Fat'wah toka kwa Maulamaa wa kiislamu

Fat'wah toka kwa Maulamaa wa kiislamu

Namuomba Allah S.W afanye wepesi kwa hili in shaa Allah!

Palestine 🇵🇸 will be free in shaa Allah!
Kama kuna wanaojuwa maulamaa ni nani basi atajuwa kuwa maulamaa wameshadondosha kombora lao la ushindi.
Ni wakati wa US na Israel kufunga virago na kukimbia.Kombora la maulamaa linalenga shabaha kwa uhakika kuliko lazer gujided missiles
 
Kama kuna wanaojuwa maulamaa ni nani basi atajuwa kuwa maulamaa wameshadondosha kombora lao la ushindi.
Ni wakati wa US na Israel kufunga virago na kukimbia.Kombora la maulamaa linalenga shabaha kwa uhakika kuliko lazer gujided missiles

Bi idhnillah ushindi utapatikana
 
Vita ya kugombania umiliki wa ardhi mnaingiza dini tena 🤔🤔
 
Namuomba Allah S.W afanye wepesi kwa hili in shaa Allah!

Palestine 🇵🇸 will be free in shaa Allah!
Acha unafiki mkuu.Vipi hapa hakuna fwatah ya huyo Allah???
Au sababu hawa ni weusi??
Screenshot_20231108-104759.png
 
Sifa kuu ya allah ni kwamba yeye hapiganii mja wake ila waja wake ndio wanapaswa kumpigania halafu wakifa wakimpigania kwenye jihad basi wanaenda ahera na kupewa mabikra 72 na Haineken inayomiminika kwenye mito.
 
Kama kuna wanaojuwa maulamaa ni nani basi atajuwa kuwa maulamaa wameshadondosha kombora lao la ushindi.
Ni wakati wa US na Israel kufunga virago na kukimbia.Kombora la maulamaa linalenga shabaha kwa uhakika kuliko lazer gujided missiles
Hii story na zile za Kinjikitile ngwale hazina tofauti. Risasi inapigwa unasema maji maji
 
Back
Top Bottom