Rogie
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 7,586
- 6,697
Sio suala la kuwahi wala nini hawa fast jet ni wapuuzi tu. Wao wanakwambia ufike 40 minutes kabla ya safari lakini hii kitu hawaifuati. Ukifika kwa muda huo unakuta hata counter wameishafunga. Yalinipata Arusha haya ya fastjet some two years back nikitoka KIA kurudi Dar na tangia siku hiyo sitaki kusikia kitu kinaitwa fast jet, wapuuzi sana.
Tiba
Check In inaanza 2 hrs before and closed 40 minutes before.