Fatma Karume: Yaani leo nimethibitisha Adelardus (AG) hajui Katiba, anadai Serikali ina mihimili mitatu na yeye ndie anasimamia yote

Huyu mama mkorofi na muongeaji aisee Jana nimekutana naye jengo la Alfa house mkabala na jengo la makao makuu ya vodacom.hapana huyu mama mtata sana.mpaka nikawauliza wenzangu huyu mama kaolewa maana anaongea kama Kasuku aisee
Kwa hiyo kasuku anaongea sana kuliko binadamu?
 
Huyu mama mkorofi na muongeaji aisee Jana nimekutana naye jengo la Alfa house mkabala na jengo la makao makuu ya vodacom.hapana huyu mama mtata sana.mpaka nikawauliza wenzangu huyu mama kaolewa maana anaongea kama Kasuku aisee
Kwaio mtu asipoolewa anakua haongei sana?
 
Kwahiyo tumuamini Magufuli?

I'm yet to see what solution you are suggesting!
 
CCM karibu wote wanapiga bange
Kuna Waziri Profesa mmoja hivi alishauriwa naye avute bangi tena ya Njombe ili awe mkali, na kweli baada ya hapo alibadilika akawa mbogo kwenye ziara zake mikoani anawapekeka mpera mpera.
 
Mwanasheria Mkuu makini kama Prof. Kilangi hawezi kuwa hajui kuwa Taifa Mama Tanzania ndio ina mihimili mitatu; Serikali, Bunge na Mahakama. Hayo unazusha kama uko kwenye Khanga Party.
 
Na we unakwama wapi ,hujui kuwa mihimili ni serikali,bunge na mahakama? Ko serikali inakuwaje mihimili mitatu tena? Au ni lugha imekuchanganya
 
Na we unakwama wapi ,hujui kuwa mihimili ni serikali,bunge na mahakama? Ko serikali inakuwaje mihimili mitatu tena? Au ni lugha imekuchanganya
Sasa kama serikali imegawanyika katika mihili mitatu. Kuna kosa mtu akisema serikali ni mihimili mitatu?
Three branches of government =1 government. Mfano hii ishu iko mahakani kuna tatizo?
Wewe ndio hujaelewa hiyo mihimili ni Executive,judiciary na legislature. Sio government,judiciary na legislature. Huyo mama ndio maana kanyag'anywa uwakili ni mweupe.
 
Unaweza kuandika hizo pillars zako kwa kiswahili zote tatu?
 
Embu tumia kiswahili niandikie mihimili mitatu usijifiche kutumia kiingereza labda lugha imekupiga chenga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…