Fatilia mwanzo wa ndoto yangu ya kumiliki shule

Fatilia mwanzo wa ndoto yangu ya kumiliki shule

Kumbe ndio maana umepotea sana rafiki yangu.
Nafurahi kukuona huku, weka updates na kule. Kwa kweli wewe ni dreamer. I am so proud of you
Hapa ni jengo la shule ambalo nimekuwa nikipambana kwa miaka mitatu kulikamilisha.
 
Eberhard hongera kwa kufanikisha ndoto yako, lkn naona unatarget kuchukua walimu wawili kenya kwa sababu umesema wanafundisha watoto vizuri! Ina maana hakuna kabisa watanzania wenye uwezo huo?[/



Unapoanza biashara u need serious people. Kenyans are v.serious more than Tanzanians. They are serious with what they are doing. Wanathamini kile wanachopata kuliko watanzania. They are caring about job. Unaweza ukamlipa pesa nzuri mtanzania na kazi yako akafanya vibaya na wakati huo unaweza ukamlipa kidogo mkenya kazi yako akafanya vizuri tena under minimum supervision. We always need people who can manage to work under minimum supervision tena bila malalamiko lalamiko na wizi mdogo mdogo.


Mkenya ataongea na watoto kiingereza wakati wote mtanzania ataongea akikuona bosi umefika tena kwa tabu. Watanzania wanahitaji training sana. Kwa sasa sina muda wa kuwatrain watu ila shule yangu ikishasimama nitaanza kuchukua watanzania wenzangu na kuanza kuwatrain. Kwangu mimi kabila yangu, dini yangu au mtanzania mwenzangu siyo ishu bali ishu ni namna unavyofanya kazi yako kwa uamimifu. Nafikiri utanisoma vibaya dada yangu lakini kwa hilo utanisamehe labda ndiyo mapungufu yangu.
Hata wafanya kazi wangu katika maeneo mengine wasukuma huwa wananifanyia kazi zangu vizuri sana kushinda makabila mengine hivyo kwenye kazi kazi zangu za nguvu huwa napenda kuwatumia wasukuma. Siyo kwamba nikipata wa Kabila lingine nitamkataa hapana. Some people are not serious my sister.
 
Eberhard hongera kwa kufanikisha ndoto yako, lkn naona unatarget kuchukua walimu wawili kenya kwa sababu umesema wanafundisha watoto vizuri! Ina maana hakuna kabisa watanzania wenye uwezo huo?
Unapoanza biashara u need serious people. Kenyans are v.serious more than Tanzanians. They are serious with what they are doing. Wanathamini kile wanachopata kuliko watanzania. They are caring about job. Unaweza ukamlipa pesa nzuri mtanzania na kazi yako akafanya vibaya na wakati huo unaweza ukamlipa kidogo mkenya kazi yako akafanya vizuri tena under minimum supervision. We always need people who can manage to work under minimum supervision tena bila malalamiko lalamiko na wizi mdogo mdogo.

Mkenya ataongea na watoto kiingereza wakati wote mtanzania ataongea akikuona bosi umefika tena kwa tabu. Watanzania wanahitaji training sana. Kwa sasa sina muda wa kuwatrain watu ila shule yangu ikishasimama nitaanza kuchukua watanzania wenzangu na kuanza kuwatrain. Kwangu mimi kabila yangu, dini yangu au mtanzania mwenzangu siyo ishu bali ishu ni namna unavyofanya kazi yako kwa uamimifu. Nafikiri utanisoma vibaya dada yangu lakini kwa hilo utanisamehe labda ndiyo mapungufu yangu.
Hata wafanya kazi wangu katika maeneo mengine wasukuma huwa wananifanyia kazi zangu vizuri sana kushinda makabila mengine hivyo kwenye kazi kazi zangu za nguvu huwa napenda kuwatumia wasukuma. Siyo kwamba nikipata wa Kabila lingine nitamkataa hapana. Some people are not serious my sister.
 
