Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
- Thread starter
- #21
Ungeshona iingine tu kama hiyo lakini isikubane sana yaani chini kama bwanga fulani hivi.
Tatizo muda...sikua najua kuna harusi..imeisha hata hvyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungeshona iingine tu kama hiyo lakini isikubane sana yaani chini kama bwanga fulani hivi.
Tukio la juzi, bado ndoto mbaya mbaya zinanijia.
Mkuu Hongera SanaBaraka za Muumba wa Mbingu na ardhi zikawe nanyi daima...
Jamani naomba kuuliza..hv unaweza vaa harusini (mwanamke) Suruali ya kitambaa??yaani nivae suruali na top na kikoti juu??
Nna harusi leo ya kisabato..lakini kila nikiangalia nguo naona nawaleta majaribuni hawa watu wa Mungu!(hii nimealikwa jana tu) hvyo sina sare ..!
Wajuzi wa mambo nishaurini hapa km hamtajali..
mfano wa ninavyotaka kuvaa ni kama kama hvi👇View attachment 1108426
Sijasahau ila mambo tu ya uandishi ndio ikazua tafrani, daaah... ukaamua kunikunjia ile ile,Mimi ulinikwaza sana nilikushangaa sana..duh..niyarekebisha asbh .ila iwe yenyewe...!how come mzee baba unasahau vitu vya muhimu namna hii
Hahahaaa.Mi nimeona uzi umependeza tu kwa picha ila kilichoongelewa sijaelewa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]
Sijasahau ila mambo tu ya uandishi ndio ikazua tafrani, daaah... ukaamua kunikunjia ile ile,
Vazi makini sana tupiaBaraka za Muumba wa Mbingu na ardhi zikawe nanyi daima...
Jamani naomba kuuliza..hv unaweza vaa harusini (mwanamke) Suruali ya kitambaa??yaani nivae suruali na top na kikoti juu??
Nna harusi leo ya kisabato..lakini kila nikiangalia nguo naona nawaleta majaribuni hawa watu wa Mungu!(hii nimealikwa jana tu) hvyo sina sare ..!
Wajuzi wa mambo nishaurini hapa km hamtajali..
mfano wa ninavyotaka kuvaa ni kama kama hvi[emoji116]View attachment 1108426
Vazi makini sana tupiaBaraka za Muumba wa Mbingu na ardhi zikawe nanyi daima...
Jamani naomba kuuliza..hv unaweza vaa harusini (mwanamke) Suruali ya kitambaa??yaani nivae suruali na top na kikoti juu??
Nna harusi leo ya kisabato..lakini kila nikiangalia nguo naona nawaleta majaribuni hawa watu wa Mungu!(hii nimealikwa jana tu) hvyo sina sare ..!
Wajuzi wa mambo nishaurini hapa km hamtajali..
mfano wa ninavyotaka kuvaa ni kama kama hvi[emoji116]View attachment 1108426
nawaleta majaribuni hawa watu wa Mungu!View attachment 1108426
Duh kusema ukweli Mimi umeshanitia majaribuni japo sio mtumishi Wa Mungu
Hilo shape ni noma na hicho kifua kwenye avatar 🤔🤔🤔🤔
Mtumishi ..rudisha kondoo zizini mtumishi
Usivae hivyo hautakua comfortable ,macho mengi yatakuangalia kwa namna ya kukushangaa .utashindwa hata kunyanyuka.