Fatma Karume, yanayofanywa na Kambole ni sahihi?

Fatma Karume, yanayofanywa na Kambole ni sahihi?

ngoshwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2009
Posts
4,131
Reaction score
937
Taarifa hii imeandikwa na Wakili wanaodai kutetea Haki za Binadamu akina Jebra Kambole kwa nia ya kujipatia kesi kinyume cha taribu za taaluma ya Mawakili na kusambazwa mitandaoni:.

"..Ndugu yeyote wa washtakiwa waliohukumiwa jela leo kifungo cha maisha awasiliane nami inbox au Wakili Jebra Kambole Sr. Its urgent. Tafadhali sambaza ujumbe ujumbe huu popote kuwapata walengwa. Its our obligation to emancipate those who are crying for help.! No.-0628394454"...

Kanuni ya 28 ya Taalumu na Maadili ya Mawakili (Advocates (Professional Conduct and Etiquette) Regulations,2018 zinakataka kabisa Wakili yeyote kushawishi Wateja kinyume cha Sheria kumpatia Kazi (Touting).

Je, Fatuma Karume kama Rais wa TLS unabariki Matendo haya ya Mawakili??

20190224_125043.jpg
 
Ni sawa, anawaita awape msaada wa kisheria kama mwanaharakati baada ya kuona kuna uonevu! Kuna kosa gani. Nadhani hujaelewa kifungu hicho tafsiri yke, you have a wrong interpretation!
roll.

The Oxford Dictionary defines touting as ‘solicit custom persistently; pester customers (touting for business)’ or ‘solicit the custom of a person or for a thing’.

On the plain wording it is thus clear that approaching potential clients without their consent or invitation repeatedly and aggressively, thus forcing oneself on them in a bold manner, would on the face of it suffice as touting....

Hiyo ni one of the professional abuse. Is prohibited kwa mawakili sio tu Tanzania, ni sehemu ninyi Dunia.
 
Ingawa mimi si mwanasheria lakini Jebra kama mtetezi wa haki za binadamu imemlazimu kuingilia kati hii kesi ambayo hukumu yake hasa ikihusisha mtoto ambaye alitenda kosa akiwa na umri wa miaka 14 imejaa ukakasi.

Jebra hajaingilia kati kwa interest zake bali kuhakikisha haki inatendeka kama mzalendo yeyote.

Alafu nyie lawyers sometimes mnatuangusha sana, mnafanya nini huku nchi hii bado ina sheria kibao ambazo hazifai kabisa!
 
roll.

The Oxford Dictionary defines touting as ‘solicit custom persistently; pester customers (touting for business)’ or ‘solicit the custom of a person or for a thing’.

On the plain wording it is thus clear that approaching potential clients without their consent or invitation repeatedly and aggressively, thus forcing oneself on them in a bold manner, would on the face of it suffice as touting....

Hiyo ni one of the professional abuse. Is prohibited kwa mawakili sio tu Tanzania, ni sehemu ninyi Dunia.
soma post#5, usiwe moved na ccm! kujitokeza kuwatetea watu ambao unahisi hawakutendew haki haikatazwi! Achana na oxford dictionary, eveybody is aware of its existene, judicial notice I can say!
hajaweka tangazo kuwa mimi ni wakili mashuhuri njoo upate msaada
 
Ni sawa, anawaita awape msaada wa kisheria kama mwanaharakati baada ya kuona kuna uonevu! Kuna kosa gani. Nadhani hujaelewa kifungu hicho tafsiri yke, you have a wrong interpretation!
Sasa ikiwa mhukumiwa hajaridhika na hukumu si jukumu lake kuomba rufaa au ni jukumu la mtu mwingine kuja kupiga mbiu ya mgambo kumshawishi akate rufaa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ingawa mimi si mwanasheria lakini Jebra kama mtetezi wa haki za binadamu imemlazimu kuingilia kati hii kesi ambayo hukumu yake hasa ikihusisha mtoto ambaye alitenda kosa akiwa na umri wa miaka 14 imejaa ukakasi.

Jebra hajaingilia kati kwa interest zake bali kuhakikisha haki inatendeka kama mzalendo yeyote.

Alafu nyie lawyers sometimes mnatuangusha sana, mnafanya nini huku nchi hii bado ina sheria kibao ambazo hazifai kabisa!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuingilia kati ni sawa lkn mda wote kesi ikiendelea alikua wapi?Na ni kwanini asiende masijala ya mahakamani au magereza ili apate anuani za wahusika awafate kimyakimya km kweli ana nia ya kuwasaidia.Je huu wa kupiga mbiu ndiyo utaratibu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
soma post#5, usiwe moved na ccm! kujitokeza kuwatetea watu ambao unahisi hawakutendew haki haikatazwi! Achana na oxford dictionary, eveybody is aware of its existene, judicial notice I can say!
hajaweka tangazo kuwa mimi ni wakili mashuhuri njoo upate msaada
Utaratibu, utaratibu utaratibu,utaratibu, hajakatazwa kuwatetea infact,alipaswa kuingilia kati wakati kesi ikiendelea. Jukumu la wakili ni kuisaidia mahakama itoe maamuzi ya haki pindi kesi ifikishwapo mahakamani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utaratibu, utaratibu utaratibu,utaratibu, hajakatazwa kuwatetea infact,alipaswa kuingilia kati wakati kesi ikiendelea. Jukumu la wakili ni kuisaidia mahakama itoe maamuzi ya haki pindi kesi ifikishwapo mahakamani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu wanahitaji msaada baada ya wakili kuona wameonewa , ni wajibu wa kila wakili kuwasaidia. Unawapataje? Unakaa kimya waje? Si unawaita "ukiguswa" na shida zao. Kuna watu hata ofisi za mawakili hawazijui.
 
Kuna watu wanahitaji msaada baada ya wakili kuona wameonewa , ni wajibu wa kila wakili kuwasaidia. Unawapataje? Unakaa kimya waje? Si unawaita "ukiguswa" na shida zao. Kuna watu hata ofisi za mawakili hawazijui.
Unawapataje wakati wako magereza na wana ndugu zao!!! Unauliza swali gani wewe!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kutaka kuwatetea ndio kusema kuwa hawana hatia? hakuna kosa lililotendeka? kituo hakikuchomwa?

Na kama wanadhani hao waliohukumiwa sio Wahusika, wao wanawajua wahusika halisi?
wewe kweli fyatu. hufahamu hata kama kuna mtoto naye amehukumiwa?
 
roll.

The Oxford Dictionary defines touting as ‘solicit custom persistently; pester customers (touting for business)’ or ‘solicit the custom of a person or for a thing’.

On the plain wording it is thus clear that approaching potential clients without their consent or invitation repeatedly and aggressively, thus forcing oneself on them in a bold manner, would on the face of it suffice as touting....

Hiyo ni one of the professional abuse. Is prohibited kwa mawakili sio tu Tanzania, ni sehemu ninyi Dunia.


Kasome hiyo oxford dictionary inasemaje kuhusu juvenile deliquency halafu uje tena
 
Back
Top Bottom