Pale opposite na Kanisa Moja Takatifu la Mitume 😀
Ile ilifanywa na Vijana wa Ufipa kumtisha Masha aliyekuwa na Mkataba wa Laigwanan Edward kuinunua Chadema 😂😂😂
..Masha alikuwa kaishaachana na kampuni ya uwakili ya kina Fatuma.
..madogo wa Ufipa hawawezi kulipua bomu popote, sembuse jirani na makao makuu ya jeshi.
..Yale yalikuwa maelekezo kutoka juu.