charrote
JF-Expert Member
- Aug 11, 2017
- 1,848
- 4,146
Heee! Habanwi haja?Anyanyuke aende wapi, kwani hapo harusini Dj atapiga wimbo wa Taifa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heee! Habanwi haja?Anyanyuke aende wapi, kwani hapo harusini Dj atapiga wimbo wa Taifa?
MtamuBaraka za Muumba wa Mbingu na ardhi zikawe nanyi daima...
Jamani naomba kuuliza..hv unaweza vaa harusini (mwanamke) Suruali ya kitambaa??yaani nivae suruali na top na kikoti juu??
Nna harusi leo ya kisabato..lakini kila nikiangalia nguo naona nawaleta majaribuni hawa watu wa Mungu!(hii nimealikwa jana tu) hvyo sina sare ..!
Wajuzi wa mambo nishaurini hapa km hamtajali..
mfano wa ninavyotaka kuvaa ni kama kama hvi[emoji116]View attachment 1108426
Kumbe una msambwanda?[emoji16][emoji16][emoji16]..Yaan ni adabu na heshima..wamesema tupige vigelegele vya Uungu[emoji23][emoji23]sio vya kimataifa[emoji16][emoji16]sherehe saa 3 mwisho[emoji28][emoji28]..mie kmyaa
Kumbe una msambwanda?
Kumbe msambwanda wenye hela ni mzuri zaidi. Kuna wanaume wana misambwanda pia ukumbuke.yaan nashangaa mnaifanya misambwanda km big deal..mtu uwe na msambwanda alafu huna mbele wala nyuma[emoji57][emoji57][emoji57]..msambwanda uendane na kuzitaft hela mzee baba
Mmoja yupo paleeee ilala boma!Kumbe msambwanda wenye hela ni mzuri zaidi. Kuna wanaume wana misambwanda pia ukumbuke.
Sijawahi kufika huko mkuu, mimi ni Mwanza tu na Kahama.Mmoja yupo paleeee ilala boma!
Hata huko anakujaga! Anaongea kwa lafudhi ya kikolomije!Sijawahi kufika huko mkuu, mimi ni Mwanza tu na Kahama.
1 Timotheo 2:9 Vivyo hivyo wanawake na wajipambe kwa mavazi ya kujisitiri, pamoja na adabu nzuri, na moyo wa kiasi; si kwa kusuka nywele, wala kwa dhahabu na lulu, wala kwa nguo za thamani;Baraka za Muumba wa Mbingu na ardhi zikawe nanyi daima...
Jamani naomba kuuliza..hv unaweza vaa harusini (mwanamke) Suruali ya kitambaa??yaani nivae suruali na top na kikoti juu??
Nna harusi leo ya kisabato..lakini kila nikiangalia nguo naona nawaleta majaribuni hawa watu wa Mungu!(hii nimealikwa jana tu) hvyo sina sare ..!
Wajuzi wa mambo nishaurini hapa km hamtajali..
mfano wa ninavyotaka kuvaa ni kama kama hvi👇View attachment 1108426
1 Timotheo 2:9 Vivyo hivyo wanawake na wajipambe kwa mavazi ya kujisitiri, pamoja na adabu nzuri, na moyo wa kiasi; si kwa kusuka nywele, wala kwa dhahabu na lulu, wala kwa nguo za thamani;
nguo = gauni ndefu kupita magoti safi. lafaa. hizo surale zinazoonesha mistari ya mipaka ya maumbile hakuna asubhi hapo!nilijistiri vyema mkuu
nguo = gauni ndefu kupita magoti safi. lafaa. hizo surale zinazoonesha mistari ya mipaka ya maumbile hakuna asubhi hapo!
Be blessed
Kwa uchunguzi wangu nimejiridhisha ni ww mkuu,Sio mm..kulikoni...mavazi haya niloyovaa yameendana hapa..