Kumbe ndio maana umepotea sana rafiki yangu.
Nafurahi kukuona huku, weka updates na kule. Kwa kweli wewe ni dreamer. I am so proud of you
Tuko pamoja King'asti huku ndiyo habari ya mjini.
 
Hogera sana kaka, Mungu akutie nguvu ndoto zako zitimie. Isaya 41:13
 
Unapoanza biashara u need serious people. Kenyans are v.serious more than Tanzanians. They are serious with what they are doing. Wanathamini kile wanachopata kuliko watanzania. They are caring about job. Unaweza ukamlipa pesa nzuri mtanzania na kazi yako akafanya vibaya na wakati huo unaweza ukamlipa kidogo mkenya kazi yako akafanya vizuri tena under minimum supervision. We always need people who can manage to work under minimum supervision tena bila malalamiko lalamiko na wizi mdogo mdogo.
.
ni kweli na ktk kila nchi foreigner wanapendwa maana wanakuwa kwanza wanashida ya kazi na wanajua nini kimewaleta na wanataka wakitimize waondoke au wafanye vizuri maana hawana kwa kwenda, hawana majukumu au influence ya extended family na friends hivyo wanakuwa committed. Kuhusu kiingereza inaweza kuwa kweli ila hata mtanzania akidhamiria inawezekana, mimi nimesoma public high school na ilikuwa maufuku kuongea Kiswahili na iliwezekana..... tatizo la foreigner ni security....waweza weka matumaini yako kwao wakafukuzwa ghafla au wakaamua kuondoka nchini pili wengi ni rahisi kutenda uhalifu. Yalinikuta ya mkenya wa jirani yangu kuua housegirl na kuiba sina hamu kabisa. Kuna post niliandika kwa kweli kuajiri watu ni muhimu upate mtu sahihi sio kabila, utaifa au jinsia awe sahihi, lakini kwa imani waweza omba Mungu akakuonyesha watu sahihi kwa kazi yako
 
Nina idea hiyo ebu nishauri kuhusu kibali utaratibu ukoje tafadhali
 
ni kweli na ktk kila nchi foreigner wanapendwa maana wanakuwa kwanza wanashida ya kazi na wanajua nini kimewaleta na wanataka wakitimize waondoke au wafanye vizuri maana hawana kwa kwenda, hawana majukumu au influence ya extended family na friends hivyo wanakuwa committed. Kuhusu kiingereza inaweza kuwa kweli ila hata mtanzania akidhamiria inawezekana, mimi nimesoma public high school na ilikuwa maufuku kuongea Kiswahili na iliwezekana..... tatizo la foreigner ni security....waweza weka matumaini yako kwao wakafukuzwa ghafla au wakaamua kuondoka nchini pili wengi ni rahisi kutenda uhalifu. Yalinikuta ya mkenya wa jirani yangu kuua housegirl na kuiba sina hamu kabisa. Kuna post niliandika kwa kweli kuajiri watu ni muhimu upate mtu sahihi sio kabila, utaifa au jinsia awe sahihi, lakini kwa imani waweza omba Mungu akakuonyesha watu sahihi kwa kazi yako
Upo sahihi mama Joe. Mtu yeyote anayekubaliana na mambo yako huyo ni wa upande wako. Yeyote atakayekuja kusoma au KUFUNDISHA ni lazima kuingia kwenye vipindi vya dini regardless of your religion background.
 
Nina idea hiyo ebu nishauri kuhusu kibali utaratibu ukoje tafadhali
Uwe na proposal write up, land ownership' evidence and building permit application letter. Just 4 copies in every thing. U start with DEO then REO and finally MOEV- Permanent secretary who shall give u the building permit. One copy for DEO then another for REO and another for Permanent secretary and the next one 4 you.
 
