Fatma Karume ajipanga kukazia hukumu dhidi ya Musiba

Fatma Karume ajipanga kukazia hukumu dhidi ya Musiba

Fatima Karume alifungua hiyo kesi mahakama ya nchi huru ya Zanzibar ambayo ina had I jaji mkuu wake

Msiba ni mwanahabari aliye nchi ya Tanganyika yeye wala sio raia wa Zanzibar na hana mpango wa kuwa raia wa nchi ya Zanzibar

Pili Musiba na vyombi vyake vya habari. Vimesajiliwa Wizara ya habari ya Tanganyika.

Mambo ya habari si mambo ya muungano kwa mujibu wa katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ni sawa na Mtanzania kufungua kesi Tanzania kushtaki gazeti linalochapisha habari japan na lililosajiliwa nchi huru ya Japani kuwa limemkashfu na mahakama ya Tanzania ikalihukumu hilo gazeti kuwa limlipe fidia huyu raia wa nchi huru ya Tanzania !!!

Hiyo hukumu anayokazia nchi za nje kwenye nchi ya nje ya Zanzibar yenye katiba yake,Raisi wake,Jaji mkuu wake na wimbo wa taifa wake watajuana huko huko akazie atakavyo .
Acha kuropoka Basi,we si unajua kusoma na kuandika? Huu ujinga Ni kipaji? UNO Ina active members 193, katika mataifa hayo Kuna Nchi inaitwa Zanzibar na Tanganyika, unajua kujaribu kugawa Nchi hii Ni treason? Hukumu yake Ni kunyongwa mpaka kufa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nitengeneze defence team ya nini ? Niipeleke nchi za nje kwenye nchi huru ya nje ya nchi ya Zanzibar nchi ya watu wengine?
Kwani Akili zako unaziazimisha,huyu raise wako wa Sasa ulienda kumkopa Nchi jirani?
 
Back
Top Bottom