johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Sahihi BwasheAlizungumzia jinsi Rais wa IPU Spika Dr Tulia PhD alivyowajibu Wazungu, mjukuu wa baba wa taifa la Zanzibar Fatma Karume amesema ule siyo Ujasiri
Fatma Karume asema alichofanya Spika Dr Tulia ni Sawa na Panya kutamba mbele ya Paka huku akijua Kabisa baadae ataliwa
Ni huko Ukurasani X
Mlale Unono π
Karume mzungu pori wa wapi?πππ Sawa Maria mjaluo na Hungary.. Ungekua na hoja tu vizuri kuliko hiyo pumba uliyowekaKuna wakati ukipinga kila kitu unaweza kujikuta unapinga hata jina lako.., Tulia kaongea kibabe vyema inavyotakiwa. Kwa anayewaelewa wazungu vyema atanielewa. Tatizo Fatma Karume na Maria Sarungi ni wazungu pori(Half Cast nusu), hawajui vizuri figisu za wazungu. Wanazidiwa na Dr. Tulia aliyewajua vizuri wazungu kupitia vitabu tu..
Hapana wewe na Tulia mna inferior IQ, Fatuma na Maria wana very advanced IQ. Huwezi kuwaelewa.Kuna wakati ukipinga kila kitu unaweza kujikuta unapinga hata jina lako.., Tulia kaongea kibabe vyema inavyotakiwa. Kwa anayewaelewa wazungu vyema atanielewa. Tatizo Fatma Karume na Maria Sarungi ni wazungu pori(Half Cast nusu), hawajui vizuri figisu za wazungu. Wanazidiwa na Dr. Tulia aliyewajua vizuri wazungu kupitia vitabu tu..
wale vilaza mlokua mnatoa minjino nje.mko wapiiAlizungumzia jinsi Rais wa IPU Spika Dr Tulia PhD alivyowajibu Wazungu, mjukuu wa baba wa taifa la Zanzibar Fatma Karume amesema ule siyo Ujasiri
Fatma Karume asema alichofanya Spika Dr Tulia ni Sawa na Panya kutamba mbele ya Paka huku akijua Kabisa baadae ataliwa
Ni huko Ukurasani X
Mlale Unono π
wee...sema kweli mkuu jpm aliwaweza mabeberuAloewaweza mabeberu ni jpm tu,coz alikua IQ kubwa sana halafu alikua natural reader!
Hii inaeleweka ,wanawake hawapendani wao kwa wao.Alizungumzia jinsi Rais wa IPU Spika Dr Tulia PhD alivyowajibu Wazungu, mjukuu wa baba wa taifa la Zanzibar Fatma Karume amesema ule siyo Ujasiri
Fatma Karume asema alichofanya Spika Dr Tulia ni Sawa na Panya kutamba mbele ya Paka huku akijua Kabisa baadae ataliwa
Ni huko Ukurasani X
Mlale Unono π
Uyu Mama vile baba yake alimuingiza tiss ndio anajiona anajua kila kitu kuliko wengine..
Laana ya kumtukana Magufuli itamuandama daima..
Yaani uwa haelewi nini anataka!!
Huu ni ukweli mtupuAlizungumzia jinsi Rais wa IPU Spika Dr Tulia PhD alivyowajibu Wazungu, mjukuu wa baba wa taifa la Zanzibar Fatma Karume amesema ule siyo Ujasiri
Fatma Karume asema alichofanya Spika Dr Tulia ni Sawa na Panya kutamba mbele ya Paka huku akijua Kabisa baadae ataliwa
Ni huko Ukurasani X
Mlale Unono π
tatzo fikra za utumwa inatusumbua ss goz nyeusi kwa kuwafokea kuna tatzo ganAlizungumzia jinsi Rais wa IPU Spika Dr Tulia PhD alivyowajibu Wazungu, mjukuu wa baba wa taifa la Zanzibar Fatma Karume amesema ule siyo Ujasiri
Fatma Karume asema alichofanya Spika Dr Tulia ni Sawa na Panya kutamba mbele ya Paka huku akijua Kabisa baadae ataliwa
Ni huko Ukurasani X
Mlale Unono π
Acha ujinga, kwani hao wazungu wa America wanajikuta wao kina nani wasiambiwe ukweli?Kwa upumbavu alioufanya huko ubeberuni,hakustahili kabisa kuwa kwenye nafasi ya usipika.Mtu mwenye hekima hujibu hoja Kwa hoja na siyo kufoka.kufoka ni njia ya mpumbavu kukwepa kujibu hoja.Ndiyo maana alikataa kujadili hoja ya utekaji Kwa kujifanya utekaji haupo wakati umetamalaki Kila sehemu ya Nchi hii.IPU waitishe kikao Cha kutokuwa na Imani Naye ilibapatikane mwenye uwezo.
Ali test mapapai na mbuzi akakuta Yana corona!wee...sema kweli mkuu jpm aliwaweza mabeberu
Uyu Mama vile baba yake alimuingiza tiss ndio anajiona anajua kila kitu kuliko wengine..
Laana ya kumtukana Magufuli itamuandama daima..
Yaani uwa haelewi nini anataka!!