Fatma Karume: Bandari haijauzwa, hakuna tatizo kufanya biashara na Dubai, acheni ubaguzi ni ushamba

Fatma Karume: Bandari haijauzwa, hakuna tatizo kufanya biashara na Dubai, acheni ubaguzi ni ushamba

Miaka 100,wote mliosoma hii meseji,hamtakuwepo,pamoja namimi mwenyewe niliyeandika,bila kuwasahau wabunge na mawaziri waliopitisha suala la bandari.Tuwe wazalendo,kwa kuangalia manufaa na athari za huo mkataba,kwa watakaokuwepo mbeleni,nasisi pia.
 
Sula la mashirikiano na sekta binafsi (PPP) haliepukiki, ila kuna changamoto ya baadhi ya vipengele vya mkataba ikiwemo umri wa mkataba, na mamlaka ya kila upande! Hayo ni baadhi ambayo yanafanya wadau wahoji!

Ila kwa dhana nzima ya mashirikiano sidhani kama kuna mtu asiyependa kushirikiana alafu anufaike kwa HAKI.

La mwisho ni nguvu kubwa inayotumika kufanya kila mtu asifie au kuona kana kwamba mkataba hauna shida, hapo ndio ukakasi mwingine.

Mbona ingine imesainiwa na tuko kimya tukikenua meno tu?
Wameshindwa kujibu maswali muhimu na rahisi:

1) Mkataba ni wa miaka mingapi?

2) Nani atakuwa akimsimamia mwingine pale bandarini -- TPA ama DP World?

3) Tusiporidhika nao kama taifa, au tukiona utendaji wao sasa hatuuhitaji, tunaweza kuvunja mkataba?
 
Nimemsikiliza waziri alichoongea pamoja na michango ya wabunge,nimejiridhisha nia ya mpango huu ni nzuri kabisa, shida pengine inaweza tokea kwenye mikataba ya utekelezaji kama wataalam wetu hawatakua makini kwenye mikataba watakayoingia TPA na DPW.
Ulitegemea michango ya wapiga-debe iweje, mkuu? Kama isemwavyo, Mwamba ngoma huvutia kwake!
 
Ameandika kupitia ukurasa wa mtandao wake wa Twitter mwanaharakati na mwanasheria maarufu nchini Fatma Karume

"Hao WAARABU msiowapenda wameweza kufanya MAPINDUZI ya Kiuchumu nchii zao kwenye kipindi kifupi sana. Dubai haitegemei mafuta.Badala ya kubaguwa basi ndugu zangu tujifunze.Acheni UBAGUZI Jamani. Ni USHAMBA tu."

Kwa maoni yangu: Hakuna tatizo kufanya biashara na Dubai lakini TERMS za MKATABA lazima ziwe FAIR.Hatuwezi kuwapa “sovereignty” yetu.

Pia Fatma ameandika

"Hakuna aliyeuza BANDARI la Dar.Hoja ni MKATABA wa Kimataifa baina ya Dubai na Tanzania na vipengele vichache vinavyoathiri “sovereignty” yetu.WAPUMBAVU ndie wanaleta ujinga wa*Rais ni KE. WaTZ hawatomuamini rais KE tena.*Rais ni MZNZ anauza mali ya TNG*Uarabu".
View attachment 2653915








Hiki kishoga kina leta u ke na uzanzibar kinapoteza credibility kwenye taaluma yake... pia ni kweli kibaguzi ndo mana kwa Magufuli alikua hakachuji maneno yake ila kwa mama mpemba mwenzake kanajifanya kana ustaarabu.
 
Kwa nini mkataba una masharti ya kuingilia uhuru wa nchi halafu mtu anataka kutuambia eti ndio hiyo mikataba ilvyo. Kama ni hivyo nia yake ni nini? Halafu sio hiyo tu kimsingi wengi hatukubali wala hatuoni kwa nini baada ya uwekezaji mkubwa kuwapa wageni kuendesha bandari yetu. Kwa nini wanataka sasa baafa ya wenyeji kuwekeza sana. Na sio kweli bandari iko vibaya kwa sababu imeshaonyesha ubora na watumiaji wanafurahia. Unawezaje kumkodisha mgeni biashara inalipa. Si hata yeye atakuona mjinga?
Mkuu, kwa ufupi ni kwamba ni lazima mtu ajitoe ufahamu kabisa au awe kichaa kabla hajaridhia kifungo cha maisha kwenye mkataba kama huo. Kwa kauli ya Prof. Lipumba, ^Ni madudu^ yaliyomo kwenye hayo makaratasi.
 
Ameandika kupitia ukurasa wa mtandao wake wa Twitter mwanaharakati na mwanasheria maarufu nchini Fatma Karume

"Hao WAARABU msiowapenda wameweza kufanya MAPINDUZI ya Kiuchumu nchii zao kwenye kipindi kifupi sana. Dubai haitegemei mafuta.Badala ya kubaguwa basi ndugu zangu tujifunze.Acheni UBAGUZI Jamani. Ni USHAMBA tu."

