adrenaline
JF-Expert Member
- Jun 17, 2015
- 3,152
- 4,843
POa MkuuIkitoka army of thieves mnistue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
POa MkuuIkitoka army of thieves mnistue
😂😂😂iko vizuri,yaani jamaa wanakulazimisha kukudanganya mpaka unaingia line😂😂😂,ila nilicheka zaidi mbongo mwenzetu Tyrese alivoanza kujihisi yeye si binadamu wa kawaida maana karushiwa risasi nyingi na hata moja haijampata 😆😆😆
Mziki sana hiyo wanawake wanaweza wakiwezesha alisema baby wangu baada kuiona hii movieGun Powder Milkshake hahahaha nangalia zangu
Rurouni kenshin nimehamia kwenye hiyo...Mziki sana hiyo wanawake wanaweza wakiwezesha alisema baby wangu baada kuiona hii movie
Hao huwa hawaumii.. 😀😀Hiyo movie niliacha kuangalia pale diesel na mdada flani wakiwa ndani ya gari wamerukia mlima mwingine kwa kutumia kamba na Gari likaharibika sana lakini wao hawakuumia hata kidogo.
From street racing based to sci Fi movie.
Ukiondoa hivyo hii movie haichoshi kwa wapenda actions.
Huo ujinga siwezi kuangalia aiseeHao huwa hawaumii.. 😀😀
Nzuri ya 3 ya 2 na ya 1 na ya 5Binafsi naona Kama inazidi kupoteza mvuto tu by the way zile fast and furious part 5 and 6 ndio zilikuwa nzuri zaidi ya hii ya sasa.
Alisepa kabla haijazama aseeNdio maana Dwyne Johnson kaamaua kuachana nao.
hawa wajinga laws za physics hazihusiki kwao 🤣 🤣
moja ya kipande tulicho pigwa hasaaa n hapo darajani
Acha hapo kuna sehemu zile exotic car mbili zinasimamisha gari lile kubwa almost linakaribia tani 100, jamaa wamebaka laws za physicsmoja ya kipande tulicho pigwa hasaaa n hapo darajani