Fatma Karume: Bandari haijauzwa, hakuna tatizo kufanya biashara na Dubai, acheni ubaguzi ni ushamba

Fatma Karume: Bandari haijauzwa, hakuna tatizo kufanya biashara na Dubai, acheni ubaguzi ni ushamba

benzemah

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2014
Posts
1,533
Reaction score
3,187
Ameandika kupitia ukurasa wa mtandao wake wa Twitter mwanaharakati na mwanasheria maarufu nchini Fatma Karume

"Hao WAARABU msiowapenda wameweza kufanya MAPINDUZI ya Kiuchumu nchii zao kwenye kipindi kifupi sana. Dubai haitegemei mafuta.Badala ya kubaguwa basi ndugu zangu tujifunze.Acheni UBAGUZI Jamani. Ni USHAMBA tu."

Kwa maoni yangu: Hakuna tatizo kufanya biashara na Dubai lakini TERMS za MKATABA lazima ziwe FAIR.Hatuwezi kuwapa “sovereignty” yetu.

Pia Fatma ameandika

"Hakuna aliyeuza BANDARI la Dar.Hoja ni MKATABA wa Kimataifa baina ya Dubai na Tanzania na vipengele vichache vinavyoathiri “sovereignty” yetu.WAPUMBAVU ndie wanaleta ujinga wa*Rais ni KE. WaTZ hawatomuamini rais KE tena.*Rais ni MZNZ anauza mali ya TNG*Uarabu".
1686484942567.png







 
Ameandika kupitia ukurasa wa mtandao wake wa Twitter mwanaharakati na mwanasheria maarufu nchini Fatma Karume

"Hao WAARABU msiowapenda wameweza kufanya MAPINDUZI ya Kiuchumu nchii zao kwenye kipindi kifupi sana. Dubai haitegemei mafuta.Badala ya kubaguwa basi ndugu zangu tujifunze.Acheni UBAGUZI Jamani. Ni USHAMBA tu."
Kwa maoni yangu:Hakuna tatizo kufanya biashara na Dubai lakini TERMS za MKATABA lazima ziwe FAIR.Hatuwezi kuwapa “sovereignty” yetu.

Pia Fatma ameandika

"Hakuna aliyeuza BANDARI la Dar.Hoja ni MKATABA wa Kimataifa baina ya Dubai na Tanzania na vipengele vichache vinavyoathiri “sovereignty” yetu.WAPUMBAVU ndie wanaleta ujinga wa*Rais ni KE. WaTZ hawatomuamini rais KE tena.*Rais ni MZNZ anauza mali ya TNG*Uarabu"






Kazi imeanza... Hii mamb ya uzanzibar na utanganyika 🤔🤔🤔
 
Mliosoma huo mkataba unaelezaje? Sie wapumbavu hatujaupata!!!! jee muda utakapokoma hizo mashine watazingo'a na kuondoka nazo alafu isitoshe mkataba hauna kikomo laa Haula safari za bara Arab hizo. Cha msingi hicho kinachoitwa mkataba au sijui MoU au sijui mapendekezo yawe na tija huku Tanganyika na kama ikiwezekana serikali ikope fedha inunue hizo mashine na teknolojia iajiri hao ma expart waje hapa wafanye kazi. Mimi sio muumini wa sera ya wawekezaji hata siku moja nina amini sera ya Partnership kwenye hii sera kila upande unakuwa na uchungu na fedha zake walizowekeza vinginevyo hao ndugu watavuna na kutuachia manyoya
 
Ameandika kupitia ukurasa wa mtandao wake wa Twitter mwanaharakati na mwanasheria maarufu nchini Fatma Karume

"Hao WAARABU msiowapenda wameweza kufanya MAPINDUZI ya Kiuchumu nchii zao kwenye kipindi kifupi sana. Dubai haitegemei mafuta.Badala ya kubaguwa basi ndugu zangu tujifunze.Acheni UBAGUZI Jamani. Ni USHAMBA tu."

Kwa maoni yangu: Hakuna tatizo kufanya biashara na Dubai lakini TERMS za MKATABA lazima ziwe FAIR.Hatuwezi kuwapa “sovereignty” yetu.

Pia Fatma ameandika

"Hakuna aliyeuza BANDARI la Dar.Hoja ni MKATABA wa Kimataifa baina ya Dubai na Tanzania na vipengele vichache vinavyoathiri “sovereignty” yetu.WAPUMBAVU ndie wanaleta ujinga wa*Rais ni KE. WaTZ hawatomuamini rais KE tena.*Rais ni MZNZ anauza mali ya TNG*Uarabu".
View attachment 2653915








Kwa nini mkataba una masharti ya kuingilia uhuru wa nchi halafu mtu anataka kutuambia eti ndio hiyo mikataba ilvyo. Kama ni hivyo nia yake ni nini? Halafu sio hiyo tu kimsingi wengi hatukubali wala hatuoni kwa nini baada ya uwekezaji mkubwa kuwapa wageni kuendesha bandari yetu. Kwa nini wanataka sasa baada ya wenyeji kuwekeza sana. Na sio kweli bandari iko vibaya kwa sababu imeshaonyesha ubora na watumiaji wanafurahia. Unawezaje kumkodisha mgeni biashara inalipa. Si hata yeye atakuona mjinga?
 
