Fatilia mwanzo wa ndoto yangu ya kumiliki shule

Fatilia mwanzo wa ndoto yangu ya kumiliki shule

Asante sana inapendeza ukiwa na mtu anayeweza kufanyakazi zake bila supervision mwezi mzima inakuwezesha kufanya projects nyingine kwa amani. Basi tutashukuru sana ukileta feedback hapa na wengine wote hii inasaidia kushare experiences na kutia moyo wanaoanza. Barikiweni nyote
 
Asante sana inapendeza ukiwa na mtu anayeweza kufanyakazi zake bila supervision mwezi mzima inakuwezesha kufanya projects nyingine kwa amani. Basi tutashukuru sana ukileta feedback hapa na wengine wote hii inasaidia kushare experiences na kutia moyo wanaoanza. Barikiweni nyote
Tupo pamoja mama Joe. We need people who can work not without supervision but under minimum supervision. We need people who love their jobs. We need who fear God.
 
Tupo pamoja mama Joe. We need people who can work not without supervision but under minimum supervision. We need people who love their jobs. We need who fear God.

naomba namba zako mpendwa kama hutojali.
 
Tupo pamoja mama Joe. We need people who can work not without supervision but under minimum supervision. We need people who love their jobs. We need who fear God.
thanks Eberhard will contact you on this when i reach a certain stage on my project.
 
Noted, thanks too.

Mkuu big up sana.

Je unadhani eneo lako litatosha kutimiza ndoto zako? Huwa nikiona mazingira ya taasisi za kikatoriki huwa nabarikiwa sana, unakuta shule/chuo kina eneo la kutosha hata kwa upanuzi wo wote uwao, iwe holizontal au vertical. Kama majirani zako bado hawajashituka, nakushauri panua eneo mapema, atakuja mtu hapo afungue kitu cha ajabu hadi ukose amani.

Mwisho mpe Mungu madhabahu ktk eneo la shule yako nawe utaona utukufu wake.
 
Mkuu big up sana.

Je unadhani eneo lako litatosha kutimiza ndoto zako? Huwa nikiona mazingira ya taasisi za kikatoriki huwa nabarikiwa sana, unakuta shule/chuo kina eneo la kutosha hata kwa upanuzi wo wote uwao, iwe holizontal au vertical. Kama majirani zako bado hawajashituka, nakushauri panua eneo mapema, atakuja mtu hapo afungue kitu cha ajabu hadi ukose amani.

Mwisho mpe Mungu madhabahu ktk eneo la shule yako nawe utaona utukufu QUOTE )That is point malila. Ninampatia Mungu madhabau katika eneo la shule. Pia natajitahidi ninunue eneo zaidi kwa majirani. Kwa sasa niko busy na paypal account. Ninahangaika kuifungua ili Marafiki zangu walioko nje wanidonate Kama walivyonihaidi. Kuna stage kidogo za kukamilisha ufunguaji wake. Bado sijapokea code. Kama kuna mtu anao utaalamu nayo tuwasiliane. Nafikiri wanoifahamu wanakuali kuwa huduma hiyo inapatikana nchini Kenya.
 
Mkuu big up sana.

Je unadhani eneo lako litatosha kutimiza ndoto zako? Huwa nikiona mazingira ya taasisi za kikatoriki huwa nabarikiwa sana, unakuta shule/chuo kina eneo la kutosha hata kwa upanuzi wo wote uwao, iwe holizontal au vertical. Kama majirani zako bado hawajashituka, nakushauri panua eneo mapema, atakuja mtu hapo afungue kitu cha ajabu hadi ukose amani.

Mwisho mpe Mungu madhabahu ktk eneo la shule yako nawe utaona utukufu wake.

That is point malila. Nitampatia Mungu madhabau katika eneo la shule. Pia nitajitahidi ninunue eneo zaidi kwa majirani. Kwa sasa niko busy na paypal account. Ninahangaika kuifungua ili Marafiki zangu walioko nje wanidonate Kama walivyonihaidi. Kuna stage kidogo za kukamilisha ufunguaji wake. Bado sijapokea code. Kama kuna mtu anao utaalamu nayo tuwasiliane. Nafikiri wanoifahamu wanajua kuwa kwa EA huduma hiyo inapatikana nchini Kenya.
 
Back
Top Bottom