Nilianza ndoto yangu ya kumiliki shule nikiwa nimeuanza mwaka wa tatu wa masomo yangu ya degree. Wakati huo niliapply kazi ya KUFUNDISHA katika shule moja ya English medium. ELIMU ya mkuu wa shule ilikuwa ni certificate level. Kwa kuwa Mimi nilikuwa na diploma ya ualimu nilipewa majukumu ya kumshauri mkuu wa shule pamoja mkurugenzi wa shule na msimamamizi wa usajili wa walimu wapya pamoja na mkakuzi wa kazi zao. Hakuna mwalimu aliyepata ajili bila Mimi kumuandikia taarifa mwajili kuwa mwalimu huyu ameshinda vipimo alivyopewa. Kimsingi kila kitu katika shule ile kilinihitaji na kunitegemea.
Mamlaka niliyopewa ya uamuzi wa mambo mengi na kupitishwa kwa kila kitu nilichosuggest kwa mmiliki wa shule ilinipa moyo wa ujasiri sana. Kutokana na kibarua changu mmiliki wa shule alinipa mshahara mkubwa kushinda mwalimu mwingine yeyote yule. Hata mkuu wa shule nilimshinda kwa mshahara Hapa nikaanza kujiuliza ikiwa mimi ndiyo mshahuri wa karibia kila kitu kihususho utaalamu wa uendeshaji wa shule , Je siwezi na Mimi nikafikiria kuanzisha shule yangu?
Baada ya kufikiria sana nikaona ni lazima Mimi niwe mmiliki wa shule. So kuanzia hapo Mimi nikaanza kujiona kuwa ni mmiliki wa shule kubwa isiyoonekana kwa macho. Kimsingi mimi huwa sianzi kwa kutafutapesa kisha wazo bali naanza na wao kisha nafikiria pesa. Hivyo nikaanza kutafuta jina la shule nikaona iitwe EXODUS. Neno langu la kusimamia katika kitabu hicho ni KUTOKA 3.8 ambacho kinasema "nami nimeshuka ili niwaokoe na mikono ya Wamisri, niwapandishe kutoka nchi ile, hata nchi njema, kisha pana; nchi ijaayo maziwa na asali; hata mahali pa Mkanaani, na Mhiti, na Mwamori, na Mperizi, na Mhivi, na Myebusi". Hapo nilikuwa nafikilria kuwa shule nitakayoijenga iwe miongoni mwa shule bora katika jamii nitokayo ambayo itakuwa kimbilio la watoto wa masikini ambao wamekuwa wakidanganywa siku zote na walala Hai walioko serikalini kuwa Kiswahil ni lugha ya taifa lakini walala hai wenyewe hawawapeleki watoto wao kwenye shule zinazofundisha ELIMU ya msingi kwa lugha ya Kiswahili hivyo kuwanyima watoto wa masikini fursa lukuki, Katika ulimwengu huu ambaodunia yote tunaishi kama tupo kwenye kijiji kimoja. Kimbilio la watoto walao mlo mmoja. Kimbilio la watu wasiowaza maisha bora na wakitoka wawe kama wametoka kwenye nchi ijaayo maziwa na asali. So ni kuiondoa jamii masikini kwenye nchi ya ya utume anti misri na kipeleka kwenye nchi ijaayo maziwa na asari. ELIMU na mazingira watakayoyakuta shuleni yatawafanya wakitoka hapa wawe na mwendelezo wa kuyatafuta maisha bora kama vile kuishi kwenye nchi ijaayo maziwa na asari. Hivyo ninalenga kuibadili jamii yangu kifikra, kijamii na kiuchumi kuelekea standard life. Naam maisha ya kumjua Mungu pia.
simulizi yangu ya safari yangu ya kumiliki shule itaendelea kesho. Nahaidi kuwawekea picha za jengo langu la shule. Safari ni hatua wakuu.
Mamlaka niliyopewa ya uamuzi wa mambo mengi na kupitishwa kwa kila kitu nilichosuggest kwa mmiliki wa shule ilinipa moyo wa ujasiri sana. Kutokana na kibarua changu mmiliki wa shule alinipa mshahara mkubwa kushinda mwalimu mwingine yeyote yule. Hata mkuu wa shule nilimshinda kwa mshahara Hapa nikaanza kujiuliza ikiwa mimi ndiyo mshahuri wa karibia kila kitu kihususho utaalamu wa uendeshaji wa shule , Je siwezi na Mimi nikafikiria kuanzisha shule yangu?
Baada ya kufikiria sana nikaona ni lazima Mimi niwe mmiliki wa shule. So kuanzia hapo Mimi nikaanza kujiona kuwa ni mmiliki wa shule kubwa isiyoonekana kwa macho. Kimsingi mimi huwa sianzi kwa kutafutapesa kisha wazo bali naanza na wao kisha nafikiria pesa. Hivyo nikaanza kutafuta jina la shule nikaona iitwe EXODUS. Neno langu la kusimamia katika kitabu hicho ni KUTOKA 3.8 ambacho kinasema "nami nimeshuka ili niwaokoe na mikono ya Wamisri, niwapandishe kutoka nchi ile, hata nchi njema, kisha pana; nchi ijaayo maziwa na asali; hata mahali pa Mkanaani, na Mhiti, na Mwamori, na Mperizi, na Mhivi, na Myebusi". Hapo nilikuwa nafikilria kuwa shule nitakayoijenga iwe miongoni mwa shule bora katika jamii nitokayo ambayo itakuwa kimbilio la watoto wa masikini ambao wamekuwa wakidanganywa siku zote na walala Hai walioko serikalini kuwa Kiswahil ni lugha ya taifa lakini walala hai wenyewe hawawapeleki watoto wao kwenye shule zinazofundisha ELIMU ya msingi kwa lugha ya Kiswahili hivyo kuwanyima watoto wa masikini fursa lukuki, Katika ulimwengu huu ambaodunia yote tunaishi kama tupo kwenye kijiji kimoja. Kimbilio la watoto walao mlo mmoja. Kimbilio la watu wasiowaza maisha bora na wakitoka wawe kama wametoka kwenye nchi ijaayo maziwa na asali. So ni kuiondoa jamii masikini kwenye nchi ya ya utume anti misri na kipeleka kwenye nchi ijaayo maziwa na asari. ELIMU na mazingira watakayoyakuta shuleni yatawafanya wakitoka hapa wawe na mwendelezo wa kuyatafuta maisha bora kama vile kuishi kwenye nchi ijaayo maziwa na asari. Hivyo ninalenga kuibadili jamii yangu kifikra, kijamii na kiuchumi kuelekea standard life. Naam maisha ya kumjua Mungu pia.
simulizi yangu ya safari yangu ya kumiliki shule itaendelea kesho. Nahaidi kuwawekea picha za jengo langu la shule. Safari ni hatua wakuu.