Fatma Karume, Karibu nyumbani kwenye Chama cha Baba na Babu yako. Huu ndio wakati wenyewe

Fatma Karume, Karibu nyumbani kwenye Chama cha Baba na Babu yako. Huu ndio wakati wenyewe

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Kazi ambayo tulikutuma uifanye kwa asilimia kubwa umeifanikisha. Ni wakati wa kurudi home kabla hujachafuliwa na hao wenye wazimu na chuki.

Tunajua kuna wakati unatamani waendelee kuamini kuwa una fanya harakati nao lakini dhamira ya moyoni inakushinda. Unajikuta unaandika au kuzungumza kilichojaa moyo wako.

Magufuli hayupo kwa sasa hamna haja tena ya kupambana nasi. Kwa sasa tuna Rais Mwanamke mwenye asili ya Zanzibar. Tunataka nini tena hapo?

Rudi dada nyumbani kumenoga. Kazi inaendelea wanasiasa wa upinzani wabaki na upinzani wao. Njoo CCM au karibu ACT hawa ndiyo wapinzani wa kweli chini ya Zitto Kabwe. Sisi CCM tunawakubali hawa na siasa zao.

NI suala la muda na muda umeshafika sasa
 
Siku mtakapoikubali CDM,itabidi ijitafakari imekosea wapi!Ninyi endeleenu kuwakubali hao hao ACT maana ni kama wapwa zenu!
 
Kweny hizi siasa za Tanzania yangu hakuna linaloshindikana
 
Kazi ambayo tulikutuma uifanye kwa asilimia kubwa umeifanikisha. Ni wakati wa kurudi home kabla hujachafuliwa na hao wenye wazimu na chuki.

Tunajua kuna wakati unatamani waendelee kuamini kuwa una fanya harakati nao lakini dhamira ya moyoni inakushinda. Unajikuta unaandika au kuzungumza kilichojaa moyo wako.

Magufuli hayupo kwa sasa hamna haja tena ya kupambana nasi. Kwa sasa tuna Rais Mwanamke mwenye asili ya Zanzibar. Tunataka nini tena hapo?

Rudi dada nyumbani kumenoga. Kazi inaendelea wanasiasa wa upinzani wabaki na upinzani wao. Njoo CCM au karibu ACT hawa ndiyo wapinzani wa kweli chini ya Zitto Kabwe. Sisi CCM tunawakubali hawa na siasa zao.

NI suala la muda na muda umeshafika sasa
Umelipia tangazo hili la biashara?
 
Kazi ambayo tulikutuma uifanye kwa asilimia kubwa umeifanikisha. Ni wakati wa kurudi home kabla hujachafuliwa na hao wenye wazimu na chuki.

Tunajua kuna wakati unatamani waendelee kuamini kuwa una fanya harakati nao lakini dhamira ya moyoni inakushinda. Unajikuta unaandika au kuzungumza kilichojaa moyo wako.

Magufuli hayupo kwa sasa hamna haja tena ya kupambana nasi. Kwa sasa tuna Rais Mwanamke mwenye asili ya Zanzibar. Tunataka nini tena hapo?

Rudi dada nyumbani kumenoga. Kazi inaendelea wanasiasa wa upinzani wabaki na upinzani wao. Njoo CCM au karibu ACT hawa ndiyo wapinzani wa kweli chini ya Zitto Kabwe. Sisi CCM tunawakubali hawa na siasa zao.

NI suala la muda na muda umeshafika sasa
Mkuu unamkaribisha huyo Fatma a.k.a Maneno Mengi, kwa lipi tunalolikosa ndani ya chama?
 
Tangu lini fatu alikuwa chadema!? yule ni ccm damu kama jinsi alivyokuwa kigogo.
 
Kazi ambayo tulikutuma uifanye kwa asilimia kubwa umeifanikisha. Ni wakati wa kurudi home kabla hujachafuliwa na hao wenye wazimu na chuki.

Tunajua kuna wakati unatamani waendelee kuamini kuwa una fanya harakati nao lakini dhamira ya moyoni inakushinda. Unajikuta unaandika au kuzungumza kilichojaa moyo wako.

Magufuli hayupo kwa sasa hamna haja tena ya kupambana nasi. Kwa sasa tuna Rais Mwanamke mwenye asili ya Zanzibar. Tunataka nini tena hapo?

Rudi dada nyumbani kumenoga. Kazi inaendelea wanasiasa wa upinzani wabaki na upinzani wao. Njoo CCM au karibu ACT hawa ndiyo wapinzani wa kweli chini ya Zitto Kabwe. Sisi CCM tunawakubali hawa na siasa zao.

NI suala la muda na muda umeshafika sasa
Kwani wewe ndio unajua kuliko yeye
 
Back
Top Bottom