Naye bado hajasema lolote kuhusu kwa nini ni Bandari za Tanganyika tu??? Mbona Dp wanazo kesi nyingi na wadau wao wengine?? Mifano iko na usibitisho umetolewa. Dp wana toa uhakika upi kwamba ubia huu nao hautafikia kwenye kesi. Haiwezakani hao wote waliopelekana nao mahakamani kwa mashauri wawe ndio wenye matatizo tu na Dp ni malaika.
 
Mliosoma huo mkataba unaelezaje? Sie wapumbavu hatujaupata!!!! jee muda utakapokoma hizo mashine watazingo'a na kuondoka nazo alafu isitoshe mkataba hauna kikomo laa Haula safari za bara Arab hizo. Cha msingi hicho kinachoitwa mkataba au sijui MoU au sijui mapendekezo yawe na tija huku Tanganyika na kama ikiwezekana serikali ikope fedha inunue hizo mashine na teknolojia iajiri hao ma expart waje hapa wafanye kazi. Mimi sio muumini wa sera ya wawekezaji hata siku moja nina amini sera ya Partnership kwenye hii sera kila upande unakuwa na uchungu na fedha zake walizowekeza vinginevyo hao ndugu watavuna na kutuachia manyoya

Sula la mashirikiano na sekta binafsi (PPP) haliepukiki, ila kuna changamoto ya baadhi ya vipengele vya mkataba ikiwemo umri wa mkataba, na mamlaka ya kila upande! Hayo ni baadhi ambayo yanafanya wadau wahoji!

Ila kwa dhana nzima ya mashirikiano sidhani kama kuna mtu asiyependa kushirikiana alafu anufaike kwa HAKI.

La mwisho ni nguvu kubwa inayotumika kufanya kila mtu asifie au kuona kana kwamba mkataba hauna shida, hapo ndio ukakasi mwingine.

Mbona ingine imesainiwa na tuko kimya tukikenua meno tu?
 
Aliyosema wakili Fatma Karume


Wakili Fatma Karume - Suala la Kuuzwa Bandari kwa DP World



Wakili Fatma Karume mbobezi wa Investment law na mikataba ya kimataifa
  • Nafasi ya mwanasheria mkuu wa serikali jaji Feleshi kuwa mshauri mkuu katika jambo hili
  • Nakubali na kuielewa kauli ya Freeman Mbowe kumtaka Rais kuwa makini kwani pia waziri wa masuala ya bandari ni mzanzibari hivyo politically/ kisiasa linaleta hisia za kitaifa
  • Kitu kinachosumbua sijawahi kuona bilateral agreement treaty iliyo one-sided kiasi ya kuwa Tanzania haitaambulia chochote
  • Bilateral agreement hii inalenga kuilinda kwa namna yoyote ile
  • Hakuna reciprocation baina ya pande mbili
  • Mkataba ni wa kikoloni
  • Dubai kutaka DP World ilindwe na sheria za kimataifa ni matunda ya mfumo wa mahakama wa Tanzania kutoaminika
  • Inasikitisha kuona karne hii Tanzania inaingia mikataba ya kikoloni ya 1884 ya mabeberu wakoloni kujipendelea kwa kila hali
  • Serikali ya Tanzania ina sifa ya kuwa Gas Lighters per extraordinary kupita nchi yoyote ya kiafrika yaani kujikausha ingawa wamefanya kituko cha karne huku ikijidai kila kitu kipo sawa wakati kila mmoja anaona mambo hayapo sawa kabisa
  • Attorney General ameipa sovereignty yote ya Tanzania kwa Dubai kwa mujibu wa Article 7(3) katika mkataba kumpa veto rights haki isiyo na kikomo aliouingiza Tanzania
  • Guarantee ya stabilisation kwamba concession baina ya Tanzania na DP World maana yake sheria vilizoingia wakati wa mkataba zibaki hivyo milele
  • Ingawa DP world wamekubali kutumia sheria za kodi za Tanzania lakini ndani ya mkataba kipengele cha Tax regime is stabilised maana yake kodi za Tanzania wakati mkataba unaingiwa utabaki vilevile na hawezi kubadilisha siku za usoni
  • Bilateral investment treaty (BIT) ulitakiwa kuwabeba hata waTanzania waliowekeza / invest huko Dubai na siyo kwa DP World pekee, huu ni unyonge usiokubalika katika mkataba huu wa baina ya nchi mbili
 
Back
Top Bottom