Fatma Karume: Mwanasheria Mkuu na Watanganyika wa ofisi yake ndio wamewauza, sio Wazanzibari

Fatma Karume: Mwanasheria Mkuu na Watanganyika wa ofisi yake ndio wamewauza, sio Wazanzibari

Taso

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2010
Posts
2,507
Reaction score
2,412
FATMA Karume. mwanasheria maarufu na mtoto wa Rais Mstaafu wa Zanzibar, amesema hakuna mkataba unaweza pita bila Mwanasheria Mkuu kuukubali na kwamba ofisi ya Mwanasheria Mkuu imejaa Watanganyika; hao ndio waliotuuza na sio wao Wazanzibar.

Aidha Binti Karume amesema AG Feleshi ni msukuma wa Tanganyika.

Pia amelaani mkataba huo na DP World na kusema unalinda upande mmoja tu wa DPW. Alikuwa akihojiwa na Maria Sarungi.
----------------

My take: Fatma Karume anajitoa ufahamu kwa vile anajua kuliko mtu yeyote kwamba Attorney General mbele ya tawala za Tanzania ni kinyamkera kisicho na uhuru. Wazanzibari hawawezi kujitoa kwenye uamuzi wa kugawa mali ya Tanganyika.
 
Huyu Fatma anaropoka tu.

Atuambie, Samia alivyoenda uarabuni picha yake ikawekwa kwenye lile jengo refu kupita yote aliwalipa nini waarabu?

Atuambie pia, mwanasheria mkuu wa serikali wa Tanganyika alijiweka mwenyewe ofisini? Kama hakujiweka, kwanini yule aliyemuweka bado yuko kimya mpaka leo?
 
FATMA Karume. mwanasheria maarufu na mtoto wa Rais Mstaafu wa Zanzibar, amesema hakuna mkataba unaweza pita bila Mwanasheria Mkuu kuukubali na kwamba ofisi ya Mwanasheria Mkuu imejaa Watanganyika; hao ndio waliotuuza Watanganyika na sio wao Wazanzibar.

Aidha Binti Karume amesema AG Feleshi ni msukuma wa Tanganyika.

Pia amelaani mkataba huo na DP World na kusema unalinda upande mmoja tu wa kuilinda DPW.

Alikuwa akihojiwa na Maria Sarungi.
----------------

My take: Fatma Karume anajitoa ufahamu kwa vile anajua mtu kama Attorney General mbele ya tawala za Tanzania ni kinyamkera kisicho na uhuru. Rais na Waziri wakishapanga jambo hakuna wakulizuia. Wazanzibari hawawezi kujitoa kwenye uamuzi wa kugawa mali ya Tanganyika.
Kwa hili lienifanya nianze kumuona fatuma karume mpuuzi mkubwa sana.
Huyu Rais malkia/ Mfalme akiamua Feleshi atafanya nini?
 
Hili picha lilianza kipindi kile huyu mmama Alipo enda kwa wajomba zake kule arabuni pale ndipo alieenda kutuuza kwa hiyo huyu shangazi wa taifa ameongea pumba, kwa sababu huyo mwanasheria hawezi kubishana na Raisi akisha amaua jambo lake, wanywa urojo hakuna namna watajitoa kwenye huu wizi ulio fanyika
 
FATMA Karume. mwanasheria maarufu na mtoto wa Rais Mstaafu wa Zanzibar, amesema hakuna mkataba unaweza pita bila Mwanasheria Mkuu kuukubali na kwamba ofisi ya Mwanasheria Mkuu imejaa Watanganyika; hao ndio waliotuuza Watanganyika na sio wao Wazanzibar.

Aidha Binti Karume amesema AG Feleshi ni msukuma wa Tanganyika.

Pia amelaani mkataba huo na DP World na kusema unalinda upande mmoja tu wa DPW. Alikuwa akihojiwa na Maria Sarungi.
----------------

My take: Fatma Karume anajitoa ufahamu kwa vile anajua mtu kama Attorney General mbele ya tawala za Tanzania ni kinyamkera kisicho na uhuru. Wazanzibari hawawezi kujitoa kwenye uamuzi wa kugawa mali ya Tanganyika.
Kwenye swala la kwanza naheshimu na kukubaliana na mzanzibar huyu na mwanasheria nguli, kuwa Bandari Imeuzwa.

ila tunatofautiana kwenye swala la muuzaji tu,
 
FATMA Karume. mwanasheria maarufu na mtoto wa Rais Mstaafu wa Zanzibar, amesema hakuna mkataba unaweza pita bila Mwanasheria Mkuu kuukubali na kwamba ofisi ya Mwanasheria Mkuu imejaa Watanganyika; hao ndio waliotuuza na sio wao Wazanzibar.

Aidha Binti Karume amesema AG Feleshi ni msukuma wa Tanganyika.

Pia amelaani mkataba huo na DP World na kusema unalinda upande mmoja tu wa DPW. Alikuwa akihojiwa na Maria Sarungi.
----------------

My take: Fatma Karume anajitoa ufahamu kwa vile anajua kuliko mtu yeyote kwamba Attorney General mbele ya tawala za Tanzania ni kinyamkera kisicho na uhuru. Wazanzibari hawawezi kujitoa kwenye uamuzi wa kugawa mali ya Tanganyika.
Maoni ya mwanasheria mkuu huenda yalikataliwa na mzanzibari ndio maana hata Feleshi aliongea kwa kijikanyaga kanyaga kama vile haelewi vizuri kilichomo kwenye mkataba. Mkataba ulipitishwa na ikulu na wizara ya uchukuzi
 
FATMA Karume. mwanasheria maarufu na mtoto wa Rais Mstaafu wa Zanzibar, amesema hakuna mkataba unaweza pita bila Mwanasheria Mkuu kuukubali na kwamba ofisi ya Mwanasheria Mkuu imejaa Watanganyika; hao ndio waliotuuza na sio wao Wazanzibar.

