Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
Kwa hiyo hujaelewa kuwa ni serikali kuu,bunge na mahakama zinaunda serikali moja? Au huyu mtoa mada alivyojua wewe ni mjinga anadhani kila mtu ni mjinga?Kwa hiyo hapa umefafanua tayari? Kama hujui si umtafute hata shemejio anayesoma form 2 akueleze mihimili mitatu inaunda nini kuliko kujiaibisha?
Utafute usome utajua ukweli au sio ukweliUzi ndio "ukweli"?
Acheni kuchanganya mambo hebu nipe tofauti ya nation, government na executive labda ndo naweza nikakuelewa.Mwanasheria Mkuu makini kama Prof. Kilangi hawezi kuwa hajui kuwa Taifa Mama Tanzania ndio ina mihimili mitatu; Serikali, Bunge na Mahakama. Hayo unazusha kama uko kwenye Khanga Party.
Dola ni mhimili wa serikali/government yaani dola ndo kwa kiha tunaita executiveHehehe.
Na dola ina mihimili mingapi ?
Serikali/government ina mihimili/pillars mitatu ambayo ni dola/executive, bunge/legislature na mahakama/judiciaryEmbu tumia kiswahili niandikie mihimili mitatu usijifiche kutumia kiingereza labda lugha imekupiga chenga
Wewe ni sifuri.We dogo ulisoma hata uraia la saba? Serikali imegawanyika katika mihimili mitatu. Kuna serikali kuu, Bunge na Mahakama. Hii vyote ni serikali moja ila vimejigawa kimajukumu. Kwa hiyo huyu mtoa mada anawapotosha. Hata hiyo ibara ya nne ya katiba ipo wazi. Ndio maana ameweka ibara ya 59(3) ili awadanganye sababu Chadema vichwa vyenu vimejaa malailoni.
Mkuu kwani uanasheria mkuu wa serikali niwa kusomea au kuteuliwa? Na Kama niwa kuteuliwa why unadhani kuwa kuwa mwanasheria mkuu wa serikali ndo kujua Sheria?Kulinganisha uwezo wa kuelewa sheria wa Fatima na Mwanasheria Mkuu wa serikali ni sawa na kulinganisha uwezo wa mwalimu wa sule ya msingi na professor wa chuo kikuu.
Kwa nini mara nyingine hamtaki kuona ukweli mnapumbazwa na ushabiki wa kisiasa? Yaani mmekuwa wajinga kulingo wajinga wanavyoeleweka kwa ajili tu ya siasa
Hivi wewe umewahi kuwauliza japo ndugu zako, kama wanakuona ni mzima? Unaelewa kinachojadiliwa?Fatma hivi ana mume yule?
Ok
Serikali ni mhimili mmoja kati ya 3,ana maanisha nini?
Serikali ina mihimili 3,Executive judiciary and Legislature, kosa liko wapi? Maana ni serikali moja iliyojigawa katika mihimili mitatu.
Chadema imejaa wavuta bangi na wanywa konyagi. Upuuzi kama huu sio wa kushabikia.
Wewe nawe ni walewale vilaza.chenye mihimili mitatu ni nchi yetu Tanzania si serikali wewe kilaza,Serikali ni mhimili mmoja kati ya 3,ana maanisha nini?
Serikali ina mihimili 3,Executive judiciary and Legislature, kosa liko wapi? Maana ni serikali moja iliyojigawa katika mihimili mitatu.
Chadema imejaa wavuta bangi na wanywa konyagi. Upuuzi kama huu sio wa kushabikia.
Unavyoandika kwa confidence utadhani mtu mzima etiSerikali ni mhimili mmoja kati ya 3,ana maanisha nini?
Serikali ina mihimili 3,Executive judiciary and Legislature, kosa liko wapi? Maana ni serikali moja iliyojigawa katika mihimili mitatu.
Chadema imejaa wavuta bangi na wanywa konyagi. Upuuzi kama huu sio wa kushabikia.
Mwenyekiti wa ccm alipigiwa simu na rais wa South Africa akamsakizia polepole aongee naye halafu huyo bwana hawezi kwenda nje anahofu ataongeaje na marais wkt kuzungumza lugha ya kibeberu hajuiMkuu, umenifurahisha Sana hapa, lakini unatumia vigezo gani ktk hili,
Mf, tuanze na nafasi za ukatibu tu Vyama, unaona kilaza ni wa Chama gani
Njoo Kwa wenye viti Vyama, wewe utasema Nani kilaza,
Tuanzie hapo kwanza
Umeishia darasa la ngapi? Kama uliishia darasa la 4, una haki ya kusifiwa. Maana angalao una uwezo wa kuandika sentensi ya Kiswahili, iliyonyoka.Kwa hiyo hujaelewa kuwa ni serikali kuu,bunge na mahakama zinaunda serikali moja? Au huyu mtoa mada alivyojua wewe ni mjinga anadhani kila mtu ni mjinga?
Dola (state) ndiyo yenye mihimili mitatu ambayo ni serikali, mahakama na bunge, na kila mhimili una mkuu wake. Tanzania na nchi nyingine zenye mfumo kama wa Tanzania ndiko mkuu wa serikali pia ni mkuu wa dola (head of state), lakini katika nchi nyingine za mfumo wa kidemokrasia kuna head of state ambaye anaweza kuwa rais (kama vile India, Ujerumani) na mkuu wa serikali ambaye ni waziri mkuu. Kwingineko mkuu wa dola ni mfalme au malkia (kama UK, Uholanzi nk) na mkuu wa serikali ni waziri mkuu.Serikali ni mhimili mmoja kati ya 3,ana maanisha nini?
Serikali ina mihimili 3,Executive judiciary and Legislature, kosa liko wapi? Maana ni serikali moja iliyojigawa katika mihimili mitatu.
Chadema imejaa wavuta bangi na wanywa konyagi. Upuuzi kama huu sio wa kushabikia.
bange izoSio kweli, wanajitoa tu ufahamu ili kumfurahisha Magufuli
Haha mojawapo kati yangu na wewe hayuko sahihi ila mtu huyo siyo mimi.Dola ni mhimili wa serikali/government yaani dola ndo kwa kiha tunaita executive
Like father like sons( "Fyatueni watoto elimu ni bure")Kulinganisha uwezo wa kuelewa sheria wa Fatima na Mwanasheria Mkuu wa serikali ni sawa na kulinganisha uwezo wa mwalimu wa sule ya msingi na professor wa chuo kikuu.
Kwa nini mara nyingine hamtaki kuona ukweli mnapumbazwa na ushabiki wa kisiasa? Yaani mmekuwa wajinga kulingo wajinga wanavyoeleweka kwa ajili tu ya siasa