Fashionista: Aina ya nguo hii inafaa kuvaliwa harusini?

Mi nimeona uzi umependeza tu kwa picha ila kilichoongelewa sijaelewa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]
 
Mkuu Hongera Sana
Naomba Usinisahau Kwenye Ufalme Wako
Yaani Umependeza Acha Tu
Naunga Mkono Hoja
Tafadhali Jitahidi Sana Uje PM
 
Mimi ulinikwaza sana nilikushangaa sana..duh..niyarekebisha asbh .ila iwe yenyewe...!how come mzee baba unasahau vitu vya muhimu namna hii
Sijasahau ila mambo tu ya uandishi ndio ikazua tafrani, daaah... ukaamua kunikunjia ile ile,
 
hiyo picha imenifanya nisahau ata natakiwa kushauri juu ya suala gani...ok anyway ushauri wangu ni kua ni kweli protini inavirutubisho vingi
 
Vaa kama Mother Theresa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]
 
Vazi makini sana tupia
 
Vazi makini sana tupia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…