Ukiwaweka mezani hao ni watu wawili tofauti kabisa.Wewe ni hisia żako tu. Fatma anakosa nini? Hivi kumsikliza Fatma au Tulia nani ana bore? Weka merit mezani Fatma Vs Tulia nani atakuwa kidedea? Obviously Fatma.
Merit, siyo kubebana
Alimtukanaje magufuli Tena?Uyu Mama vile baba yake alimuingiza tiss ndio anajiona anajua kila kitu kuliko wengine..
Laana ya kumtukana Magufuli itamuandama daima..
Yaani uwa haelewi nini anataka!!
Hiyo laana onaweza kuwa ni zaidi waliyo nayo chukua chako mapema.Uyu Mama vile baba yake alimuingiza tiss ndio anajiona anajua kila kitu kuliko wengine..
Laana ya kumtukana Magufuli itamuandama daima..
Yaani uwa haelewi nini anataka!!
Hiyo laana onaweza kuwa ni zaidi waliyo nayo chukua chako mapema.Uyu Mama vile baba yake alimuingiza tiss ndio anajiona anajua kila kitu kuliko wengine..
Laana ya kumtukana Magufuli itamuandama daima..
Yaani uwa haelewi nini anataka!!
wazazi wako ubongo wao una operate sayari ipi? maana jinsi ulivyo mjinga sijui wazazi wako wakojeAli test mapapai na mbuzi akakuta Yana corona!
Unafikiri ubongo wake ulikua una operate sayari ipi!!?
Tuna jambo la kujifunza kama nchi, inabidi kile chuo cha siasa kilichojengwa kibaha kwa mfipaAlizungumzia jinsi Rais wa IPU Spika Dr Tulia PhD alivyowajibu Wazungu, mjukuu wa baba wa taifa la Zanzibar Fatma Karume amesema ule siyo Ujasiri
Fatma Karume asema alichofanya Spika Dr Tulia ni Sawa na Panya kutamba mbele ya Paka huku akijua Kabisa baadae ataliwa. Ni huko Ukurasani X. Mlale Unono 😀
Soma: The famous Tulia Ackson's meltdown at the IPU meeting, was it legit and justifiable?
TrueWaliuliza maswali ya kipumbavu na kashfa, naye akawajibu kibabe hivyohivyo...sio kila wakati utaweka ustaarabu mbele, maswali waliyouliza walijua majibu yake - itakuwa walifikiri akili yake ni ndogo sana asiwaelewe..dawa na moto ni moto.
True 💯Ukiwaweka mezani hao ni watu wawili tofauti kabisa.
Kinachombeba Fatuma ni jina Lake la mwisho tu ila kichwani hakuna kitu.
Uzuri hata wakulima nao wamo....kama yule boss wa wafanyabiashara wa Kariakoo.....toka baba yake mpaka yeye wale waleMi mkulima wa tunduru uku
🤣🤣🤣🥴Karume mzungu pori wa wapi?🙄🙄🙄 Sawa Maria mjaluo na Hungary.. Ungekua na hoja tu vizuri kuliko hiyo pumba uliyoweka
Huna hoja. Unasema Fatma alitaka awe kwenye nafasi ya Tulia, kwani alifanya nini kuthibitisha alikuwa anaitafuta hiyo nafasi? Ndugu yangu, umekosa hoja kabisa.I am no fan of Tulia.
Ila napata hisia za Fatuma za wivu juu ya Tulia.
Hapo anataka ni yeye ndie angekuwa hapo.
Wale wa mapambio hawawezi kumuelewa Fatuma. Shangazi yupo sahihi.Alizungumzia jinsi Rais wa IPU Spika Dr Tulia PhD alivyowajibu Wazungu, mjukuu wa baba wa taifa la Zanzibar Fatma Karume amesema ule siyo Ujasiri
Fatma Karume asema alichofanya Spika Dr Tulia ni Sawa na Panya kutamba mbele ya Paka huku akijua Kabisa baadae ataliwa. Ni huko Ukurasani X. Mlale Unono 😀
Soma: The famous Tulia Ackson's meltdown at the IPU meeting, was it legit and justifiable?
Kasema ukweli lakiniUyu Mama vile baba yake alimuingiza tiss ndio anajiona anajua kila kitu kuliko wengine..
Laana ya kumtukana Magufuli itamuandama daima..
Yaani uwa haelewi nini anataka!!
Wivu tu wa kike
Hakuna kitu paleKuna wakati ukipinga kila kitu unaweza kujikuta unapinga hata jina lako.., Tulia kaongea kibabe vyema inavyotakiwa. Kwa anayewaelewa wazungu vyema atanielewa. Tatizo Fatma Karume na Maria Sarungi ni wazungu pori(Half Cast nusu), hawajui vizuri figisu za wazungu. Wanazidiwa na Dr. Tulia aliyewajua vizuri wazungu kupitia vitabu tu..
Kweli kabisa. Wewe na Tulia mnajua sana wazungu ndiyo maana mmeweza kuifanya Tanzania iwe nchi ya mfano wa kuigwa.Kuna wakati ukipinga kila kitu unaweza kujikuta unapinga hata jina lako.., Tulia kaongea kibabe vyema inavyotakiwa. Kwa anayewaelewa wazungu vyema atanielewa. Tatizo Fatma Karume na Maria Sarungi ni wazungu pori(Half Cast nusu), hawajui vizuri figisu za wazungu. Wanazidiwa na Dr. Tulia aliyewajua vizuri wazungu kupitia vitabu tu..
Siamini kama ni wewe unaandika hili. Kumbe hata wewe ulikuwa shabiki wa yule mjinga Magufuli? Magufuli aliwaweza mabeberu kwa lipi? Kutoamini kuwa kuna korona na ikaja kumuua?wee...sema kweli mkuu jpm aliwaweza mabeberu
Hapana wewe na Tulia mna inferior IQ, Fatuma na Maria wana very advanced IQ. Huwezi kuwaelewa.
hahaha...wewe amini tu .mm siko kbs huko...naanzaje kua shabiki ? ah noSiamini kama ni wewe unaandika hili. Kumbe hata wewe ulikuwa shabiki wa yule mjinga Magufuli? Magufuli aliwaweza mabeberu kwa lipi? Kutoamini kuwa kuna korona na ikaja kumuua?