Fatma Karume: Mkishamuua Dkt. Nshala ndio Mkataba wa Bandari utakuwa Mzuri?

Fatma Karume: Mkishamuua Dkt. Nshala ndio Mkataba wa Bandari utakuwa Mzuri?

Kwani ukitukana ndio inafanya wawe na adabu? Wana Kauli chafu kiburi na kujikuta Wana akili weeee kumbe mizoga tuu.

Naona umefanya kazi hii kwa bidii sana.
1688894920067.png
 
Ndio maana tunawaambie nyie ni waoga wa maendeleo, mmekariri maujamaa yenu eti Nani anamteua mtendaji? Hii inaenda kuwa public enterprises yaani kutakuwa kuna board of directors ambayo haiwezi kuingiliwa na wanasiasa, bodi itachapa kazi Kwa ufanisi zaidi kupandisha namba ya mapato Kwa uhuru bila kuyumbishwa na wanasiasa.
Imeandikwa wapi? nani aliyenzisha mfumo wa Ujamaa? Bandari ikawe public enterprises kati ya kampuni ipi? acha kukariri ujinga. Tunahitaji hizi ndoto unazoota ziwe kwenye maandushi.
 
Wakili Msomi Fatma Karume amehoji iwapo Dr Nshala atauwawa ndio Mkataba wa Bandari utakuwa Mzuri ?

Mkimuuwa Dr Nshala ndio Wananchi wataukubali Mkataba wa Bandari?

Mwisho ameuliza, Yuko wapi Shujaa Magufuli?!

Amehoji haya kupitia ukurasa wake wa twitter

Nawatakia Dominica njema!

..Jpm alituma watu kulipua ofisi ya Fatuma Karume.

..Jpm akatuma watu wamuue Tundu Lissu.

..baadae Jpm akawasamehe barrick deni la usd 191 billion.

..tena akaruhusu makinikia kwenda nje badala ya kuchenjuliwa hapa Tanzania.

..Jpm akaruhusu migogoro na Barrick kutatuliwa na mahakama za nje.
 
..Jpm alituma watu kulipua ofisi ya Fatuma Karume.

..Jpm akatuma watu wamuue Tundu Lissu.

..baadae Jpm akawasamehe barrick deni la usd 191 billion.

..tena akaruhusu makinikia kwenda nje badala ya kuchenjuliwa hapa Tanzania.

..Jpm akaruhusu migogoro na Barrick kutatuliwa na mahakama za nje.
Hiyo ofisi ya Fatma Karume ilikuwa wapi?

Au pale Ufipa mlipombomolea Masha😂😂?
 
Hiyo ofisi ya Fatma Karume ilikuwa wapi?

Au pale Ufipa mlipombomolea Masha😂😂?

..ilikuwa maeneo ya Upanga, barabara ya Umoja wa Mataifa.

..Tena karibu na makao makuu ya jeshi ngome-Upanga.

..mtu hawezi kulipua bomu eneo lile akatoka salama.

..ndio maana nasema ilikuwa ni " maelekezo au amri kutoka juu. "
 
Fatma Karume anatakiwa kumuuliza dada yake hayo maswali, sijui kwanini ametumia wingi kwenye kuuliza maswali yake..

Ajue dada yake amekosa majibu ya wengi yanayoulizwa kuhusu ule mkataba, ndio maana ameamua mambo yajiendee tu, kwake kupata msaada wowote sasa ni wa thamani.
Shala Hana adabu,hata Kama anamdharau Samia lakini aheshimu taasisi ya urais,huwezi sema rais badala ya kuchutama yeye anachanua,halafu uachwe tu unazungusha korodani mjini...wamshughulikie,ili yeye na wengine waso adabu wajue kuwa rais ni amir jeshi mkuu
 
..ilikuwa maeneo ya Upanga, barabara ya Umoja wa Mataifa.

..Tena karibu na makao makuu ya jeshi ngome-Upanga.

..mtu hawezi kulipua bomu eneo lile akatoka salama.

..ndio maana nasema ilikuwa ni " maelekezo au amri kutoka juu. "
Pale opposite na Kanisa Moja Takatifu la Mitume 😀

Ile ilifanywa na Vijana wa Ufipa kumtisha Masha aliyekuwa na Mkataba wa Laigwanan Edward kuinunua Chadema 😂😂😂
 
Wakili Msomi Fatma Karume amehoji iwapo Dr Nshala atauwawa ndio Mkataba wa Bandari utakuwa Mzuri ?

Mkimuuwa Dr Nshala ndio Wananchi wataukubali Mkataba wa Bandari?

Mwisho ameuliza, Yuko wapi Shujaa Magufuli?!

Amehoji haya kupitia ukurasa wake wa twitter

Nawatakia Dominica njema!
Sasa nani katangaza kuwa anataka kumuua huho mkosa adabu anayetutukania mama zentu Nshalla? Yeye amajishtukia kutokana na utovu wake wa adabu basi.
 
Shala Hana adabu,hata Kama anamdharau Samia lakini aheshimu taasisi ya urais,huwezi sema rais badala ya kuchutama yeye anachanua,halafu uachwe tu unazungusha korodani mjini...wamshughulikie,ili yeye na wengine waso adabu wajue kuwa rais ni amir jeshi mkuu
shetani wewe
 
Wakili Msomi Fatma Karume amehoji iwapo Dr Nshala atauwawa ndio Mkataba wa Bandari utakuwa Mzuri ?

Mkimuuwa Dr Nshala ndio Wananchi wataukubali Mkataba wa Bandari?

Mwisho ameuliza, Yuko wapi Shujaa Magufuli?!

Amehoji haya kupitia ukurasa wake wa twitter

Nawatakia Dominica njema!
Kuua wakosoaji hakujawahi kuwa suluhisho la kudumu kwa matatizo yanayoikabili Serikali youote ile duniani, Bali ni kuahirisha kwa muda matatizo ili kusudi yakuwe na kuwa makubwa zaidi.
 
Awamu ya sita imekuwa ya hovyo sana.inamtishia mzalendo nshala kumuua kama kwamba wao hawatakufa?
 
Back
Top Bottom