new generation
JF-Expert Member
- Mar 14, 2012
- 817
- 1,687
Wadau, nimefika airport hapa mwalimu julius, ilikua dakika 40 before boarding.. But huwez amin nimekataliwa kupanda ndege, naambiwa ni mechelewa.. Na kufanya re-schedule hawa jamaa wapo very expensive.. Dah sina hamu..safar yangu ya mwanza imebidi ni cancel.
Pole sana. ni washenzi sana sijui tuwashitaki wapi vile. Mamlaka gani inahusika na usafiri wa anga. dakika 40 muda ulikuwa bado. nadhani ni dili za wakata tiketi kuweka watu wao.
wadau, nimefika airport hapa mwalimu julius, ilikua dakika 40 before boarding.. But huwez amin nimekataliwa kupanda ndege, naambiwa ni mechelewa.. Na kufanya re-schedule hawa jamaa wapo very expensive.. Dah sina hamu..safar yangu ya mwanza imebidi ni cancel.
aaah nawewe kama ungewai haya yasingekukuta, wewe hili jiji walijua halafu unatoka posta nusu saa kabla ndege kuondoka, dah lzm ile kwako mzee
Pole mkuu lakini wameandika kwenye tiketi yao kwamba 40 min before your flight utakua umechelewaWadau, nimefika airport hapa mwalimu julius, ilikua dakika 40 before boarding.. But huwez amin nimekataliwa kupanda ndege, naambiwa ni mechelewa.. Na kufanya re-schedule hawa jamaa wapo very expensive.. Dah sina hamu..safar yangu ya mwanza imebidi ni cancel.
Wadau, nimefika airport hapa mwalimu julius, ilikua dakika 40 before boarding.. But huwez amin nimekataliwa kupanda ndege, naambiwa ni mechelewa.. Na kufanya re-schedule hawa jamaa wapo very expensive.. Dah sina hamu..safar yangu ya mwanza imebidi ni cancel.
aaah nawewe kama ungewai haya yasingekukuta, wewe hili jiji walijua halafu unatoka posta nusu saa kabla ndege kuondoka, dah lzm ile kwako mzee
Pole sana. ni washenzi sana sijui tuwashitaki wapi vile. Mamlaka gani inahusika na usafiri wa anga. dakika 40 muda ulikuwa bado. nadhani ni dili za wakata tiketi kuweka watu wao.
Wadau, nimefika airport hapa mwalimu julius, ilikua dakika 40 before boarding.. But huwez amin nimekataliwa kupanda ndege, naambiwa ni mechelewa.. Na kufanya re-schedule hawa jamaa wapo very expensive.. Dah sina hamu..safar yangu ya mwanza imebidi ni cancel.
Pole mkuu lakini wameandika kwenye tiketi yao kwamba 40 min before your flight utakua umechelewa