Fatma Karume: Yaani leo nimethibitisha Adelardus (AG) hajui Katiba, anadai Serikali ina mihimili mitatu na yeye ndie anasimamia yote

Fatma Karume: Yaani leo nimethibitisha Adelardus (AG) hajui Katiba, anadai Serikali ina mihimili mitatu na yeye ndie anasimamia yote

Bishweko usidanganywe na mtu. Kuna kitu kinaitwa separation of powers. Hapo ndipo government inajigawanya kufanya majukumu yake kwa kuwa na executive,judiciary na legislature.
Executive ina husika na utendaji,judiciary kutafasiri sheria na bunge kutunga sheria na kuisimamia executive. Lakini hii ni serikali moja na inafanyika hivi ili kuondoa ukiritimba maana kazi zote hizi zingenfanywa na executive ingekuwa ni tabu maana rais angekuwa na madaraka makubwa sana.
Lakini pamoja na hayo hakuna complete separation of power. Ndio maana unaona Judiciary ipo chini ya wizara ya sheria na katiba ambayo ni executive. Bunge lipo chini ya ofisi ya PM. Kwa hiyo usiwe kama hao wapumbavu wa ufipa.
Ndio maana hata rais ni sehemu ya Bunge japokuwa sio member. Na rais pia anaweza kutunga sheria kwa kufanya executive orders.
Pole sana lakini maana ndio hali yenyewe.
Aaah Judiciary ipo chini ya Wizara ya Sheria na Kiongozi wa Judiciary ni Waziri wa Sheria sio Chief Justice/ Jaji mkuu!
Hivi huu ni mtaala mpya na katiba mpya nini?
 
Aaah Judiciary ipo chini ya Wizara ya Sheria na Kiongozi wa Judiciary ni Waziri wa Sheria sio Chief Justice/ Jaji mkuu!
Hivi huu ni mtaala mpya na katiba mpya nini?
Hapo ndipo unapochanganya mambo. Kuwa chini ya wizara ya sheria na katiba sio kwamba kiongozi wa mhimili ni waziri.
Jaribu kuwa na uwezo mkubwa wa kudadavua mambo.
 
Hii ndo naisikia leo! Hii elimu ya ujinga sijui inafundishwa wapi! Bahati mbaya sana waliyoisoma wanapatikana Lumumba pekee
Mimi sipo Lumumba ila nazungumzia kitu kinachoitwa separation of powers. Ambapo one government forms three parts to perfom different functions. Na hii kitu ipo dunia nzima. Ndio maana wapuuzi kama wewe mnadhani executive ni government.
 
aaah yaani nawe unaona una uwezo ..mtu ambae awezi kutofautisha Dola( State) na Serikali (Government).
Ni halali Ccm itawale milele yaani unataka kusema Ag hafahamu kuwa government ni executive,judiciary na legislature kitu ambacho ni mfumo unaotumika dunia nzima!
 

Attachments

  • Screenshot_20200719-221631.png
    Screenshot_20200719-221631.png
    24.1 KB · Views: 1
Back
Top Bottom