Habari zenu wanajamvi,
Kuna baadhi ya mambo yananichanganya kuhusu hawa fastJet,
1.Bei zao wanazotutangazia hazina ukweli wowote na hazikaribiani na ukweli,
Mfano leo kwenye website yako wamatutangazia ndege yao ya kwanza kutoka Dar kwenda KIA ni tsh32,000 ,nimepiga simu wanasema ni Tsh107000=.
2.Ukichelewa hata dakika moja baada ya reporting time hawakujui,kwani wameshachukua chao,wanakunyima safari.Hii imemtokea jamaa yangu mmoja leo jioni,walikuwa zaidi ya abiria 8 lakini hawakuwasikiliza zaidi ya kuwapa majibu ya kukatisha tamaa na kejeli,
3.majibu yao kwa ujumla wanaonekana kama abiria wanaopanda hiyo ndege wanapanda bure,au ni kama msaada flani,hawamthamini abiria kabisa,
4.Watanzania wenzangu tunaofanya hapo fastjet na wateja ebu jaribuni kuipa thamani pesa yetu ilingane na huduma tunayopewa na tunayotoa kwa wateja,hatuhitaji msaada wenu,
Mwenye kero kama zangu tiririka hapa
Mkuu usichanganyikiwe, fastjet website yao ni nzuri na detail zote za safari unazipata, wewe upo kwenye website alafu unawapigia simu ofisini wakati kila kitu kimo humo humo. Tujifunze kuangalia vitu kwa makini maana jamaa wanatangaza nauli ni 32,000 book now (hawajakwambia kwamba nauli ni hiyo kwa siku hiyo hivyo ulitakiwa u-click Dar to Kilimanjaro kuona kwa siku hiyo nauli ni shilingi ngapi badala ya kupiga simu kwani kila kitu kimo humohumo kwenye mtandao)
Mfano kwa walioondoka asubuhi leo kwenda kilimanjaro nauli ilikuwa 75,040
[TABLE="class: BasketItemsTable"]
[TR="class: outboundFlight BasketItineraryItemRow"]
[TD="class: BasketItineraryItemColumn, colspan: 2"]Dar es Salaam to Kilimanjaro (FN0155) [/TD]
[/TR]
[TR="class: BasketItineraryFlightRow"]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn1"] Departure: [/TD]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn2"] 30 Dec 06:00 [/TD]
[/TR]
[TR="class: BasketItineraryFlightRow"]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn1"] Arrival Time: [/TD]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn2"] 30 Dec 07:20 [/TD]
[/TR]
[TR="class: BasketItineraryFlightRow"]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn1"] Fare: [/TD]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn2"] 64,000 TZS [/TD]
[/TR]
[TR="class: BasketItineraryFlightRow"]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn1"] Taxes: [/TD]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn2"] 11,040 TZS [/TD]
[/TR]
[TR="class: BasketItineraryFlightRow"]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn1"] Total: [/TD]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn2"] 75,040 TZS [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: BasketItineraryFlightDivider, colspan: 2"]
[/TD]
[/TR]
[TR="class: BasketBaseFareTotalPriceRow"]
[TD="class: BasketBaseFareTotalPriceColumn1"] Total fares and taxes: [/TD]
[TD="class: BasketBaseFareTotalPriceColumn2"] 75,040 TZS [/TD]
[/TR]
[TR="class: BasketBaseFareTotalPriceRow"]
[TD="class: BasketBaseFareTotalPriceColumn1"] Total Baggage: [/TD]
[TD="class: BasketBaseFareTotalPriceColumn2"] 0 TZS [/TD]
[/TR]
[TR="class: BasketGrandTotalRow"]
[TD="class: BasketGrandTotalColumn1, colspan: 2"] [TABLE="class: BasketGrandTotalTab"]
[TR]
[TD="class: BasketGrandTotalCaption"] Total payable: [/TD]
[TD="class: BasketGrandTotalPrice"] 75,040 TZS
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Jioni ilikuwa ni hiyo uliosema wewe (107,040)
[TABLE="class: BasketItemsTable"]
[TR="class: outboundFlight BasketItineraryItemRow"]
[TD="class: BasketItineraryItemColumn, colspan: 2"]Dar es Salaam to Kilimanjaro (FN0151) [/TD]
[/TR]
[TR="class: BasketItineraryFlightRow"]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn1"] Departure: [/TD]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn2"] 30 Dec 10:30 [/TD]
[/TR]
[TR="class: BasketItineraryFlightRow"]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn1"] Arrival Time: [/TD]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn2"] 30 Dec 11:50 [/TD]
[/TR]
[TR="class: BasketItineraryFlightRow"]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn1"] Fare: [/TD]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn2"] 96,000 TZS [/TD]
[/TR]
[TR="class: BasketItineraryFlightRow"]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn1"] Taxes: [/TD]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn2"] 11,040 TZS [/TD]
[/TR]
[TR="class: BasketItineraryFlightRow"]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn1"] Total: [/TD]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn2"] 107,040 TZS [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: BasketItineraryFlightDivider, colspan: 2"]
[/TD]
[/TR]
[TR="class: BasketBaseFareTotalPriceRow"]
[TD="class: BasketBaseFareTotalPriceColumn1"] Total fares and taxes: [/TD]