Uwe na proposal write up, land ownership' evidence and building permit application letter. Just 4 copies in every thing. U start with DEO then REO and finally MOEV- Permanent secretary who shall give u the building permit. One copy for DEO then another for REO and another for Permanent secretary and the next one 4 you.

Thanks a lot my bro!
 
ni kweli na ktk kila nchi foreigner wanapendwa maana wanakuwa kwanza wanashida ya kazi na wanajua nini kimewaleta na wanataka wakitimize waondoke au wafanye vizuri maana hawana kwa kwenda, hawana majukumu au influence ya extended family na friends hivyo wanakuwa committed. Kuhusu kiingereza inaweza kuwa kweli ila hata mtanzania akidhamiria inawezekana, mimi nimesoma public high school na ilikuwa maufuku kuongea Kiswahili na iliwezekana..... tatizo la foreigner ni security....waweza weka matumaini yako kwao wakafukuzwa ghafla au wakaamua kuondoka nchini pili wengi ni rahisi kutenda uhalifu. Yalinikuta ya mkenya wa jirani yangu kuua housegirl na kuiba sina hamu kabisa. Kuna post niliandika kwa kweli kuajiri watu ni muhimu upate mtu sahihi sio kabila, utaifa au jinsia awe sahihi, lakini kwa imani waweza omba Mungu akakuonyesha watu sahihi kwa kazi yako
Hapa bongo mama Joe ni ma form four wachache sana wanaojua kiingereza vizuri. Pia huwezi chukua mtu mwenye degree kufundisha watoto kama project yenyewe ndiyo inaanza kwani atahitaji kulipwa pesa nyingi ambayo hutoweza kumanage. Pia watoto wadogo wanatakiwa wafundishwe vizuri hasa hasa pronunciation. Pia sifikiri Kati ya hawo wahamiaji haramu wanaotimuliwa wapo wakenya na waganda. Wakubwa wako na interest na wakenya ukizingatia kwenye mahotel na mashule yao wamekaa. Pia siku wakenya na waganda watakapotimuliwa idadi ya watanzania inaweza kufikia 60m kwa sababu Kenya na Uganda nazo zitawafukuza Wtz. Kuna watz wengi sana Kenya na Uganda. Mimi naamini Jk ana visa hasa na warwanda na waburindi. Kimsingi hao ni watu wakorifi sana.+ wamalawi pia mpango huo unawahusu.
 
Safi sana Eberhard nilifikiri ni mimi tu mwenye filosofia ya kujenga kwwanza idea yangu kichwani na kujiandaa hata bila kujua capitali napata wapi. Kumbe na wengine tupo. Watu wengi nikiwaambia as long ads the idea is good capital itakuja tu ila huwa hawanielewei na ni vigumu kuwaelewesha.
Mungu akuzididhia nguvu, na usisahau kutoa shukrani kwake kila mara.
Jina la shule pia ni zuri.
 
Unapoanza biashara u need serious people. Kenyans are v.serious more than Tanzanians. They are serious with what they are doing. Wanathamini kile wanachopata kuliko watanzania. They are caring about job. Unaweza ukamlipa pesa nzuri mtanzania na kazi yako akafanya vibaya na wakati huo unaweza ukamlipa kidogo mkenya kazi yako akafanya vizuri tena under minimum supervision. We always need people who can manage to work under minimum supervision tena bila malalamiko lalamiko na wizi mdogo mdogo.

Mkenya ataongea na watoto kiingereza wakati wote mtanzania ataongea akikuona bosi umefika tena kwa tabu. Watanzania wanahitaji training sana. Kwa sasa sina muda wa kuwatrain watu ila shule yangu ikishasimama nitaanza kuchukua watanzania wenzangu na kuanza kuwatrain. Kwangu mimi kabila yangu, dini yangu au mtanzania mwenzangu siyo ishu bali ishu ni namna unavyofanya kazi yako kwa uamimifu. Nafikiri utanisoma vibaya dada yangu lakini kwa hilo utanisamehe labda ndiyo mapungufu yangu.
Hata wafa

