huna unalojuwa we kilazaKwani huyu anaejiita shangazi ndo Nan? Fatuma karume ndo mwanamke gani huyu?
NOTE: Hakunaga shangazi mwenye Akili nyeupe Kama huyu F. Karume.. Vijembe vingi, kuumia kwingi, pumba nyingi harafu point za Maana hakuna.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huna unalojuwa we kilazaKwani huyu anaejiita shangazi ndo Nan? Fatuma karume ndo mwanamke gani huyu?
NOTE: Hakunaga shangazi mwenye Akili nyeupe Kama huyu F. Karume.. Vijembe vingi, kuumia kwingi, pumba nyingi harafu point za Maana hakuna.
Mbona hapa hata wewe umelalamika. Tena wewe ni mtu wa kwanza kukuona unalalamika upuuzi wa wachangia mada majukwaani. Hutoi facts unaishia kumuelezea mzungu. Ulitaka aongee nini ili kuwateka akili wajinga kama wewe?Mzungu Jana alisema waafrika wanapenda sana kulalamika na ni kweli mtupu.
Ukisoma thread humu kuanzia jukwaa la siasa utakutana na thread za kulalamikia ccm, ukienda jukwaa la MMU utakutana na threads nyingi za kulalamikia kusalitiwa na wapenzi wao, ukienda jukwaa la celebrity utakuta threads nyingi ni za kumponda diamonds na clouds media
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh! Vyama vya upinzani vinashaini!!Swali zuri kabisa. Mtaji wa wapinzani kisiasa ni uzembe na ujinga wa viongozi wa serikali ya CCM.
Serikali isingekuwa zembe na viongozi wasingefanya ya kijinga vyama vya upinzani vingekuwepo kufanya nini tena? Ukiona vyama hivyo vina shine kama ilivyo sasa, ujue ujinga na uzembe wa watawala umetamalaki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Za kuambiwa changanya na zako mkuu.Kumbe tumepigwa mchana kweupeee!!!!
Aisee wazungu wametuzidi akili
Wale ni wafanyabiashara na sio wanasiasa!! Wanatafuta pesa!! Kama wanaona wanadhulumiwa hawawez kufanya unafiki. Statement ya mfanyabiashara pure ni 100% sureMkuu kwa pale ulitegemea aseme tofauti na vile?
Wale ni wafanyabiashara na sio wanasiasa!! Wanatafuta pesa!! Kama wanaona wanadhulumiwa hawawez kufanya unafiki. Statement ya mfanyabiashara pure ni 100% sure
Mmmh secondary level kumbe iko kwenye level ya kina Fatuma ?mtu hawezi ongea kiswahili wala kingereza? Sijui ni mchina shangazi yetu?ila akitulizwa atatuliaHuo sio uchambuzi bali ametoa maelezo kwa ufahamu wake!
CCM ninailaumu sana katika sera ya elimu kwa sababu kuna kundi kubwa la vijana wanaojiita wahitimu wa vyuo vikuu lakini kiuhalisia bado ni wajinga wa kiwango cha sekondari (Ordinary level)!
Yaani mleta mada kwa akili yako ''kubwa'' unadhani huu ni uchambuzi?
Fanya reference ya hotuba ya Rais Magufuli ambaye ni mwenyekiti wa CCM taifa aliyoitoa Dar Jana ndio utanielewa.Duh! Vyama vya upinzani vinashaini!!
Aliyekuuzia miwani ya macho mdai akurudishie hela zako.