Kwa maoni yangu: Hakuna tatizo kufanya biashara na Dubai lakini TERMS za MKATABA lazima ziwe FAIR.Hatuwezi kuwapa “sovereignty” yetu.

Pia Fatma ameandika

"Hakuna aliyeuza BANDARI la Dar.Hoja ni MKATABA wa Kimataifa baina ya Dubai na Tanzania na vipengele vichache vinavyoathiri “sovereignty” yetu.WAPUMBAVU ndie wanaleta ujinga wa*Rais ni KE. WaTZ hawatomuamini rais KE tena.*Rais ni MZNZ anauza mali ya TNG*Uarabu".
View attachment 2653915








Huu uzanzibar na utanganyika basi na uje kha! Muungano wa kinafiki, kinyonyaji na sasa umekuwa wa HUJUMA!. Of course ndiyo Hujuma! Hebu tufafanuliwe kilichowawasha hao wazanzibar kusahau kwao na kuingia mkataba wa kuuza raslimali za tanganyika! ?? Yangekuwa mema yangeanza na :nyumbani zenji. Tusidanganyane tena!
Hakuna haja ya kuwa na muungano wa hujuma!!!
 
Nimemsikiliza waziri alichoongea pamoja na michango ya wabunge,nimejiridhisha nia ya mpango huu ni nzuri kabisa, shida pengine inaweza tokea kwenye mikataba ya utekelezaji kama wataalam wetu hawatakua makini kwenye mikataba watakayoingia TPA na DPW.
😂😂😂 Mwanasiasa duniani kote hajawahi Kuwa na nia nzuri!
 
Aliyosema wakili Fatma Karume


Wakili Fatma Karume - Suala la Kuuzwa Bandari kwa DP World



Wakili Fatma Karume mbobezi wa Investment law na mikataba ya kimataifa
  • Nafasi ya mwanasheria mkuu wa serikali jaji Feleshi kuwa mshauri mkuu katika jambo hili
  • Nakubali na kuielewa kauli ya Freeman Mbowe kumtaka Rais kuwa makini kwani pia waziri wa masuala ya bandari ni mzanzibari hivyo politically/ kisiasa linaleta hisia za kitaifa
  • Kitu kinachosumbua sijawahi kuona bilateral agreement treaty iliyo one-sided kiasi ya kuwa Tanzania haitaambulia chochote
  • Bilateral agreement hii inalenga kuilinda kwa namna yoyote ile
  • Hakuna reciprocation baina ya pande mbili
  • Mkataba ni wa kikoloni
  • Dubai kutaka DP World ilindwe na sheria za kimataifa ni matunda ya mfumo wa mahakama wa Tanzania kutoaminika
  • Inasikitisha kuona karne hii Tanzania inaingia mikataba ya kikoloni ya 1884 ya mabeberu wakoloni kujipendelea kwa kila hali
  • Serikali ya Tanzania ina sifa ya kuwa Gas Lighting per extraordinary kupita nchi yoyote ya kiafrika yaani kujikausha kila kitu kipo sawa wakati kila mmoja anaona haupo sawa kabisa
  • Attorney General ameipa sovereignty yote ya Tanzania kwa Dubai kwa mujibu wa Article 7(3) katika mkataba kumpa veto rights haki isiyo na kikomo aliouingiza Tanzania
  • Guarantee ya stabilisation kwamba concession baina ya Tanzania na DP World maana yake sheria vilizoingia wakati wa mkataba zibaki hivyo milele
  • Ingawa DP world wamekubali kutumia sheria za kodi za Tanzania lakini ndani ya mkataba kipengele cha Tax regime is stabilised maana yake kodi za Tanzania wakati mkataba unaingiwa utabaki vilevile na hawezi kubadilisha siku za usoni
  • Bilateral investment treaty ulitakiwa kuwabeba hata waTanzania waliowekeza / invest huko Dubai na siyo kwa DP World pekee, huu ni unyonge usiokubalika katika mkataba huu wa baina ya nchi mbili

Kwa hiyo AG ndio anaangushiwa jumba bovu. Bunge limepitisha Azimio baadaye ni bunge ambalo wabunge wengi na Spika ni Watanganyika ndio waliruhusu na kuridhia huu mkataba. Kazi iko.
 
Ameandika kupitia ukurasa wa mtandao wake wa Twitter mwanaharakati na mwanasheria maarufu nchini Fatma Karume

"Hao WAARABU msiowapenda wameweza kufanya MAPINDUZI ya Kiuchumu nchii zao kwenye kipindi kifupi sana. Dubai haitegemei mafuta.Badala ya kubaguwa basi ndugu zangu tujifunze.Acheni UBAGUZI Jamani. Ni USHAMBA tu."

