Fatma Karume: Bandari haijauzwa, hakuna tatizo kufanya biashara na Dubai, acheni ubaguzi ni ushamba

Fatma Karume: Bandari haijauzwa, hakuna tatizo kufanya biashara na Dubai, acheni ubaguzi ni ushamba

Kuna tetesi kwamba Halima pia alipenyezewa ukwasi ili akianzishe mjengoni, kisha skipa apate gape la kutoa ufafanuzi ulio andaliwa kwa ustadi mujarab kabisa.
Hakuna mbunge aliyehongwa hakuna mtu anaweza honga mazwazwa ambayo Kila kitu husema ndio. Sasa Halima why ahongwe wakati ubunge alionao tu ni haramu? Asipofuata maelekezo anavuliwa tu kazi imeisha.
 
Hili jambo kila siku linachukua sura mpya, kuna u Tanganyika na u zanzibar kinachofuata ni swala Dini.

Tutapoteza muda kupingana kwenye maeneo hayo akili ikija kutuka sawa kila kitu kitakuwa kimeisha.
 
Ameandika kupitia ukurasa wa mtandao wake wa Twitter mwanaharakati na mwanasheria maarufu nchini Fatma Karume

"Hao WAARABU msiowapenda wameweza kufanya MAPINDUZI ya Kiuchumu nchii zao kwenye kipindi kifupi sana. Dubai haitegemei mafuta.Badala ya kubaguwa basi ndugu zangu tujifunze.Acheni UBAGUZI Jamani. Ni USHAMBA tu."

Kwa maoni yangu: Hakuna tatizo kufanya biashara na Dubai lakini TERMS za MKATABA lazima ziwe FAIR.Hatuwezi kuwapa “sovereignty” yetu.

Pia Fatma ameandika

"Hakuna aliyeuza BANDARI la Dar.Hoja ni MKATABA wa Kimataifa baina ya Dubai na Tanzania na vipengele vichache vinavyoathiri “sovereignty” yetu.WAPUMBAVU ndie wanaleta ujinga wa*Rais ni KE. WaTZ hawatomuamini rais KE tena.*Rais ni MZNZ anauza mali ya TNG*Uarabu".
View attachment 2653915








Daima upande wa mama unakuwa na nguvu sana, hao waarabu ni wajomba/ babu zake Fatuma ,ushamba yeye ndie mshamba zaidi pamoja na uwakili wake magumashi.
 
Yaani tunaingia mkataba na watoto wa Esau, waliouza haki yao ya uzaliwa wa kwanza kwa ajili ya msosi tu?. Hawa bado wananjaa ndiyo mana wanatafuta mahali pa kula ambapo wameipata TZ 😀😀😀😀
 
Huu mkataba tatizo ni uarabu tu.ingekuwa ni wamarekani usingesikia kelele hizi.
Sio kweli maana kama DP world kuewa bandari hizi habari zilikuwepo toka mwaka jana feb ila kilichowashtua watu ni aina ya vipengele vya mkataba. Nadhani walio wengi wanakubali kuwa bandari inahitaji kubinafsishwa kwa watu wenye uwezo lakini kwa mikataba inayoeleweka. Mbona akina tundu lissu na slaa walikuwa wanamponda kikwete kuwa kauza migodi tena kwa kusema wamarekani wanampa net halafu wakati anarudi anapishana na ndege yao angani ikiwa imebeba madini au na hao walikuwa ni waarabu hao waliokuwa wamepewa migodi?
mnahamisha tu magoli
 
Back
Top Bottom