Fastjet PLC inatarajia kuuza hisa zake katika shirika la Fastjet Tanzania

ukiona mwenzio tena mkwengwe kwenye soko anakimbia unapaswa uwe makini maradufu, nadhani n fursa kwa ATCL ila nawa wawe makini sokoni kugumu kwelikweli
 
Urasimu usio na maana ndiyo unaodhoofisha uwekezaji Tanzania. Kuna Wenye mamlaka katika Kutoa vibali and so forth ambao very possible wanafanya haya kwa makusudi Au kwa maelekezo ili kudhoofisha hili shirika.
 
Huyu fastjet bhana anachekesha kweli kwan lazima awekeze tz duh aende hata huko Ben congo DRC
 
Habari wadau!

Katika hali ya kuhuzunisha na kuondoa hali ya ushindani nchini wa usafiri wa anga. Shirika la ndege la fast jet limeanza kufunga virago Tanzania kwa mazingira magumu ya uwekezaji na serikali kuwanyima vibali vya baadhi ya rout na kuwanyima kibali cha kuingiza ndege mpya nchini.

Mkurugenzi wa shirika hilo kathibitisha kufunga virago kwa kushindwa kuwa na mazingira rafiki ya uwekezaji na kutotoa uwanja mpana wa ushindani
 
mkomoe mtoto wa jirani na mpendelee mtoto wako.

hii nchi imekuwa ngumu sana kwa wafanyabiashara.
Hawa hata wakibaki wenyewe wataishia kushindwa tu.

Sasa tunakwenda kukosa hata hiyo kodi waliokuwa wanalipa serikalini, hela (charges) walizokuwa wanalipa TAA na TCAA,n.k na pia watu wanakwenda kupoteza ajira na hivyo PAYE ya staff wao nayo tunaikosa pia.
 
Kwa taarifa yako Fastjet walikuwa wababaishaji ila basi tu tulikuwa hatunajinsi ya kufanya kwa kuwa walikuwa hawana mshindani na nilishawaambie likija shirika la ndege jingine wajitayarishe kwa maumivu. Angalia Server zao ziko UK na hakuna admin TZ baada ya kuona sasa wanabanwa na sheria ya .co.tz wamekimbilia Msumbiji lakini wanajifanya wako TZ ofisi zao za TZ hazina maamuzi kabisa just operators.
 
Kama hii habari n kweli basi tunaenda siko... Dawa ya wewe kuwa tajiri s kumua tajiri
Walidhani hii biashara ni rahisi rahisi tu.Ni wazi hawawezi ushindani.

Swali ni je,kama humu ndani ya nchi kuna washinda,kuruka kimataifa ndio wataweza?
 
It is not science rocket to know that 'CHARITY BEGINS AT HOME" JAPOKUWA UNATIMIZA WAJIBU WA CONTRACT YAKO, LAKINI KUNA KAZI NYINGI NI AIBU KUFANYA, HASA ZA KUWADI
Ni ukuwadi au maneno ya kweli..
 
It is not science rocket to know that 'CHARITY BEGINS AT HOME" JAPOKUWA UNATIMIZA WAJIBU WA CONTRACT YAKO, LAKINI KUNA KAZI NYINGI NI AIBU KUFANYA, HASA ZA KUWADI
Kweli kabisa aisee kazi ya kusifia jiwe kila uchao huku wengi wetu tukishindwa kumkosoa tunapokuwa na uhakika kuwa anastahili kukosolewa ni unafiki kama si ulimbukeni uliokithiri. Hakuna mbeleko ya kuibeba ATCL kimataifa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…