka pilipili.malizia na hoho.makange yako yatakuwa tayari kuliwa na chips,wali,au ugali.

Samahani honga ndo nini?
 
asante...

makange nyama yoyote uipendayo. limao ,kitunguu ,chumvi ,hoho ,karoti ,nyanya 2 ,soya sosi ,honga ,tangawizi ,kitunguu thaumu ,mafuta ya kupikia . ,safisha nyama vizuri ,tia limao, chumvi kadogo,tangawazi,na kitunguu thaumu. acha kwa dk 10- 15 .weka mafuta jikoni, yakishapata moto tosa nyama ikaange mpk iwe kahawia opoa, weka pembeni.weka sufuria jikoni weka mafuta vijiko 2-4iyakipata moto weka vitunguu kanga mpk viwe brown,weka karoti,weka nyanya,weka honga,weka nyama,weka soya sos,iweka chumvi kidogo,kama utapenda weka pilipili.malizia na hoho.makange yako yatakuwa tayari kuliwa na chips,wali,au ugali.
 
Back
Top Bottom