Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
Eti ''my take''
Ndugu naona unapambana sana, umeahidiwa cheo gani huko chamani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Balozi wa nyumba 10.Eti ''my take''
Ndugu naona unapambana sana, umeahidiwa cheo gani huko chamani?
WOTE AKILI ZAO ZIKO SAWAChadema wanaokosea sana ,chama kinaruhusu makada wao ambao uwezo wao kufikiri ni chini ya wastani kutokona na ukosefu wa Elimu dunia kuwa ndio wapaaza sauti wa chama .Embu fikiria upuuzi wa Mdude na Lema kwenye mitandao na chama wala hawakanushi?
Shangazi la Taifa na Mwanaharakati wa mitandaoni anaeunga mkono Wapinzani bibie Fatuma Karume amehoji Nguvu na ushawishi wa Chadema na Viongozi wake kufuatia Wananchi kuwapuuza kwenye maandamano waliyoitisha tarehe 23.
Fatuma amesema inashangaza kuona Kwa Sasa Chadema ni kama Haina bargaining power kiasi kwamba itakuwa vigumu kuishinikiza Serikali ya CCM kuweka Mabadiliko wanayoitaka Kwa sababu hawana watu.👇👇
View: https://x.com/Jambotv_/status/1838871661250007496?t=Ooe5KccFIut20M9DTJWAnw&s=19
My Take
Shangazi Fatuma na yule kahaba wa USA wanatakiwa kuelewa kwamba Watanzania sio nyumbu wa kutumika Kwa maslahi ya Wapinzani Vibaraka na Mabeberu.
Pili Fatuma aelewe kwamba hakuna awamu yeyote katika historia ya Tanzania ambayo Wananchi Mjini na Vijijini wamemwagiwa utitiri wa miradi kwenye sekta zote kama awamu ya 6 chini ya Rais Samia hivyo wameshiba hawana sababu ya kushiriki maandamano ya kipuuzi.
Mwisho Nawakumbisha Chadema walianzaga na kile waliita maandamano ya amani wakapuuzwa wakaona watumie njia za purukushani nazo wamepigwa za uso ,ndio kusema Chadema ni chama kilichofilisika hoja kimesalima na vioja na matukio ,kiki ya marehemu Kibao imebuma.😂😂😂
View: https://x.com/MzalendoDaily/status/1838593613485207911?t=KOzuBe8-VZIpyUTLZt8rxw&s=19
View attachment 3106266
View attachment 3106289View attachment 3106290
Kwani iliyopo sio huru? Si mlikimbia wakati mnaambiwa mlete mapendekezo? Ngoja mnyooshwe kwanza.Mapicha ya nini wekeni Tume HURU YA UCHAGUZI tuamini kuwa huyo Mama kama anapendwa.
Acheni Wizi wa Kura na mauaji ya Raia.Kwani iliyopo sio huru? Si mlikimbia wakati mnaambiwa mlete mapendekezo? Ngoja mnyooshwe kwanza.
Rais wangekuwa wanauwawa si wangeogopa kwenda kwenye mikutano ya Rais? 😂😂Acheni Wizi wa Kura na mauaji ya Raia.
Wengine wanaenda kwa uoga wa kutekwa kupotezwa "kuuwawa".Rais wangekuwa wanauwawa si wangeogopa kwenda kwenye mikutano ya Rais? 😂😂View attachment 3106392View attachment 3106393View attachment 3106394
Balozi wa nyumba 10.
Wewe umeshindwa kupambana baada ya kuishiwa 😂😂👇👇
View: https://www.instagram.com/reel/DAVpbmsqmyl/?igsh=czV4Z3Rudmwxc2k5
Watu wangeuwawa si wangeogopa mikutano ya Rais?Mimi simkatishi tamaa mtu yeyote kupambana, hata kama ni kwenye siasa.
Lakini inapofikia sehemu mnakejeli watu wanaotekwa na kuuawa, nawaona ni kama mashetani tu.
Mmekamata viongozi wote na watu wote mliowahisi kuandamana, halafu mnakuja kukejeli eti maandamano yamebuma!
Siasa zisifanye tupoteze utu wetu, sisi wote ni binadamu tu, na wote ni watanzania.watanzania.
Kwa hiyo hakuna waliotekwa na kuuawa? Au kifo ni kifo tu!Watu wangeuwawa si wangeogopa mikutano ya Rais?
