Fatma Karume: Mwanasheria Mkuu na Watanganyika wa ofisi yake ndio wamewauza, sio Wazanzibari

Hatuoni sahihi ya AG kwenye mkataba huo.

Mkataba huo ni Fake na BATILI.

Kuuvunja inawezekana.
 
Serikali ni kama msumeno...inaweza ikakutaka ujiuzuru au ikakuzuia usijiuzuru kwa lazima...ref: Ndugai na Diwani
Kwani Ndugai alilazimishwa kujiuzuru? Yule AG iko kwenye comfort zone, sioni kama ana msiguano wowote na utendaji wa serikali......kwahiyo acheni kumtetea.
 
My take: Fatma Karume anajitoa ufahamu kwa vile anajua kuliko mtu yeyote kwamba Attorney General mbele ya tawala za Tanzania ni kinyamkera kisicho na uhuru. Wazanzibari hawawezi kujitoa kwenye uamuzi wa kugawa mali ya Tanganyika.
Wacha kutudanganya wewe kwa vile ametajwa mtanganyika mwenzako kuhusika. Hivi kwa akili zako ulizonazo kuna mkataba unaosainiwa bila ya kupita kwa mwanasheria mkuu? Basi bora aondoke hapo madarakani kama anapitisha mikataba kiholela holela.

Au lete uthibitisho kuwa huo mkataba huyo AG hakuwahi kuuona kabla.
 
Kwani ndugai alilazimishwa kujiuzuru? Yule AG iko kwenye comfort zone, sioni kama ana msiguano wowote na utendaji wa serikali......kwahiyo acheni kumtetea.
UVCCM, Viongozi mbali mbali wakiwemo baadhi ya Wabunge walimwekea pressure ajiuzuru, na most recently akiwa kwenye mazishi ya Le Mutuz, Ndugai alikiri kwa kinywa chake kwamba Mzee Malecela alimwita akamwambia mdogo wangu jiuzuru naye akafanya hivyo Bila kuhoji, maanake anajua Mtu wa status ya Malecela hawezi kumshauri kuachia nafasi kubwa kama ile Bila kujua au kusikia jambo ambalo kwa Ndugai kuendelea kushikilia nafasi ile kungeleta madhara.

Sasa huyo Fereshi ni nani asitii, kama spika alitii. It works either way as long as certain interests are protected, kuna watu hawawezi kuruhusiwa kujiuzuru na Kuna watu wanatakiwa wajiuzuru. Depending on the situation at that particular time.
 
Unayoyasema yote sawa ila ukumbuke tu wamesaini baada ya huo mkataba kuridhiwa na ofisi ya mwanasheria mkuu
 
Hawataki waambiwe kuwa na watanganyika wamehusika
 
Mbona AG wa Zanzibar alipinga kwa wazi kabisa msimamo wa serikali yake kwenye Bunge la katiba?

Watu wanatafuta kichaka cha shutuma, lakini ukweli ulio wazi ni kuwa Samia na Mbarawa wasingeweza kulifanikisha hili la bandari bila ya support kubwa ya Watanganyika, Kuanzia AG, mawaziri, wabunge, CCM, TISS. asilimia 99% ya walioshiriki hilo jambo ni watanganyika.
 
Feleshi angekuwa mzalendo angejihuzulu kuliko kuuza nchi
 
Huyu shangazi usagaji umemtoa ufahamu
 
Maoni ya mwanasheria mkuu huenda yalikataliwa na mzanzibari ndio maana hata Feleshi aliongea kwa kijikanyaga kanyaga kama vile haelewi vizuri kilichomo kwenye mkataba. Mkataba ulipitishwa na ikulu na wizara ya uchukuzi
Maza alikuwa na agenda yake. Waziri wa Ujenzi na Katibu Mkuu wake kuwa Wazenji haikuwa by coincidence.
 
Hatuna Rais. Kwa kifupi Tanganyika inagombaniwa kama mpira wa kona. PM Majaliwa kazi yake kupiga propaganda tu. Kale kaspika kasikojielewa kutwa kutia kichefchef kwa uchawa wake kwa muhimili mwingine
 
Ukweli ni kuwa Sumu ya neno ni neno.

Madam anatakiwa kuwaza zaidi ya hapo, ni Kwa sababu tu Mama Ndiyo yupo Top, ni double standard reasoning.
 
Fatma hakuna kilichouzwa hapa. Hapa ni uwekezaji mzuri na wanaolia ni mafisadi na mawakala wao basi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…