Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Kampuni ya Fast Jet inategemea kuanza kuruka kutoka Dar es Salaam kuelekea Mbeya kuanzia mwezi Novemba tarehe moja.
Hii ina maanisha kuwa, Precision Air watakuwa kwenye kipindi kigumu zaidi kwani jamaa wamekuja na dau la kuanzia sh. 32,000/= kwa safari ya kwenda moja.
Hii ina maanisha kuwa, Precision Air watakuwa kwenye kipindi kigumu zaidi kwani jamaa wamekuja na dau la kuanzia sh. 32,000/= kwa safari ya kwenda moja.