new generation
JF-Expert Member
- Mar 14, 2012
- 817
- 1,687
Wadau,
Nimefika Airport hapa Mwalimu Julius, ilikua dakika 40 before boarding.But huwezi amini nimekataliwa kupanda ndege, naambiwa nimechelewa na kufanya re-schedule hawa jamaa wapo very expensive.
Dah sina hamu safari yangu ya Mwanza imebidi ni cancel.
Nimefika Airport hapa Mwalimu Julius, ilikua dakika 40 before boarding.But huwezi amini nimekataliwa kupanda ndege, naambiwa nimechelewa na kufanya re-schedule hawa jamaa wapo very expensive.
Dah sina hamu safari yangu ya Mwanza imebidi ni cancel.