I've been working na wakenya na waganda kwa miaka takribani 12. Hawa jamaa wanapenda kazi sio utani. Ukiwapa kazi wakufanyie na uwape mamlaka kwenye hiyo kazi. Uwe na amani kabisa!
Kwa kweli watz wengi hawako serious, mimi ninaunga mkono hilo. Kwa wakenya kufanya kazi kwa moyo ni jadi yao, wanajua kabisa muda gani wafanye nini na wapi pa kufanya nini? Hilo la kuwa ni foreigners kuwa wana shida lina mchango mdogo. Kwani sisi hatuna shida?
Hakika sisi tunapenda kusimamiwa na kusukumwa na kufanya kazi kwa mazoea lkn hatufanyi kwa malengo ndiyo maana NDOTO nyingi wa( m )nazoota wenzetu tunaona ni miujiza ni kwa vile hatujui makusudi ya kuumbwa kwetu.
Ni kweli itakuwa miujiza tu mpaka tutakapojua KUSUDI. Ofisi zetu ni majungu na kukatishana tamaa.
 
Mungu akutie nguvu. Hii ni kazi nzuri. Nina ndoto kama hiyo. Nitaku PM.
 
Mungu akutie nguvu. Hii ni kazi nzuri. Nina ndoto kama hiyo. Nitaku PM.
Karibu. Ninawapenda watu wenye ndoto na wenye nia ya kuzitimiza. Ninawapenda zaidi wale wanaoanza kutafuta wazo then pesa. Sio raisi kuanza na pesa then wazo. Hii ni kwa mtazamo wangu. Bado natafakari namna nitakavyoweza kutengeneza share ili ndoto yangu ya shule niwashirikishe wenye nia ya kufika mbali kiuchumi ili twende pamoja. Hawa tutakuwa tunasaidiana namna ya kutengeneza kitu kizuri zaidi.
 
Kwa kweli mimi sina tatizo na uraia wala ukabila ila ninaamini sana ktk watu sahihi hata ktk taifa au kabila unalohitaji maana hata mimi kabila yangu pamoja na kuwa watu wanawatumia lakini siwaajiri zaidi ya mmoja wala sasaivi sina maana wengi wakiishakuzoea wanazembea na wanawaegemea au kuwanyanyasa wenzao hivyo kila muajiri nadhani alivyo na vision yake anajua na njia za kumfikisha huko ikiwa na aina ya wasaidizi au wafanyakazi. katika yote mimi ninapenda tu mtu kuwa kwanza na wazo na kulisimamia hadi litimie kabla hata hujapata mtaji wa uhakika. Hiki ndio kitu muhimu
 
Unapoanza biashara u need serious people. Kenyans are v.serious more than Tanzanians. They are serious with what they are doing. Wanathamini kile wanachopata kuliko watanzania. They are caring about job. Unaweza ukamlipa pesa nzuri mtanzania na kazi yako akafanya vibaya na wakati huo unaweza ukamlipa kidogo mkenya kazi yako akafanya vizuri tena under minimum supervision. We always need people who can manage to work under minimum supervision tena bila malalamiko lalamiko na wizi mdogo mdogo.

Mkenya ataongea na watoto kiingereza wakati wote mtanzania ataongea akikuona bosi umefika tena kwa tabu. Watanzania wanahitaji training sana. Kwa sasa sina muda wa kuwatrain watu ila shule yangu ikishasimama nitaanza kuchukua watanzania wenzangu na kuanza kuwatrain. Kwangu mimi kabila yangu, dini yangu au mtanzania mwenzangu siyo ishu bali ishu ni namna unavyofanya kazi yako kwa uamimifu. Nafikiri utanisoma vibaya dada yangu lakini kwa hilo utanisamehe labda ndiyo mapungufu yangu.
Hata wafa

