Fatma Karume aondolewa kwenye orodha ya mawakili (Permanent removal), akutwa na hatia ya kukiuka maadili

Naye amezidisha chumvi, kiukweli Fatma anatabia ambazo si za kiwakili sijui anavuta kitu
 
Si akafanyie kazi za uwakili kwao Zanzibar au kwenyewe kesi za maana hazipo bali ni kesi za kuibiana madafu? Ukijifanya mjuaji kupitiliza hayo ndio matunda yake
Hawa mawakili wasomi wa Tanganyika wakati wanampa urais wa chama chao sijui ubongo wao walikuwa wameuweka wapi!
 
Whenever the fight is for the right course count me in....
4the1st time I like your comment.
Thank you!

If we don’t use this chance this October to remove this guy from the top post, Tanzania will be in total disarray in next 5 years. He enjoys to make people suffer.
 
Huyu binti ana asili yabm kisomali, ana Nasaba na Marehemu Mzee Diria, aliyekuwa waziri wa mambo ya njee serekali ya mwinyi.

Wasomali ni majasiri na hawana mchezo, hapo wamechokoza nyuki
 
Thank you!

If we don’t use this chance this October to remove this guy from the top post, Tanzania will be in total disarray in next 5 years. He enjoys to make people suffer.
Mmechelewa mnamuondoaje kwa mikakati mfu, badala ya kuwekeza kutafuta wabunge na kuwapa support mnahangaika kuchota maji ya kisima kuhamishia baharini.Upinzani wa Tanzania majanga.
 
Huyu mama kama alivyo Lissu ni mawakili wa kiharakati ndiyo maana amwekuwa ni waropokaji. Wewe wakili msoni unaweza kuimbia mahakama maneno hayo?


Yaani anaitishia mahakama anajifanya yeye ni mjuaji zaidi ya mahakimu? Hajui kuwa mawakili huwaita mahakimu "Your Lordship?"
 
Bado Lissu mnampa sifa sawa na mlivyofanya kwa Mange na Membe, Lissu mtaachana naye 28/10 mtakapojikuta hamna sifa za kupiga kura.Mlihamasishwa kujiandikisha mkadharau
 
Nadhani Fatuma Karume asingekuwa Mzanzibari na mtoto wa Rais; watu wasiojulikana wangekuwa wameshamnymazisha kwa njia tofauti na hizi zinazotumika sasa! Chuki dhidi yake imepitiliza; ni kama kuna watu wanamuona hastahili kuwa hai! Inawezekanaje mtu kunyang'anywa kirahisi tu haki ya kufanya kazi ili ajipatie riziki yake bila hata kupewa nafasi na muda wa kujirekebisha? Je, huu ndio mwelekeo mpya wa nchi yetu kwa siku zijazo chini ya ccm?
 

Katiba ametunga Binadamu /ina Makosa/inafaa irekebishwe na ndio sababu baadhi ya Vifungu hubadilishwa kutokana na mahitaji na wakati unataka nini.Haya maneno yake kama yalionekana kuitishia Mahakama ilitakiwa kwa waliotoa maamuzi wajiridhishe na hayo matisho yapo ktk mstari upi.

Mwenyewe ameshakiri kuwa yupo mwenye nguvu zaidi juu ya hili swala ,ndio sababu Sheria zinageuzwa kichwa chini Miguu juu.Nna mkubali sana Mtu mwenye msimamo usio yumba ,nyeupe ataisema ni nyeupe vivyo hivyo kwa nyeusi ataisema hivyo hivyo.

Yalio mkuta Mh Lissu ni mfano tosha na Mungu huyu huyu (wa wema na wabaya) aliamua kuwavua Nguo wabaya waliotaka kumtoa Roho yake kule Dodoma,Sheria mbovu zinazompa Mtu au kikundi cha Watu umungu Mtu hazifai na zipo kinyume kabisa.Inawezekana leo yame mtokea Mh Lissu /Fatma Karume /Akwilina (R.I.P) hatujui anae fuatia.

Chunga sana Ahmali yako Mkuu hapa Duniani.
 
Sidhani kama anahitaji msaada kutoka kwa mtu yeyote; alishasema anaweza wakati wowote kurudi Uingereza kufanya kazi ya uwakili. Pengine wenye mamlaka wamelenga kumsukuma kufikia uwamuzi huo! Very insecure!
 
Tanzania baada ya uchaguzi wa 2015, tulipoteza busara ya kuoeana haki na kufuata katiba. Ninachoogopa sasa ni huyu Dada akaulizwa kuhusu Uraia wake, japokuwa nj mtoto wa Raisi msataafu. Kwa mizizi yao ina michanganyiko mingi, inasemekana wana Ungazija, Maliwi, Usomali, ushirazi. Japokuwa idadi kubwa ya wazanzibari wamechanganya sana
 
Sasa mbona.Madam,anaonekana.kuridhika kirahisi mno na maamuzi Yale????!
 
Baada ya 28 10 2020 watamrudisha nakumuomba radhi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…