Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Inafaa utapendeza
Vaa tuu shogaa...sidhani kama italeta shida...tena utadamshi tuu na huo msambwanda wakoo🤗
Ila kama ni wasabato wa galatia shogaangu vaa tuu gauni lako la kitchenparty...
Kwahiyo huyu ni ww mkuu??? Tuanzie hapo kwanzaBaraka za Muumba wa Mbingu na ardhi zikawe nanyi daima...
Jamani naomba kuuliza..hv unaweza vaa harusini (mwanamke) Suruali ya kitambaa??yaani nivae suruali na top na kikoti juu??
Nna harusi leo ya kisabato..lakini kila nikiangalia nguo naona nawaleta majaribuni hawa watu wa Mungu!(hii nimealikwa jana tu) hvyo sina sare ..!
Wajuzi wa mambo nishaurini hapa km hamtajali..
mfano wa ninavyotaka kuvaa ni kama kama hvi[emoji116]View attachment 1108426
Kwahiyo huyu ni ww mkuu??? Tuanzie hapo kwanza
Usivae hivyo hautakua comfortable ,macho mengi yatakuangalia kwa namna ya kukushangaa .utashindwa hata kunyanyuka.
Huyo wa kwenye Avatar ni wewe?Sio mm..kulikoni...mavazi haya niloyovaa yameendana hapa..
Huyo wa kwenye Avatar ni wewe?
Mh... !Sio mm..kulikoni...mavazi haya niloyovaa yameendana hapa..
Tukio la juzi, bado ndoto mbaya mbaya zinanijia.Hahahhaah....!had ww...kulikon..wanijua eh?
Baraka za Muumba wa Mbingu na ardhi zikawe nanyi daima...
Jamani naomba kuuliza..hv unaweza vaa harusini (mwanamke) Suruali ya kitambaa??yaani nivae suruali na top na kikoti juu??
Nna harusi leo ya kisabato..lakini kila nikiangalia nguo naona nawaleta majaribuni hawa watu wa Mungu!(hii nimealikwa jana tu) hvyo sina sare ..!
Wajuzi wa mambo nishaurini hapa km hamtajali..
mfano wa ninavyotaka kuvaa ni kama kama hvi👇View attachment 1108426