Mr Devil
JF-Expert Member
- Jul 7, 2019
- 12,445
- 27,920
Watakua wame ambiwa wasi muue tuHivi hawafaham kwamba huyu ni Mtoto wa Rais.!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watakua wame ambiwa wasi muue tuHivi hawafaham kwamba huyu ni Mtoto wa Rais.!!
Kabisa kabisa.Watakua wame ambiwa wasi muue tu
..hivi hawezi kuchallenge decision?
Ameshazungumza the reason why she can not waste her time challenging that awkward decision...hivi hawezi kuchallenge decision?
Ina maana hujui?Hawajaweka wazi makosa yake?
Atapiga za Ulaya maana ana Leseni achana na wachumia tumbo wa local courtsMahakama kuu iliamuru Fatma apelekwe kamati ya maaadili ya mawakili kwa kosa la kushambulia ofisi ya mwanasheria mkuu ambae ndiye alikuwa wakili wa Ado Shaibu katika kesi hiyo.
Wewe ndio ujionee huruma!!! Yaani kwa akili zaki una furahi kabisa, huyu ana shida gani? Kwenye orodha ya mawakili huko UK, yupo na anatambulika, na ndiko muda mwingi alikuwa anafanya kazi zake za uwakili, ufikirie atakufa njaa!!! Mawazo ya mwafrika bwana!!!Makosa yake ni yepi? Huyu mama mwaka huu analo, kule Imma advocates wamemtimua na huku nako pia
Kule walimtimua baada ya kuona mwelekeo wa kutoshinda shauri lake na Ofisi ya judge mkuu. Wakaona isiwe shidaMakosa yake ni yepi? Huyu mama mwaka huu analo, kule Imma advocates wamemtimua na huku nako pia
UN nini mzee, yule mama alikuwa MD wa NIMR uko UN ni status tu ndio mana unaona Tibaijuka na migiro walikuwa retired Uko UN ila still wamerudi kuomba ubunge, mtu hata uwe na kazi gani nje still ukimaliza muda wako uko utakuja tu kuomba upewe pewe Vyeo watu kama Mark mwandosya na Andrew Chege vichwa haswa vilivoaminika mpaka na Nyerere unadhani walikosa kazi nje, na mahiga je?Hawajajifunza kwa yule mwanadada msomi, kama sijakosea binti wa malecela waliemtuhumu kutumika na wanaowaita mabeberu kutangaza ugonjwa wa zika, she is now working with UN.
Kuna alipoonyesha kwamba amefurahia?Wewe ndio ujionee huruma!!! Yaani kwa akili zaki una furahi kabisa, huyu ana shida gani? Kwenye orodha ya mawakili huko UK, yupo na anatambulika, na ndiko muda mwingi alikuwa anafanya kazi zake za uwakili, ufikirie atakufa njaa!!! Mawazo ya mwafrika bwana!!!