Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀Kuwa nyumbu ni mzigo mkubwa sana
Basi tufanye anaisema chaumaBado natafuta shangazi alipotaja CHADEMA, sijaona ila nahisi we happyxxx una chuki na CHADEMA,
Hata CHAUMA haijatajwa ndugu.Basi tufanye anaisema chauma
Yeye Kwa vile anawasaga wanawake wenzake anajiona naye ni kidumeFatma atulize K ameshakuwa mzee sasa kila siku yeye analalamika tu.
Hana mume/basha wa kumuweka Bize na awe ana mwondoa stress.?
Salamu hizo ampelekee bwana wake Zitto KabweFatma Karume ametumia mtandao wa Twitter kuwashambulia wafuasi wa Chadema wanaomporomoshea matusi kwa sababu ya yeye kuonekana kumuunga mkono Rais Samia.
Amewaita ni wanafki kwa kupongeza Mbowe akikutana na Rais ila kuwashambulia watu Wengine wakikutana na rais au viongozi wa serikali.
Shangazi Fatma ameenda mbali zaidi kuhusisha Chadema na udini na ukabila kuwa ndio misingi ya Chadema.
View attachment 2246863
Mbowe ameshafeli kama mwenyekiti wa CHADEMAUlitaka Mbowe afanyeje. Amepewa nafasi ya mazungumzo na Rais akatae?. Au ulitaka Mbowe aanzishe kikundi Cha uasi napo ungeponda.