peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Shangazi atapata kazi UN.Nimeota TL raisi Shangazi waziri Sheria na katiba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shangazi atapata kazi UN.Nimeota TL raisi Shangazi waziri Sheria na katiba
Baada ya uchaguzi mkuu October, kuna wanaohitajika The Hague, watakutaka huko na shangazi.Shangazi atapata kazi UN.
eti Shangazi Fatma kaishambulia ofisi ya Mwanasheria mkuu wa serikali 🤣 🤣 🤣Hawajaweka wazi makosa yake?
Zanzibar hakuna kesi za maanaUhasama?! Unajua kwanini alifikishwa kwenye hiyo kamati? She still can practise in her homeland, Zanzibar.
hapa tayari mataga umepanic 🤣Akafanye uwakili Twitter na Chumbageni sasa
Chama cha mawakili na kikao cha maadili kiliongozwa na CCM?Yule mama ni msomi mzuri,ni mtanzania Sasa mnataka awe mkimbizi ndani ya nchi yake? CCM jitafakarini ,mtakuwa KANU October 28.
Kosa lake ni kumshambulia Mwanasheria Mkuu wa serikali kuwa hana sifa hiyo na kwamba Rais alikosea kumteua.Hawajaweka wazi makosa yake?
Badala ya kuongeza mahusiano mnaendelea kujengwa wananchi chili mtavuno mnachokipandaCCM ndio wamemfuta uwakili?!
Unasahau kuwa Zanzibar ni sehemu ya Tanzania?Si akafanyie kazi za uwakili kwao Zanzibar au kwenyewe kesi za maana hazipo bali ni kesi za kuibiana madafu? Ukijifanya mjuaji kupitiliza hayo ndo matunda yake
Kama hii sheria / kosa la kushambulia ofisi ya mwanasheria mkuu ipo basi haifai na ifutwe..., haya mambo ya kusema taasisi fulani / watu fulani hawawezi kushambuliwa au kukosolewa ni nzuri mpaka pale taasisi hizo zinapokosea au kufanya makosa...., sasa hapo ni nani wa kuwashambulia na kuwakosoa?
Mahakama kuu iliamuru Fatma apelekwe kamati ya maaadili ya mawakili kwa kosa la kushambulia ofisi ya mwanasheria mkuu ambae ndiye alikuwa wakili wa Ado Shaibu katika kesi hiyo.