Pale opposite na Kanisa Moja Takatifu la Mitume π
Ile ilifanywa na Vijana wa Ufipa kumtisha Masha aliyekuwa na Mkataba wa Laigwanan Edward kuinunua Chadema πππ
Umeishiwa hoja bado kidogo uishiwe damu.Huyo na Lisu hawana adabu washughulikiwe
.......yako ndiye alikosa hekima badala ya kujiunga na CHAPUDU akumwage huko mafinyofinyoni yeye akamwaga kwenye nanii akaleta dubwana hapa duniani na sasa linamwaga upupu humu jfHuyo na Lisu hawana adabu washughulikiwe
Utapanuka moyo bure kaka. CCM ni habari nyingine mkuu
CCM ni genge la wahuniWakili Msomi Fatma Karume amehoji iwapo Dr Nshala atauwawa ndio Mkataba wa Bandari utakuwa Mzuri ?
Mkimuuwa Dr Nshala ndio Wananchi wataukubali Mkataba wa Bandari?
Mwisho ameuliza, Yuko wapi Shujaa Magufuli?!
Amehoji haya kupitia ukurasa wake wa twitter
Nawatakia Dominica njema!
Pia soma
- Dkt. Rugemeleza Nshala: Nimetishiwa maisha baada ya kutoa maoni kuhusu mkataba wa Bandari na DP World
- Mwanasheria Dkt. Nshala Rugemeleza: Mkataba wa bandari ni wa kiuhaini, Umevunja katiba ya nchi na utakwenda kuvunja sheria za nchi
- Rugemeleza Nshalla: Tutafungua Kesi kupinga Mkataba wa DP World na Tanzania
Nakuunga mkono ccm watupishe, Kuna chama kinaitwa Tundu Lisu kiwe mbadala kwenye karne hii ya kidigtal.Bila CCM kupisha tutachelewa sana. Chama kimekuwa dubwsana hata wanachama wenyewe wanaliogopa!!
Conflict of interest: Mimi ni mwanachama yangu 1978
πPumbavu