Aidha Binti Karume amesema AG Feleshi ni msukuma wa Tanganyika.

Pia amelaani mkataba huo na DP World na kusema unalinda upande mmoja tu wa DPW. Alikuwa akihojiwa na Maria Sarungi.
----------------

My take: Fatma Karume anajitoa ufahamu kwa vile anajua kuliko mtu yeyote kwamba Attorney General mbele ya tawala za Tanzania ni kinyamkera kisicho na uhuru. Wazanzibari hawawezi kujitoa kwenye uamuzi wa kugawa mali ya Tanganyika.
Jambo moja nampongeza sana Fatma Karume, ni kutamka wazi kuwa .mkataba wa bandari ni wa hovyo.

Hapa tupo kwenye meeting point, kuwa mkataba wa bandari ni wa kishenzi, ni wa hovyo, na unaenda kinyume cha katiba, sheria na kanuni za biashara na uwekezaji.

Tukishakubaliana wote wenye akili timamu katika hilo, sasa tunaenda mbele zaidi kuwatambua waliotupeleka kwenye ushenzi huu, na baada ya hapo tujadili adhabu stahiki kwao.
 
w

kwenye swala la kwanza naheshimu na kukubaliana na mzanzibar huyu na mwanasheria nguli, kuwa Bandari Imeuzwa.

ila tunatofautiana kwenye swala la muuzaji tu,
Ndio.

Amekiri bandari imeuzwa.

Tunabishana nani kauza.

Fatma anasema kulikuwa na Mtanganyika wa kuzuia isiuzwe. Ofisi nzima ya Mwanasheria Mkuu.

Kwa hiyo biashara inabaki ni ya Mzanzibari ila tunalaumiwa Watanganyika kushindwa kuzuia mkataba wa kuuzwa bandari yetu. Hatukuwa na uwezo wa kuzuia.
 
Jambo moja nampongeza sana Fatma Karume, ni kutamka wazi kuwa .mkataba wa bandari ni wa hovyo.

Hapa tupo kwenye meeting point, kuwa mkataba wa bandari ni wa kishenzi, ni wa hovyo, na unaenda kinyume cha katiba, sheria na kanuni za biashara na uwekezaji.

Tukishakubaliana wote wenye akili timamu katika hilo, sasa tunaenda mbele zaidi kuwatambua waliotupeleka kwenye ushenzi huu, na baada ya hapo tujadili adhabu stahiki kwao.
Lakini tukisema tu mkataba ni wa hovyo kisha tuishie hapo, naona tutapotezana mbele ya safari, tutamkosa wa kumtupia lawama wakati kimsingi yupo.

Hao wote wanaolalamikiwa ni wadogo, kiongozi wao yupo na ndie aliyefunga safari kwenda uarabuni kututengenezea hili tatizo, Samia ndie aliyehongwa na waarabu picha yake ikawekwa kwenye jengo refu kupita yote duniani, huku akituambia iliwekwa bure!, wajuvi wakasema hakuna free lunch kwenye hii dunia ya leo..

Bado tena Samia akatuambia wapo waliotusapoti kuitangaza Royal Tour, tukiuliza ni nani hao, tunajibiwa tusubiri majibu, wakati tukiendelea kusubiri ndio linaibuka hili la mkataba wa hovyo, kumbe zile offer zote, picha kuwekwa juu ya jengo, na mfadhili wa Royal Tour, bandari zetu zote Tanganyika ndio zikawekwa rehani na yule mwanamke mjinga, na msaliti, aliyekosa aibu.
 
Ndio.

Amekiri bandari imeuzwa.

Tunabishana nani kauza.

Fatma anasema kulikuwa na Mtanganyika wa kuzuia isiuzwe. Ofisi nzima ya Mwanasheria Mkuu.

Kwa hiyo biashara inabaki ni ya Mzanzibari ila tunalaumiwa Watanganyika kushindwa kuzuia mkataba wa kuuzwa bandari yetu. Hatukuwa na uwezo wa kuzuia.
Prof. Mbarawa aliyeweka saini kwenye ule mkataba ni mzanzibari.

Katibu Mkuu wa wizara yake ni mzanzibari.

Samia aliyeenda kuhongwa vitu vizuri Uarabuni nae ni mzanzibari, huyo Fatma atuambie, kati ya kiongozi mkuu wa nchi, na mwanasheria mkuu wa nchi, nani mwenye maamuzi ya mwisho?!

Aache kidomo domo.
 
Hili picha lilianza kipindi kile huyu mmama Alipo enda kwa wajomba zake kule arabuni pale ndipo alieenda kutuuza kwa hiyo huyu shangazi wa taifa ameongea pumba, kwa sababu huyo mwanasheria hawezi kubishana na Raisi akisha amaua jambo lake, wanywa urojo hakuna namna watajitoa kwenye huu wizi ulio fanyika
Na alisomba kijji kwenda nacho dubai kwa kodi zetu, halafu mstokeo yake ndo haya, eti anaifungua nchi
 
Back
Top Bottom