I've been working na wakenya na waganda kwa miaka takribani 12. Hawa jamaa wanapenda kazi sio utani. Ukiwapa kazi wakufanyie na uwape mamlaka kwenye hiyo kazi. Uwe na amani kabisa!
Kwa kweli watz wengi hawako serious, mimi ninaunga mkono hilo. Kwa wakenya kufanya kazi kwa moyo ni jadi yao, wanajua kabisa muda gani wafanye nini na wapi pa kufanya nini? Hilo la kuwa ni foreigners kuwa wana shida lina mchango mdogo. Kwani sisi hatuna shida?
Hakika sisi tunapenda kusimamiwa na kusukumwa na kufanya kazi kwa mazoea lkn hatufanyi kwa malengo ndiyo maana NDOTO nyingi wa( m )nazoota wenzetu tunaona ni miujiza ni kwa vile hatujui makusudi ya kuumbwa kwetu.
Ni kweli itakuwa miujiza tu mpaka tutakapojua KUSUDI. Ofisi zetu ni majungu na kukatishana tamaa.

Mkuu ni Kweli Kabisa Wageni wengi wakiwemo hao Wakenya, Nigeria, Waganda na kazalika, wako kikazi zaidi, jiulize ni kwa nini Mahoteli mengi au makampuni mengi sana yanatumia wageni?

Watanzania tunatatizo kubwa sana, na heshimiwa Pinda hakukosea kusema Wawekezaji wana kataa kuajiri wabongo kwa sababu ya kila sk ni Ruusa, mara shemiji yake na Shngazi kafa mara sijui nini, tunashida sana, Hatuwezi shindana na Wakenya au waanda kwenye ishu ya kufanya kazi kwa bidii,

Mimi nimefanikiwa kutembela Wakenya wengi hasa Wafugaji wa kuku maeneo ya Kisumu, Kwa wakikuyu na kazalika, jamaa wana piga kazi si mchezo, huku tunafanya utani,
 
keep t up bro,ata mi pia npo kwenye dreamland ndo napika mpango ntaweka matokeo yake soon
 
Kuhusu kuwa na Idea kichwani hiyo siyo kazi ngumu kazi ni Kuweka wazo kwenye vitendo, kwa sababu Wazo na vitendo ni vitu viwili tofauti kabisa,

Na that is why Mabenki huwa hayako tiyari kukopesha mtu anaye anza biashara anaye hitaji mkopo kwa ajiri ya kuanza,

There's no good idea that can't be improved on. Michael Eisner
 
Kwa kweli mimi sina tatizo na uraia wala ukabila ila ninaamini sana ktk watu sahihi hata ktk taifa au kabila unalohitaji maana hata mimi kabila yangu pamoja na kuwa watu wanawatumia lakini siwaajiri zaidi ya mmoja wala sasaivi sina maana wengi wakiishakuzoea wanazembea na wanawaegemea au kuwanyanyasa wenzao hivyo kila muajiri nadhani alivyo na vision yake anajua na njia za kumfikisha huko ikiwa na aina ya wasaidizi au wafanyakazi. katika yote mimi ninapenda tu mtu kuwa kwanza na wazo na kulisimamia hadi litimie kabla hata hujapata mtaji wa uhakika. Hiki ndio kitu muhimu
ni kweli mama Joe. Ila wafanyakazi wangu wa kisukuma huwa wanafanya kazi sahihi. Siyo wote. Siwezi kusema wote. Nimebahatika kupata wawili ambao hata nikisafiri mwezi kazi huwa zinaena. Pia siamaanishi kwamba mtu atafute mfanyakazi msukuma mambo yake yataenda ila kwa wakenya nimefanyanao kazi nawafahamu hasa kwenye KUFUNDISHA watoto. Naamini mama Joe wewe ni good dreamer. Na subiri ndoto yako. Mungu akinipa uhai mbeleni nitawawekea Exodus maada ya kukamilika majengo na kutimiza plain nyingine nilizozisema mzione.
 
Back
Top Bottom