Acha hizo, bwana. Tumeona matangazo mengi kuwa kuna madaktari bingwa wanatoa msaada wa matibabu watu waje na ada ni kidogo. Je hilo ni kosa?
Huyu hajaita wateja kama biashara, ameguswa na kifungo cha maisha anataka kuwatetea. Ni tofauti na mtu anayeweka tangazo kuwa mimi ni wakili mashuhuri njoo nikupe msaada wa kisheria. Kabombe haombi ajira kwa hawa watoto, wamlipe, elewa hiyo essence ya kuwaita... motive behind
Ebu soma hii ingawa ni from other jurisdiction lakini hivi vifungu ni pari materiale na vya kwetu!
:
Rule 7.3 Solicitation of Clients - Comment
[1] Paragraph (b) prohibits a lawyer from soliciting professional employment by live person-to-person contact when a significant motive for the lawyer’s doing so is the lawyer’s or the law firm’s pecuniary gain. A lawyer’s communication is not a solicitation if it is directed to the general public, such as through a billboard, an Internet banner advertisement, a website or a television commercial, or if it is in response to a request for information or is automatically generated in response to electronic searches.