[TD="class: BasketBaseFareTotalPriceColumn2"] 107,040 TZS [/TD]
[/TR]
[TR="class: BasketBaseFareTotalPriceRow"]
[TD="class: BasketBaseFareTotalPriceColumn1"] Total Baggage: [/TD]
[TD="class: BasketBaseFareTotalPriceColumn2"] 0 TZS [/TD]
[/TR]
[TR="class: BasketGrandTotalRow"]
[TD="class: BasketGrandTotalColumn1, colspan: 2"] [TABLE="class: BasketGrandTotalTab"]
[TR]
[TD="class: BasketGrandTotalCaption"] Total payable: [/TD]
[TD="class: BasketGrandTotalPrice"] 107,040 TZS
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Kama ungetaka nauli ya 32,000 ungepata tu mkuu nayo inapatikana tarehe 11 January ndege ya asubuhi kama ilivyo chini
[TABLE="class: BasketItemsTable"]
[TR="class: outboundFlight BasketItineraryItemRow"]
[TD="class: BasketItineraryItemColumn, colspan: 2"]Dar es Salaam to Kilimanjaro (FN0155) [/TD]
[/TR]
[TR="class: BasketItineraryFlightRow"]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn1"] Departure: [/TD]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn2"] 11 Jan 06:00 [/TD]
[/TR]
[TR="class: BasketItineraryFlightRow"]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn1"] Arrival Time: [/TD]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn2"] 11 Jan 07:20 [/TD]
[/TR]
[TR="class: BasketItineraryFlightRow"]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn1"] Fare: [/TD]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn2"] 32,000 TZS [/TD]
[/TR]
[TR="class: BasketItineraryFlightRow"]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn1"] Taxes: [/TD]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn2"] 11,040 TZS [/TD]
[/TR]
[TR="class: BasketItineraryFlightRow"]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn1"] Total: [/TD]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn2"] 43,040 TZS [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: BasketItineraryFlightDivider, colspan: 2"]
[/TD]
[/TR]
[TR="class: BasketBaseFareTotalPriceRow"]
[TD="class: BasketBaseFareTotalPriceColumn1"] Total fares and taxes: [/TD]
[TD="class: BasketBaseFareTotalPriceColumn2"] 43,040 TZS [/TD]
[/TR]
[TR="class: BasketBaseFareTotalPriceRow"]
[TD="class: BasketBaseFareTotalPriceColumn1"] Total Baggage: [/TD]
[TD="class: BasketBaseFareTotalPriceColumn2"] 0 TZS [/TD]
[/TR]
[TR="class: BasketGrandTotalRow"]
[TD="class: BasketGrandTotalColumn1, colspan: 2"] [TABLE="class: BasketGrandTotalTab"]
[TR]
[TD="class: BasketGrandTotalCaption"] Total payable: [/TD]
[TD="class: BasketGrandTotalPrice"] 43,040 TZS[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Kwa kampuni yoyote ya ndege katika matangazo mara nyingi hutangaza ile ambayo ni minimum na wasafiri wengi wa ndege wanajua kabisa kadri unavyofanya booking mapema ndio na bei inakua chini
NEXT TIME SOMA MAELEKEZO VIZURI MAANA HICHO KITU UNACHOLALAMIKIA KIPO KWENYE WEBSITE YAO PIA ZINGATIENI MUDA MAANA NAULI YENYEWE NI 43,040 SASA WATASIKILIZA WANGAPI NA WAO NI LOW COST AIRLINE
TOFAUTI NA PRECISION AIR AMBAYO UKICHELEWA LAZIMA WATAKUPA NDEGE NYINGINE NA BADO UNAWEZA UKABADILISHA MUDA NA SIKU YA KUONDOKA NA HATA IKATOKEA NDEGE IMEHARIBIKA HAIENDI WATAKULIPIA GHARAMA ZA HOTEL KUSUBIRI KUONDOKA KESHO YAKE. LAKINI KWA HAWA JAMAA USITEGEMEE HIZO OFFER MKUU NA NDIO MAANA KILA KITU KINA FAIDA NA HASARA
Mwisho jamani ndege sio kama vile tunavyosafiri kwenye Zafanana au Super Najimunisa kwani kuna taratibu nyingi za kiusalama lazima upitie na ndio maana wakaweka muda wa ku-check in mapema na ukute wote waliozuiwa ni wale wenye mamizigo ambayo hayawezi kukaa ndani ya ndege wakati wao wameisha ichukua mizigo ya sijui niite ya kuwekwa kwenye buti, ndege zinaongozwa na kanuni na taratibu though wakati mwingine huwa nao wanakiuka (hasa kama una kamzigo ka ndani hata kama utakuja bado dakika 20 kuondoka wanaweza kukuruhusu maana process yako si ndefu kama mwenye mjibegi la kilo ishirini maana ile mizigo inahitaji muda wa kupangwa vizuri), pia tujifunze kusoma na kufuata kanuni kama zilivyoainishwa kwenye website
[h=2]
7. CHECK IN AND BOARDING[/h] 7.1 The Check-in Deadline is 40 minutes prior to the scheduled time of departure. The Check-in desk will close at the Check-in Deadline and you must therefore allow ample time to ensure you can check in before this time. We will not accept you for travel and will cancel your reservation if you do not comply with the Check-in Deadline or appear to be improperly documented and not ready for travel. We are not liable for loss or expenses due to your failure to comply
7.2 You must be present at the boarding gate not later than the time specified by us when you check in.
7.3 We will cancel the space reserved for you if you fail to arrive at the boarding gate in time.
7.4 We will not be liable to you for any loss or expense incurred due to your failure to comply with the provisions of this Article.