4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Pumbavu sio tusi ila uwezo mdogo wa kupanua mambo, nchi inauzwa we upo shabikia ujinga, rudisha bandari, futa limkaba lenu ,Mungu amewapa siku47 tu kuanzia jana vinginevyo mtajutaKwani ukitukana ndio inafanya wawe na adabu? Wana Kauli chafu kiburi na kujikuta Wana akili weeee kumbe mizoga tuu.
Kumbe tatizo hasira za kaka ndio zimemrudishia akili, ndio maana nikashangaa huyu mwanzo alituambia tumuulize mwanasheria mkuu wa serikali, kama vile yeye ndie kiongozi wa nchi!.Huyu atakuwa amejipindua baada ya babake mdogo (sijui mkubwa) Ali Karume kuliwa kichwa. Mwanzo alikuwa mtetezi mkubwa wa DP World
Sawa tuu ila endeleeni Kutukana Mzee na kuleta chokochokoPumbavu sio tusi ila uwezo mdogo wa kupanua mambo, nchi inauzwa we upo shabikia ujinga, rudisha bandari, futa limkaba lenu ,Mungu amewapa siku47 tu kuanzia jana vinginevyo mtajuta
Umeshapanic ππSIDHANI KMA AMEWEKA NENO SHUJAA
sema hatuwezi kukubali CCM waendelee kuibia Watanzania bandari inasimamiwa na nani? nani anamteua mtendaji mkuu wa bandari? yaani mnakuja na hoja ya kijinga sana. Mama yenu kauza Tanganyika hatutaki.Mwambieni aache Kiki ana kipi cha maana mpaka auliwe? Pigeni kelele zote DP world lazima waje kuchapa kazi hatuwezi kukubali bandari iendelee kudumaa kisa kelele za waoga wa mabadiliko.
Cz always wanapiga kwenye mshono!!π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ Hujiulizi Kwa nini hao tuu?
Huyo na Lisu hawana adabu washughulikiwe
Kwa hiyo wewe ndio msemaje wake huku JF?Wakili Msomi Fatma Karume amehoji iwapo Dr Nshala atauwawa ndio Mkataba wa Bandari utakuwa Mzuri ?
Mkimuuwa Dr Nshala ndio Wananchi wataukubali Mkataba wa Bandari?
Mwisho ameuliza, Yuko wapi Shujaa Magufuli?!
Amehoji haya kupitia ukurasa wake wa twitter
Nawatakia Dominica njema!
Basi muache vitishoMwambieni aache Kiki ana kipi cha maana mpaka auliwe? Pigeni kelele zote DP world lazima waje kuchapa kazi hatuwezi kukubali bandari iendelee kudumaa kisa kelele za waoga wa mabadiliko.
Toa utumwa wa kuzibua vyoo vya lumumba pumbavu wewe.Huyo na Lisu hawana adabu washughulikiwe
Ndio maana tunawaambie nyie ni waoga wa maendeleo, mmekariri maujamaa yenu eti Nani anamteua mtendaji? Hii inaenda kuwa public enterprises yaani kutakuwa kuna board of directors ambayo haiwezi kuingiliwa na wanasiasa, bodi itachapa kazi Kwa ufanisi zaidi kupandisha namba ya mapato Kwa uhuru bila kuyumbishwa na wanasiasa.sema hatuwezi kukubali CCM waendelee kuibia Watanzania bandari inasimamiwa na nani? nani anamteua mtendaji mkuu wa bandari? yaani mnakuja na hoja ya kijinga sana. Mama yenu kauza Tanganyika hatutaki.
FATUMA HATUJAMSIKIA AKIPINGA UUZWAJI WA TANGANYIKA. MNAFIKI INGAWA NILIKUWA NAMPENSA SANA KWA KUWAKILISHA HOJA. NI MDINI, MKABILA AND THE LIKEWakili Msomi Fatma Karume amehoji iwapo Dr Nshala atauwawa ndio Mkataba wa Bandari utakuwa Mzuri ?
Mkimuuwa Dr Nshala ndio Wananchi wataukubali Mkataba wa Bandari?
Mwisho ameuliza, Yuko wapi Shujaa Magufuli?!
Amehoji haya kupitia ukurasa wake wa twitter
Nawatakia Dominica njema!
Usiseme uongoUmeshapanic ππ
aliwatanguliza wengine akafikiri yeye atatanua atakavyo, kiko wapi - hii Dunia ukiwa kiongozi ni lazima upate maono ya nyakati.Mwisho ameuliza, Yuko wapi Shujaa Magufuli?!
Samia hataua hata sisimizi, hakuna mtu anayetishwa sema kuna vimtu vinataka kujipa umaarufu tu wa bwerere!Basi muache vitisho
Uongo ni upi?Usiseme uongo
πππTatizo ni mkataba mbovu tu watuelewe Jamani.