Kwani haya ni maandamano ya ngapi kuitisha 😂 akuna hata mamoja yaliyofanikiwa, munamuona Mama Dhaifu sana kisa tu ni mstaarabu na ni mwanamke na kubwa zaidi kumeweka machuki yenu kisa ametokea Zanzibar, lakini mwaka huu tunakwenda na Mama hadi 2035. Mutaishia kutukana mitandaoni tuMimi simkatishi tamaa mtu yeyote kupambana, hata kama ni kwenye siasa.
Lakini inapofikia sehemu mnakejeli watu wanaotekwa na kuuawa, nawaona ni kama mashetani tu.
Mmekamata viongozi wote na watu wote mliowahisi kuandamana, halafu mnakuja kukejeli eti maandamano yamebuma!
Siasa zisifanye tupoteze utu wetu, sisi wote ni binadamu tu, na wote ni watanzania.
Jadili hoja iliyoko mezani👇👇
View: https://x.com/MsigwaPeter/status/1838854483536646192?t=nF5GVnjzvWbuUbEpjHmNkw&s=19
Kwa kiasi cha Nguvu na gharama zote hizo, iliyokuwa displayed na state, it is eneough to call it a kind of Victory to Commander Mbower et al , and had he been smart eneough to call off his move at the last hour, it could have been a Much Huge Victory for him . Not otherwise. Retreat is Not a SurrenderGharama iliyotumika kuziia maandamano hamuioni ilivyo kubwa?
Kweli aliyesema Mswahili nyama ya Tako hakukosea!!!
Mnakwenda na mama hadi 2035 tu?Kwani haya ni maandamano ya ngapi kuitisha 😂 akuna hata mamoja yaliyofanikiwa, munamuona Mama Dhaifu sana kisa tu ni mstaarabu na ni mwanamke na kubwa zaidi kumeweka machuki yenu kisa ametokea Zanzibar, lakini mwaka huu tunakwenda na Mama hadi 2035. Mutaishia kutukana mitandaoni tu
Shangazi la Taifa na Mwanaharakati wa mitandaoni anaeunga mkono Wapinzani bibie Fatuma Karume amehoji Nguvu na ushawishi wa Chadema na Viongozi wake kufuatia Wananchi kuwapuuza kwenye maandamano waliyoitisha tarehe 23.
Fatuma amesema inashangaza kuona Kwa Sasa Chadema ni kama Haina bargaining power kiasi kwamba itakuwa vigumu kuishinikiza Serikali ya CCM kuweka Mabadiliko wanayoitaka Kwa sababu hawana watu.👇👇
View: https://x.com/Jambotv_/status/1838871661250007496?t=Ooe5KccFIut20M9DTJWAnw&s=19
My Take
Shangazi Fatuma na yule kahaba wa USA wanatakiwa kuelewa kwamba Watanzania sio nyumbu wa kutumika Kwa maslahi ya Wapinzani Vibaraka na Mabeberu.
Pili Fatuma aelewe kwamba hakuna awamu yeyote katika historia ya Tanzania ambayo Wananchi Mjini na Vijijini wamemwagiwa utitiri wa miradi kwenye sekta zote kama awamu ya 6 chini ya Rais Samia hivyo wameshiba hawana sababu ya kushiriki maandamano ya kipuuzi.
Mwisho Nawakumbisha Chadema walianzaga na kile waliita maandamano ya amani wakapuuzwa wakaona watumie njia za purukushani nazo wamepigwa za uso ,ndio kusema Chadema ni chama kilichofilisika hoja kimesalima na vioja na matukio ,kiki ya marehemu Kibao imebuma.😂😂😂
View: https://x.com/MzalendoDaily/status/1838593613485207911?t=KOzuBe8-VZIpyUTLZt8rxw&s=19
View attachment 3106266
View attachment 3106289View attachment 3106290
Kwa kiasi cha Nguvu na gharama zote hizo, iliyokuwa displayed na state, it is eneough to call it a kind of Victory to Commander Mbower et al , and had he been smart eneough to call off his move at the last hour, it could have been a Much Huge Victory for him . Not otherwise. Retreat is Not a Surrender
Hivi kweli kabisa unaona Mbowe anafaa kukuongoza. Nakuahidi akichoka kabisa kuwaongoza atatafuta ndugu/jamaa yake awe mwenyekiti wenu. Ruzuku tu zinamtoa roho unanafikiri akipata urais itakuaje?Mapicha ya nini wekeni Tume HURU YA UCHAGUZI tuamini kuwa huyo Mama kama anapendwa.
Alikuwa space 😂😂😂😂Ni huzuni sana!!! Kwani da Fatu mwenyewe alikua wapi hakujitokeza😅😅😅. Au alikua anaandamana nyuma ya keyboard kama kawaida yake?