Fatuma Karume: Zanzibar inaidai Tanzania bara 4.6 trillion

Hahahha na huu Muungano umedumu kwa sababu hiyo hiyo ya kutokua na formula inayoeleweka. Udongo ulichanganywa wa nchi mbili ili kupata nchi moja. Lakini Zanzibar imebaki kama nchi katika mambo flani na haina mamlaka kama nchi katika mambo flani ambayo Jamhuri ya Muungano ndio itatambulika kama nchi na kuyasimamia. Huku Tanganyika yenyewe ikiwa imepotea kwenye ramani.

Nadhani Nyerere alitaka hiki kizanzibari kiwe kimkoa ila alichemka ndio maana walikubaliana katika mambo flani na mambo flani ambayo Karume hakuyakubali wakapewa mamlaka yao full. Leo hii wazanzibari wanaona kama kuna kitu wanakikosa kumbe yale wanayoyakosa ndio yalikuwa makubaliano ya Nyerere na Karume yawe mambo yanayosimamiwa na serikali ya Jamhuri.
 
Comoro ni visiwa na watu wake kitamaduni wanafanana na wananzibar na maendeleo ya comoro ni yakawaida sana
 

Tukio la baada ya hiyo picha ndio kuleee Karume alikopeleka udongo
 
Unaposema kuwa nakujumuisha wewe na waliotumia nguvu, na kwamba hupo Tanzania na hushabikii serikali kisha unasema tukuondolee kelele zetu nashindwa kukuelewa. Kelele zetu zinakukerea nini na ya Tanzania hayakuhusu? kiherehere tu kinakusumbua
 
Unaposema kuwa nakujumuisha wewe na waliotumia nguvu, na kwamba hupo Tanzania na hushabikii serikali kisha unasema tukuondolee kelele zetu nashindwa kukuelewa. Kelele zetu zinakukerea nini na ya Tanzania hayakuhusu? kiherehere tu kinakusumbua
Wee ngumbaru jifune kusoma kwa ufahamu kwanza kabla hujanikaribia.

Unanipa kazi ya kukufundisha kusoma na mimi sina muda huo.
 
Hii ndiyo hasara ya muungano ambao hauna usawa. Kipande cha ardhi kisicholingana na hata wilaya ya Bara kinapewa hadhi kisichostahili na tunadanganya kuwa tuko sawa. Kama mnaona mnanyonywa nendeni zenu kwa mabwana zenu wa kiarabu muone kama uamuzi wenu ni wa busara.
 
Endelea kujifunza.
 
Tumeipenda Wenyewe Acha Ituue
πŸ·πŸΈπŸΉπŸ’‹πŸ‘„
 
Kinachonisikitisha mimi ni Huu Uzanzibar ambao sasa umefikia hata Mzanzibara yaani alozaliwa bara hata kama wazazi wake wote walizaliwa Zanizbar sii MzanIbar na hawezi kugombea Uongozi wa Zanzibar. Yametokea haya baada ya baadhi ya Wazanzibar kudai kwamba rais wa Zanzibar ndugu Hussein Ally Mwinyi kazaliwa Bara hivyo hana sifa za kuongoza Zanzibar!

Mawazo haya, mwl. Nyerere aliyapiga vita na kutuasa tusiyape nafasi lakini sasa inaonekana wazi kabisa kuna nguvu kubwa inatumika kutugawa Watanzania. Tuweni makini sana na watu hawa na nadhani isike mahala tuseme SASA BASI.. Hivi sasa naandika nipo katika maansalizi ya kuandika makala yangu inayohusu Ubaguzi huu nikianza kwa kuuliza MZANZIBAR NI NANI?
 
Huyu dada anapitia "midlife crisis", aidha mume hafanyi kazi yake kisawasawa, mpuuzeni na mumsamehe, hakajuwi kasemalo wala vitendo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…