Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikiziangalia 'Historical Backgrounds' zao Mimi kama GENTAMYCINE sijawahi na nitakuwa wa mwisho pia Kuamini kuwa Wawili hawa ama hawako ndani ya Mfumo ( System ) au hawatumiki 'Kimkakati' huko CHADEMA ambako 'wanaaminika' mpaka kuonekana ni Wapambanaji na Wanaharakati dhidi ya Serikali ya Tanzania ambayo mpaka hii leo inawatunza Babu na Bibi zao, Baba zao, Kaka zao na wengineo kutokana na Utendaji wao katika Chama cha CCM na Mamlaka za nchi.Hawa wadada wakiwa twitter wanaonekana kama tembo au simba, linapokuja suala LA kwenda saiti kutekeleza uchochezi wao, wao hawafiki! Yaani wanataka rule rungu, tufe,wao wabaki wakila bata.
Maria Sarungi mama yake ni mzungu, ana pakwenda endapo njama zake za kuvuruga amani zikifanikiwa, sisi hatuna pa kwenda, na pengine Maria Sarungi,kwa siri sana, ana uraia wa ulaya kwa mama yake!
Akili za kuambiwa na Maria Sarungi changanya na zako
Mimi chadema lakini nimestuka, yaani nivunjwe mguu kisa Maria ambaye kajificha haji barabarani.
Acha nijenge uchumi was familia tu, watoto walale njaa kisa Maria Sarungi, hata nikikamatwa kwenye dhamana Polisi hatakuja
Hata vitani Generals huwa hawaendi mstari wa mbele wao kazi yao ni kuweka strategies tuHawa wadada wakiwa twitter wanaonekana kama tembo au simba, linapokuja suala LA kwenda saiti kutekeleza uchochezi wao, wao hawafiki! Yaani wanataka rule rungu, tufe,wao wabaki wakila bata.
Maria Sarungi mama yake ni mzungu, ana pakwenda endapo njama zake za kuvuruga amani zikifanikiwa, sisi hatuna pa kwenda, na pengine Maria Sarungi,kwa siri sana, ana uraia wa ulaya kwa mama yake!
Akili za kuambiwa na Maria Sarungi changanya na zako
Sio lazima wote waandamane, kila mmoja ana namna ya kusapoti movement. Naamini as long umewataja basi utaendelea kuwafuatilia post zao.Hawa wadada wakiwa twitter wanaonekana kama tembo au simba, linapokuja suala LA kwenda saiti kutekeleza uchochezi wao, wao hawafiki! Yaani wanataka rule rungu, tufe,wao wabaki wakila bata.
Maria Sarungi mama yake ni mzungu, ana pakwenda endapo njama zake za kuvuruga amani zikifanikiwa, sisi hatuna pa kwenda, na pengine Maria Sarungi,kwa siri sana, ana uraia wa ulaya kwa mama yake!
Akili za kuambiwa na Maria Sarungi changanya na zako
Acha propagandaHawa wadada wakiwa twitter wanaonekana kama tembo au simba, linapokuja suala LA kwenda saiti kutekeleza uchochezi wao, wao hawafiki! Yaani wanataka rule rungu, tufe,wao wabaki wakila bata.
Maria Sarungi mama yake ni mzungu, ana pakwenda endapo njama zake za kuvuruga amani zikifanikiwa, sisi hatuna pa kwenda, na pengine Maria Sarungi,kwa siri sana, ana uraia wa ulaya kwa mama yake!
Akili za kuambiwa na Maria Sarungi changanya na zako
Na wengine wapo Ulaya wanafanya maandamano mioyoni!Maandamano wanafanya TWITA
Hao wanaopaka poda 24/7Sio lazima wote waandamane, kila mmoja ana namna ya kusapoti movement. Naamini as long umewataja basi utaendelea kuwafuatilia post zao.
Kwenye Vita huwezi kutuma vikosi vyote mjomba Hawa wanapaza sauti inayosikika duniani, wanaandika na wanatumia duniani kwa wengine waone yanayoendelea, walifungwa Nani atapeleka haya????
Kwahy ulivokuwa umesimama pale nje na bango kubwa kubwa kuwa mbowe sio gaidi ulikuwa unafanyaje.?Punguani wewe, nani alikwambia kuna maandano ya kwenda mahakamani. Tofautisha kati ya kwenda mahakamanj na kuandamana mahakamani. Nyie wanaLumumna mbona mko punguani hivyo?
Nyie chadema mna matatizo sana, kwahy ukiambiwa uandamane bc unafanya maandamano Twita.? Mtu yupo anacheza na snow Marekani huko halafu ww na ujinga wako unapauka na jua na bango lakoSio lazima wote waandamane, kila mmoja ana namna ya kusapoti movement. Naamini as long umewataja basi utaendelea kuwafuatilia post zao.
Kwenye Vita huwezi kutuma vikosi vyote mjomba Hawa wanapaza sauti inayosikika duniani, wanaandika na wanatumia duniani kwa wengine waone yanayoendelea, walifungwa Nani atapeleka haya????
Wao wanafahamika na wako twitter kwa majina halisi , mbona hawakamatwi ? sasa wewe mwenye ID fake ambayo kwenye makabila mengine ni matusi ya nguoni mbona unajificha ?Hawa wadada wakiwa twitter wanaonekana kama tembo au simba, linapokuja suala LA kwenda saiti kutekeleza uchochezi wao, wao hawafiki! Yaani wanataka rule rungu, tufe,wao wabaki wakila bata.
Maria Sarungi mama yake ni mzungu, ana pakwenda endapo njama zake za kuvuruga amani zikifanikiwa, sisi hatuna pa kwenda, na pengine Maria Sarungi,kwa siri sana, ana uraia wa ulaya kwa mama yake!
Akili za kuambiwa na Maria Sarungi changanya na zako
Hawa wadada wakiwa twitter wanaonekana kama tembo au simba, linapokuja suala LA kwenda saiti kutekeleza uchochezi wao, wao hawafiki! Yaani wanataka rule rungu, tufe,wao wabaki wakila bata.
Maria Sarungi mama yake ni mzungu, ana pakwenda endapo njama zake za kuvuruga amani zikifanikiwa, sisi hatuna pa kwenda, na pengine Maria Sarungi,kwa siri sana, ana uraia wa ulaya kwa mama yake!
Akili za kuambiwa na Maria Sarungi changanya na zako
Sawa heri yako unayepaka limestoneHao wanaopaka poda 24/7