Fatma Karume: Mkishamuua Dkt. Nshala ndio Mkataba wa Bandari utakuwa Mzuri?

Pale opposite na Kanisa Moja Takatifu la Mitume πŸ˜€

Ile ilifanywa na Vijana wa Ufipa kumtisha Masha aliyekuwa na Mkataba wa Laigwanan Edward kuinunua Chadema πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

..Masha alikuwa kaishaachana na kampuni ya uwakili ya kina Fatuma.

..madogo wa Ufipa hawawezi kulipua bomu popote, sembuse jirani na makao makuu ya jeshi.

..Yale yalikuwa maelekezo kutoka juu.
 
CCM ni genge la wahuni
 
Bila CCM kupisha tutachelewa sana. Chama kimekuwa dubwsana hata wanachama wenyewe wanaliogopa!!

Conflict of interest: Mimi ni mwanachama yangu 1978
Nakuunga mkono ccm watupishe, Kuna chama kinaitwa Tundu Lisu kiwe mbadala kwenye karne hii ya kidigtal.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…