Fashion mpya ya Vanessa Mdee

Vip kama hio photoshoot ya tangazo la nguo za wadada ila wewe kwa ushangingi wako kutembelea vyumba vya wadada matokeo yake unaona vitu vyaajabu
 
Daaa kiukwel huyu demu mm simuelewag kabsa,alipata bahat sana kuwa na mnyama jux,kakomaa mno
 
ageuke nyuma tuukague msambwanda
 
Poleni SANA, kwa kumsema hapa na kupoteza muda wenu kwenye akaunti zenu hamna hela zilizoingia, ila yeye naamini wiki hii tu ameingiza mamilioni, na zaidi anapata madili makubwa ya kua judge kwenye East African got talent, it is not the matter of body or beauty but brains, kama brain hamna kitu basi wewe hauna manufaa kuishi, hao wenye matako makubwa na uzuri wa kuchorwa ambao. Hawajui hata kusema neno hi! au kusalimia salamu ya asubuhi kwa kiingereza, wao wana nini cha ziada zaidi maumbo yao ya kutengeneza kwa mchina?
 
Kakunyang’anya danga unamalizia machungu hapa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…