Kwa maoni yangu: Hakuna tatizo kufanya biashara na Dubai lakini TERMS za MKATABA lazima ziwe FAIR.Hatuwezi kuwapa “sovereignty” yetu.

Pia Fatma ameandika

"Hakuna aliyeuza BANDARI la Dar.Hoja ni MKATABA wa Kimataifa baina ya Dubai na Tanzania na vipengele vichache vinavyoathiri “sovereignty” yetu.WAPUMBAVU ndie wanaleta ujinga wa*Rais ni KE. WaTZ hawatomuamini rais KE tena.*Rais ni MZNZ anauza mali ya TNG*Uarabu".
View attachment 2653915








Kwanini hili saga wanalenga kuligeuza kuwa kisa raisi mwanamke kisa DP ni kampuni ya waarabu? Hapa la kuangalia ni terms za agreement hiyo na ndizo zinatia shaka.
Halafu shangazi likija suala la mzanzibar mwenzake kamwe hawezi kuwa against.
 
Wameshindwa kujibu maswali muhimu na rahisi:

1) Mkataba ni wa miaka mingapi?

2) Nani atakuwa akimsimamia mwingine pale bandarini -- TPA ama DP World?

3) Tusiporidhika nao kama taifa, au tukiona utendaji wao sasa hatuuhitaji, tunaweza kuvunja mkataba?

Mkuu Jasmoni Tegga
Ndio kusema show imeisha mkataba umesainiwa na bunge limegonga nyundo!

Kwa sasa ni kutulia na kuona utekelezaji sisi wananchi wa kawaida hatuna la kufanya tena.

Kama ilivyokua ile ya KIA mwaka jana…
 
Nimemsikiliza waziri alichoongea pamoja na michango ya wabunge,nimejiridhisha nia ya mpango huu ni nzuri kabisa, shida pengine inaweza tokea kwenye mikataba ya utekelezaji kama wataalam wetu hawatakua makini kwenye mikataba watakayoingia TPA na DPW.
Mivhango ya wabunge ambao haieleweki hata kama wao wameelewa walichoambiwa. Wengine na wengi wao walikuwa wakichangia kuwa mkataba na DP na bandari wakati tumeambiqa ile ni MoU hakuna mktaba bado.
Sasa hapo kama mbunge na waliowengi wengi hata hilo hawakulielewa bado wanachangia wakisema mkataba wa DP na bandari unategemea nini
 
Wameshindwa kujibu maswali muhimu na rahisi:

1) Mkataba ni wa miaka mingapi?

2) Nani atakuwa akimsimamia mwingine pale bandarini -- TPA ama DP World?

3) Tusiporidhika nao kama taifa, au tukiona utendaji wao sasa hatuuhitaji, tunaweza kuvunja mkataba?

kama umesikiliza vizuri jana hayo maswali yalitolewa majibu yake

1:Kuna mkataba wa msingi kati ya nchi na nchi,ambao ndio huo ulijadiliwa jana,baada ya bunge kupitisha azimio,kinachofuata ni TPA kuka na DPW kuandaa mikataba ya utekelezaji kwenye maeneo watakayokubaliana,kwenye mikataba hiyo ndio kutakua na muda. Na endapo TPA na DPW wakishindwa kukubaliana kwenye eneo lolote kwa miezi 12 mambo yataishia hapo, na TPA inaweza tafuta mwekezaji mwingine.

2: Kuhusu usimamizi kwenye mkataba wa msingi ni (a)kwenye uongozi 80% DPW (b) wafanyakazi wengine 80% wazawa, 20% wageni

3: ikitokea wakishindwana wataenda mahakamani kwa kutumia sheria za Tanzania , kama swala hilo litahusu mkataba kati ya TPA na DPW, kama mgogoro unasababishwa na nchi na nchi basi zitatumika sheria za kimataifa.
 
Kwanini hili saga wanalenga kuligeuza kuwa kisa raisi mwanamke kisa DP ni kampuni ya waarabu? Hapa la kuangalia ni terms za agreement hiyo na ndizo zinatia shaka.
Halafu shangazi likija suala la mzanzibar mwenzake kamwe hawezi kuwa against.

Hivi mkataba wameingia na Dubai kama nchi au kampuni!? Maana Dubai kama Zanzibar tu sio nchi kamili
 
Kipindi cha magufuli mbona alikuwa mstari wa mbele kumkosoa? Ila hawa wazanzibar ni wabaguzi mno
Ni wabaguzi sana. Hawezi kumpiga mzanzibar mwenzake hata kama anaona kakosea. Na ndio maana show anataka kuoaminisha kuwa ni kupinga dp kisa ni waarab wakat watu wanapnga aina ya mkataba.
 
Back
Top Bottom